Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lwakatare alia upelelezi kutokamilika

Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu iingilie kati suala la upelelezi wa kesi yake kukwama kukamilika mpaka sasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

madaktari walalamikia kutokamilika kwa miradi ya ujenzi vituo vya afya kwa wakati,wakulima wa tumbaku waangusha kilio chao mbele ya Kinana wilayani sikonge

   Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo ya ujenzi wa jengo la upasuaji na Dk.Sylvanus Kabutura Mganga Mfawidhi wa kituo cha afya cha Kata ya Kitunda wilayani Sikonge,Daktari Kabutura  alimueleza Katibu Mkuu wa CCM changamoto kubwa uhaba wa maji katika kituo hicho,na pia kutokamilika kwa jengo kubwa la huduma za upasuaji na huduma nyingine zaidi ya mwaka,jambo ambalo Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana hakufurahishwa nalo,kwani kumekuwepo na malalamiko makubwa kutoka kwa...

 

10 years ago

Daily News

Lwakatare case adjourned


Daily News
Lwakatare case adjourned
Daily News
KAPAMA THE prosecution on Wednesday asked the Kutu Resident Magtrate's Court in Dar es Salaam for more time to complete the investigations into criminal charges against Chadema's Director of Defence and Security, Wilfred Lwakatare and another ...

 

10 years ago

IPPmedia

Lwakatare's case rages on


IPPmedia
Lwakatare's case rages on
IPPmedia
Proceedings of the case facing Director of Defence and Security for Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilfred Lwakatare has raised legal arguments before the Court of Appeal in the application submitted by the Director of Public ...

 

10 years ago

GPL

LWAKATARE ASHINDA KESI YA UGAIDI

MKURUGENZI wa Ulinzi na Usalama wa Chama Cha Maendeleo (Chadema) Taifa, Mhe. Wilfred Lwakatare leo ameshinda kesi ya ugaidi iliyokuwa inamkabili. Kesi hiyo imeendeshwa katika Mahakama ya Rufaa Tanzania.

 

10 years ago

Daily News

DPP wants Lwakatare charged over 'terror'


DPP wants Lwakatare charged over 'terror'
Daily News
THE Director of Public Prosecutions (DPP) has filed an application before the Court of Appeal to oppose the dismissal of terrorism charges against the Director of Defence and Security of Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare, ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mvutano mkali Lwakatare, DPP

RUFAA iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), dhidi ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demopkrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare na mwenzake Joseph Ludovick imeibua mvutano...

 

11 years ago

Mtanzania

Nyumba za Mchungaji Lwakatare zavunjwa

Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare

Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare

MANENO SELANYIKA NA VICTOR MRUTU (TUDARCO)

SERIKALI jana imebomoa nyumba nne za Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare, zilizopo Mtaa wa Palm Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.

Inadaiwa Mchungaji Lwakatare alikuwa anamiliki eneo hilo kinyume na sheria.

Akizungumza na waandishi wa habari katika eneo la tukio, Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Baraka Mkuya, alisema uamuzi huo umetoka...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lwakatare aibwaga serikali kortini

MKURUGENZI wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare, ameshinda rufaa ya maombi ya marejeo yaliyowasilishwa na Serikali kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani