Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lupita kung’aa ‘Star Wars’ Desemba

Lupita-Nyong-o-a-l-avant-premiere-de-12-Years-a-Slave-au-Festival-de-la-Nouvelle-Orleans-le-10-octobre-2013_portrait_w858NEW YORK, MAREKANI

MSHINDI wa tuzo ya Black Entertainment Television ‘BET’, Lupita Nyong’o, anatarajia kung’aa kwenye filamu mpya ya ‘Star War’ ambayo inatarajiwa kuachiwa Desemba 18, mwaka huu.

Staa huyo raia wa Kenya, mwaka jana alifanikiwa kuchukua tuzo ya BET nchini Marekani pamoja na tuzo ya Oscar kupitia filamu ya ‘12 years a Slave’.

Lupita amesema kwenye filamu hiyo mpya watu watapata shida kumtambua mapema, lakini watamuelewa mwishoni, hasa kutokana na mwonekano wa mavazi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Forbes

‘Star Wars’ Box Office: ‘Last Jedi’ And ‘Rise Of Skywalker’ Were Christmas Openers With Summertime Legs

‘Star Wars’ Box Office: ‘Last Jedi’ And ‘Rise Of Skywalker’ Were Christmas Openers With Summertime Legs  ForbesStar Wars: 10 Amazing Settings That Were Underused | ScreenRant  Screen RantStar Wars: 10 Most Powerful Jedi - Ranked  WhatCultureWhat Star Wars: The High Republic Can Learn from Knights of the Old Republic  CBR - Comic Book ResourcesStar Wars Explains Rise of Skywalker’s Force Dyad Properly  Screen RantView Full coverage on Google...

 

11 years ago

BBCSwahili

STAR WARS yamnyakua Lupita Nyong'o

Muigizaji kutoka Kenya Lupita Nyong'o ameteuliwa kuijiunga na mabingwa wengine katika filamu maarufu zaidi duniani STAR WARS.

 

11 years ago

BBC

Lupita Nyong’o joins Star Wars cast

Oscar-winning 12 Years a Slave actress Lupita Nyong'o and Games of Thrones' Gwendoline Christie join the cast of Star Wars: Episode VII, producers say.

 

9 years ago

Bongo5

Star Wars: The Force Awakens aliyoigiza Lupita Nyong’o yaingiza $1bn siku 12 baada ya kuingia kwenye majumba ya sinema

Star Wars The Force Awakens

Star Wars: The Force Awakens imekuwa filamu iliyoingiza dola bilioni 1 haraka zaidi kwenye majumba ya sinema duniani.

Star Wars The Force Awakens

Filamu hiyo ya JJ Abrams imefikia mafanikio hayo siku 12 tu baada ya kutoka na kuvunja rekodi iliyopita ya siku 13 iliyowekwa na filamu Jurassic World June, mwaka huu.

Hata hivyo Jurassic World ilipata mafanikio hayo kwa kuoneshwa China zaidi ambako The Force Awakens bado haijaoneshwa huko.

Star Wars pia iliingia fedha nyingi siku ya Christmas kwa Marekani kwa kuvuta $49.3m....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mo Dewji azidi kunga’ra Afrika

MFANYABIASHARA maarufu hapa nchini, Mohamed Dewji ‘Mo’, amezidi kung’ara katika biashara ambako safari hii amejumuishwa kwenye orodha ya mabilionea 55 wa Afrika. Mo ambaye pia ni Mbunge wa Singida Mjini...

 

5 years ago

Michuzi

Tanzania Yaendelea Kung’ara Kimataifa

Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya nne Afrika kwa kuweka mazingira wezeshi ya ufanyaji biashara ndogondogo.

Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Jijini Dodoma, Msemaji mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa kidunia Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika Nyanja mbalimbali ambapo katika suala hilo anasema kidunia imekuwa ya 21.

“Taasisi za Kimataifa zinatambua juhudi za Serikali yetu katika...

 

9 years ago

Habarileo

Sheria kuzuia kelele yaanza kung’ata

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limeanza kung’ata kwa kutumia kanuni ili kudhibiti uchafuzi wa mazingira kwa kelele na mitetemo. Kwa sasa mtu akitaka kufanya sherehe mtaani, kupiga muziki kwa kelele, kuendesha ngoma za kukesha za nusu uchi (vigodoro) au ‘bai koko’ au kufanya ibada kwa kelele mitaani, atapaswa kulipa Sh milioni 10.

 

9 years ago

Habarileo

Ashanti yazidi kung’ara daraja la kwanza

TIMU ya soka ya Ashanti United jana iliifanyia kitu mbaya Polisi Dodoma baada ya kuchapa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Karume Ilala Dar es Salaam. Dalili za Ashanti kushinda zilionekana tangu mwanzo kwani ilitawala mchezo karibu maeneo yote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani