Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MCHUNGAJI ASHTUA KUMUOA DOGODOGO!

Stori: Haruni Sanchawa
MCHUNGAJI Peter Rashid Abubakari wa Kanisa la RGC lililoko Mbezi ya Shamba jijini Dar, amedaiwa kuoa mke wa pili aitwaye Pamela Didas Asenga akiwa na umri wa miaka 20 tu ‘dogodogo’, Risasi Jumamosi limetonywa. Mchungaji Peter Rashid Abubakari wa Kanisa la RGC akimuoa 'dogodogo', Pamela Didas. Kwa mujibu wa chanzo, ndoa hiyo ilifungishwa na Askofu Innocent Lugagi wa Kanisa la White House la...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

IPPmedia

Dogodogo centres closure worsen vulnable children`s situation


Dogodogo centres closure worsen vulnable children`s situation
IPPmedia
The government has made vulnerable children more vulnerable by allowing the closure of three Dar es Salaam branches of Dogo Dogo Street Children centres that were supporting such children in the city, as well as those arriving from the regions. The only ...

 

10 years ago

GPL

JIDE, DOGODOGO GUMZO MJINI! DOGO ANASWA NA MKOKO WAKE

Na Musa Mateja OHOOO! Siku chache baada ya ndoa ya Legendary wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ na mtangazaji mahiri nchini, Gardner Gabriel Habash ‘G Habash’ kudaiwa kuvunjika, gumzo limeibuka kufuatia kunaswa kwa picha za Jide na kijana mmoja (dogodogo) aliyetajwa kwa jina la Meddy Ahmed ‘Mtoto wa Vitoto’, Risasi Jumamosi linakupa kinaga ubaga. Legendary wa Bongo Fleva, Judith...

 

11 years ago

GPL

SIJAWAHI KUTAKA KUMUOA LULU

Mwanamuziki wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Ramadhan Muhoza ‘Pentagon’. KAMA ilivyo ada mpenzi msomaji wa safu hii ya Kiti cha Moto, wiki iliyopita tulimleta kwenu mwanamuziki wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Ramadhan Muhoza ‘Pentagon’ ambaye mlimuuliza maswali na leo tumewaletea majibu aliyoyatoa. UNGANA NAYE... Msani wa fiamu Bongo,  Elizabeth...

 

9 years ago

GPL

DK. CHENI AFUNGUKA KUMUOA LULU

Brighton Masalu Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwenye kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabali, yaliibuka madai kuwa wawili hao ni wapenzi lakini leo limeibuka la ndoa, Ijumaa lina kila kitu. Msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’. Madai ya uhusiano wa Lulu na Dk. Cheni yamekuwa yakienea...

 

11 years ago

CloudsFM

NUH MZUWANDA KUMUOA SHILOLE

Staa wa Bongo Fleva,Nuhu Mzuwanda ameweka wazi mahusiano yake na msanii mwenzake,Zuwena Mohamed’Shilole’kwa wazazi wake na kwamba ana mpango wa kumuoa msanii huyo.Kwa mujibu wa baba mzazi wa msanii huyo aitwaye Mzee Mlawa amefunguka kwenye U heard na Soudy Brown amesema kuwa mwanaye huyo alimueleza kuwa anataka kumuoa mchumba wake huyo(Shilole).‘’Mi sina tatizo kama wamependana waache waoane tu nasubiri wajukuu tu’’alisema baba Nuh Mziwanda. Aidha amefunguka kuwa mkwe wake huyo alimuona...

 

11 years ago

GPL

JOKATE ASAKA MWANAUME WA KUMUOA

Stori: Hamida Hassan
Katika kuonyesha amechoshwa na upweke, mwanamitindo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ ameibuka na kusema kuwa sasa anasaka mwanaume wa kumuoa huku akitaja vigezo vya anayestahili kumuita mume. Mwanamitindo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi, Jokate alisema kuwa hana ‘mtu’ ila atakapotokea mwenye vigezo anavyotaka, hatakuwa na sababu ya kumkataa....

 

11 years ago

GPL

UNATAKA KUMUOA JOHARI? BOFYA HAPA!

Staa mkubwa wa filamu za Kibongo Blandina Changula "Johari" Makala: Sifael Paul
Julai 28, 1983 mkoani Shinyanga, alizaliwa mtoto wa kike ambaye sasa ni staa mkubwa wa filamu za Kibongo. Ni maarufu kwa jina

la kistaa la Johari lakini majina yake kamili ni Blandina Changula.
Kama kawaida yetu huwa tunatoa nafasi kwa staa kusimulia alikopitia hadi akafikia mafanikio aliyonayo ili kutoa chansi kwa …
...

 

11 years ago

GPL

JOHARI: RAY HAWEZI KUMUOA CHUCHU

Na Musa Mateja
Blandina Chagula ‘Johari’, juzikati alifunguka kwamba watu waachane na kusikiliza habari za matapeli wa mapenzi, maana suala la Vicent Kigosi ‘Ray’, kumvisha pete mchumba wake wa sasa Chuchu Hans si la kweli na kwamba huo ni utapeli. Staa wa sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Akizungumza Ijumaa Mei 13, mwaka huu Johari alisema hana taarifa zozote za Ray kumvisha...

 

11 years ago

GPL

NJEMBA KIBAO ZAGOMBEA KUMUOA JOKATE

Stori: Mwandishi wetu
Baada ya hivi karibuni mwanamitindo Jokate Mwegelo kutangaza kutafuta mchumba, idadi kubwa ya wanaume wamekuwa wakihaha kusaka mawasiliano naye huku kila mmoja akijinadi kivyake. Mwanamitindo Jokate Mwegelo. Mara baada ya habari ya Jokate ya kutafuta mchumba kutoka kwenye gazeti hili wiki iliyopita, namba ya simu ya chumba chetu cha habari imekuwa bize kupokea simu za wanaume mbalimbali wakiomba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani