Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAAFA: Donald: Niliokoa wajukuu 50, nikapoteza watano

Kahama. “Kwanza nilikuwa nakwenda Didia Ruhumbo, Wilaya ya Shinyanga Vijijini nikajaza mafuta kwenye gari yangu, lakini nafsi yangu iligoma nikarudi nyumbani nikapaki gari nikawa nimetulia…,” anasema mkazi wa Kijiji cha Mwakata, Donald Lubunda (64), baba mwenye familia ya watu 70.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

CHAMA CHA ACT-WAZALENDO CHAPATA MAAFA KIGOMA, MADIWANI WAKE WATANO WANG'OKA NA KUHAMIA CCM, LEO

Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Kagera katika Manispaa ya Kigoma-Ujiji kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo kinachoongozwa na Zitto Kabwe, Ismail Mahamudu  akizungumza mbele ya waandishi wa habari, baada ya yeye na madiwani wengine wanne wa chama hicho, kutangaza kung'oka ACT-Wazalendo.na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika mkutano na waandishi hao uliofanyika leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally na...

 

10 years ago

BBCSwahili

''Niliokoa Kenya'' asema Moreno Ocampo

Kiongozi wa zamani wa mashitaka katika mahakama ya jinai ya ICC, ameteta umauzi wake wa kumshitaki Rais Uhuru Kenyatta licha ya kesi hiyo kutupiliwa mbali.

 

9 years ago

Bongo5

Nilifanya kazi mpaka nikapoteza fahamu–Nisher

nisher location

Muongozaji wa video, Nisher ameeleza jinsi alivyofanya kazi kupita kiasi ndani ya mwaka 2013/2014 hali iliyomsababisha kupoteza fahamu na kukimbizwa hospitali.

nisher location

Nisher ambaye kwa sasa yupo mapumziko, amekiambia kipindi cha Mkasi cha EATV kuwa, hali hiyo ilisababisha familia yake imshauri apumzike.

“Nilikuwa nafanya kazi sana kuanzia mwaka 2012, 2013 mpaka 2014 mpaka kuna kipindi nilizimia nikiwa naedit video. Nikaanguka chini next time naamka nakuta nipo hospitali nimetundukiwa drip naambiwa...

 

10 years ago

Michuzi

OFISI YA WAZIRI MKUU IDARA YA MAAFA --YATOA MAFUNZO YA MENEJIMENTI YA MAAFA

Baadhi ya Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakifanya zoezi la kuzima moto baada ya mafunzo ya kujiandaa na kukabiliana na dharura ya moto Juni 4, 2015 katika Ukumbi wa Baraza la Maaskofu Dar es Salaam.Baadhi ya Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakimsikiiza Mkufunzi wa masuala ya kujikinga na dharura ya moto kutoka Chuo cha Zima moto Bw. Rajabu Mwangalamo wakati wa Mafunzo ya Menejimenti ya Maafa yaliyofanyika Baraza la Maaskofu Kurasini Dar es Salaam Juni 4, 2015.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI ZA MAAFA ZA TAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO WA MENEJIMENTI YA MAAFA


Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Kagera, Fikira Kisimba (katikati)
akifuatilia mafunzo ya menejimenti ya maafa wakati wa mafunzo kwa
waratibu maafa mkoani Kagera tarehe 24 Juni, 2015, (mwenye miwani) ni
Mkurugenzi msaidizi (Mipango na Utafiti), Idara ya Uratibu maafa Ofisi
ya Waziri Mkuu, Naima Mrisho.Mwakilishi wa  Mkuu wa Polisi wilaya ya Bukoba, Mkaguzi John Kayunga
akifafanua masuala ya menejimenti ya maafa katika Jeshi la Polisi
mkoani Kagera wakati wa  mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA USIMAMIZI MAAFA KILOMBERO YATAKIWA KUFANYA TATHMINI YA ATHARI ZA MAAFA YA MAFURIKO


Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Nyange, wilayani Kilombero, wakitoa vifaa vyao kwenye makazi yao yaliyozingirwa na maji kutokana na athari ya maafa ya mafuriko. Jumla ya Kaya 250 zilizokuwa zimezingirwa na maji zimeokolewa na kuhifadhiwa shule ya sekondari Nyange.
Kufuatia Kaya 250 katika kata ya Msolwa Stesheni katika kijiji cha Nyange Wilayani Kilombero...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI ZA MAAFA MKOANI DODOMA WAFANYA TATHMINI YA MPANGO WA KUJIANDAA NA KUKABILIANA NA MAAFA

 Mkuu wa Mkoa Dodoma, Luteni Mstaafu, Chiku Galawa akisisitiza jambo wakati akifungua Mkutano wa kuwasilisha Taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango ya Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa kwa Halmashauri za Chamwino, Kondoa na Mpwapwa mjini Dodoma,  tarehe 12 Septemba, 2015. Mjumbe wa Kamati ya Maafa wilayani Mpwampwa, Shekh, Sabah Seif akisisitiza jambo wakati wa Mkutano wa kujadili Taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango ya Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa kwa Halmashauri za...

 

10 years ago

Michuzi

JK ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WAJUKUU

KekiWajukuu wakimchukua babu wakamwimbie na kukata naye kekiMjukuu akiogoza wajukuu wenzie kumwimbia babuWajukuu wakimwimbia babu...Happy Birthday to youuuuu...Babu akikata keki huku wajukuu wakiisubiri kwa hamu.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA


 

10 years ago

Mwananchi

Bibi na wajukuu wawili wateketea kwa moto

Watu watatu wa familia moja wamefariki dunia wilayani Mbarali mkoani hapa baada ya nyumba yao ya nyasi walimokuwa wamelala, kuungua moto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani