NJEMBA KIBAO ZAGOMBEA KUMUOA JOKATE
![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb9BHFY1aVGwtAuTtaex49laug563dWmwRNT2cz8uZ2a1vLsoEf2-DpjmNbbF-s32Bk7FNcSeRVuTVZQWr8tdi77/jokate.jpg)
Stori: Mwandishi wetu Baada ya hivi karibuni mwanamitindo Jokate Mwegelo kutangaza kutafuta mchumba, idadi kubwa ya wanaume wamekuwa wakihaha kusaka mawasiliano naye huku kila mmoja akijinadi kivyake. Mwanamitindo Jokate Mwegelo. Mara baada ya habari ya Jokate ya kutafuta mchumba kutoka kwenye gazeti hili wiki iliyopita, namba ya simu ya chumba chetu cha habari imekuwa bize kupokea simu za wanaume mbalimbali wakiomba...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfAG0ez8zzTpnNzUhrVMIt4vfIGOdDr2k21yzj5cPK2BGDoipZwXitfiIWmaqGdkFAllh1Ys*9dtQAToq3tS8WXJ/jokate.jpg)
JOKATE ASAKA MWANAUME WA KUMUOA
10 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz
Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...
5 years ago
MichuziWAZIRI JAFO AAGIZA SHULE ILIYOJENGWA NA DC JOKATE IITWE JOKATE GIRLS SEKONDARI, ASIFU UTENDAJI WAKE
Moja ya jengo jipya na la kisasa la Shule ya Sekondari ya Wasichana Jokate Girls iliyopo Kata ya Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani ambayo linavyoonekana.Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemen Jafo amefanya ziara ya kutembelea shule hiyo kwa ajili ya kukagua maendeleo ya ujenzi wake.
Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemen Jafo akizungumza jana baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya bweni ya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyVj3grGgyQeFVjJi16doQawmFpuzA8-NgFlQhiP1iQ5B7clDpvCVJPUrkoGtMGV3Jy1n0Hu9SOVyzfTAmoDsMDf/Cheniiii.jpg?width=650)
DK. CHENI AFUNGUKA KUMUOA LULU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg*6TxeyvTwbpTzSXOp4o5qVpVd4vKdJEl-QaG6zgD1c9m3cNPY8LWaToTtXkztPDwAhuDyaFG6YXUmTq3Jm0P3M/mchungaji.jpg)
MCHUNGAJI ASHTUA KUMUOA DOGODOGO!
11 years ago
CloudsFM16 Jul
NUH MZUWANDA KUMUOA SHILOLE
Staa wa Bongo Fleva,Nuhu Mzuwanda ameweka wazi mahusiano yake na msanii mwenzake,Zuwena Mohamed’Shilole’kwa wazazi wake na kwamba ana mpango wa kumuoa msanii huyo.
Kwa mujibu wa baba mzazi wa msanii huyo aitwaye Mzee Mlawa amefunguka kwenye U heard na Soudy Brown amesema kuwa mwanaye huyo alimueleza kuwa anataka kumuoa mchumba wake huyo(Shilole).
‘’Mi sina tatizo kama wamependana waache waoane tu nasubiri wajukuu tu’’alisema baba Nuh Mziwanda. Aidha amefunguka kuwa mkwe wake huyo alimuona...
11 years ago
GPLSIJAWAHI KUTAKA KUMUOA LULU
10 years ago
Bongo Movies24 Feb
Manaiki: Sijakata Tamaa Kumuoa Wolper
Mwigizaji wa filamu mwenye mikasa ya aina yake, Manaiki Sanga ‘The Don’ amesema kuwa hajakata tamaa kumuoa msanii mwenzake, Jacqueline Wolper na kwamba bado anaendelea kuwashawishi wazazi wake.
Akiongea na Gazeti la Uwazi, Manaiki aliweka wazi kuwa bado anawashawishi wazazi wake wakubaliane na uchaguzi wake kwakuwa ndiye mtu anayempenda.
“Ni upande mmoja tu wa ndugu zangu ambao wapo kijijini Mbeya na hawamfahamu Walper ila sijakata tamaa na naamini watanielewa tu kwa maaana ndoto yangu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEzFN-4qycTWtideSQ55pW6-2FlZfNc6LSWFTB1uP*7flLhTctgfnUMrO24jAHTKB8GqoApXNxx1JLISzuF3bt4z/naynampenziwake.jpg?width=650)
NAY KUMUOA SIWEMA KABLA YA KUJIFUNGUA