Maafisa wa Arsenal, waanza ziara yao Tanzania
KLABU ya Arsenal leo imeanza mazungumzo rasmi na makampuni 20 ya hapa nchini kwa lengo la kufungua mahusiano ya kibiashara lakini katika mpango huo makocha wa timu hiyo na baadhi ya nyota waliowahi kutamba watapata fursa ya kudhuru hapa nchini.
Mapema mwenyeji wa wageni hao, Afisa mtendaji mkuu wa EAG Group, Bw Imani Kajura, alisema hii ni fursa sahihi kwa makampuni ya Tanzania kuchangamkia ili kutambulika kimataifa, na kutoa fursa kwa Nchi, kunufaika na miradi ya kijamii itakayoendeshwa kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wb2q2SvaVDA/U3pAsNTP-3I/AAAAAAAFjuo/bqX836bPgvs/s72-c/unnamed+(27).jpg)
WADAU WA BANDARI NA RELI KUTOKA TANZANIA WAANZA ZIARA YA MAFUNZO UBELGIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-wb2q2SvaVDA/U3pAsNTP-3I/AAAAAAAFjuo/bqX836bPgvs/s1600/unnamed+(27).jpg)
9 years ago
StarTV11 Nov
Maafisa ugani walaumiwa kutotumia taaluma yao Mkinga
Maafisa ugani wamelaumiwa kwa kushindwa kutumia taaluma yao vizuri kuwaelimisha wakazi wa Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga kutumia fursa ya ardhi nzuri waliyonayo kwa ajili ya shughuli za kilimo.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwamtumu Mahiza amesema licha ya halmashauri hiyo kuwa na maafisa ugani wa kutosha wameshindwa kuonyesha mchango wao hususani kwenye suala la kilimo.
Ziara ya mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza yenye lengo la kukagua na kuhimiza shughuli za maendeleo katika wilaya mbalimbali za...
11 years ago
Mwananchi13 May
Ukawa waanza ziara ya siku 10 Bara
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nq-Bq0UGzew/Xs06TISBecI/AAAAAAALrp0/Ru9FypGHwgMBx6w9gFEYEBHU89x-79iuACLcBGAsYHQ/s72-c/691e059f-77aa-4222-9545-832e5d6f3b51.jpg)
AFISA TARAFA ITISO AWATAKA MAAFISA UGANI NA WATENDAJI WA KATA KUWATAMBUA WAKULIMA WA UFUTA KATIKA MAENEO YAO
AFISA Tarafa wa Tarafa ya Itiso Wilaya ya Chamwino, Remedius Emmanuel amesema serikali ina nia njema ya kuwasaidia wakulima kupitia mfumo wa Stakabadhi ghalani kwenye zao la ufuta.
Remedius ameyasema hayo leo katika mkutano wake na wananchi wa Tarafa yake uliolenga kujenga uelewa wa pamoja na kutoa ufafanuzi juu ya azma ya Wakala wa Taifa was Hifadhi ya Chakula (NFRA) kuweka kituo cha kununulia mahindi katika Tarafa hiyo.
NFRA wameweka kituo hiko kwenye Kijiji cha...
11 years ago
Michuzi02 Apr
11 years ago
GPL![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/04/Screen-Shot-2014-04-13-at-3.58.45-PM.png?resize=543%2C356)
MAKAMU WA RAIS NA VIONGOZI WENZAKE WAENDELEA NA ZIARA YAO
10 years ago
Michuzi13 Nov
Balozi Seif Ali Iddi na Ujumbe wake waanza ziara ya siku 10 nchini China
![](https://4.bp.blogspot.com/-4j59t3pXkC4/VGSQxnGN_2I/AAAAAAAGw68/iU9GktJNF28/s640/292.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fdrC_AXn_UY/VOTtKQ3jl4I/AAAAAAADZ1E/sQwzuzt5xBs/s72-c/20150218_112816.jpg)
WAHESHIMIWA JANET MBENE NA MOHAMMED ABOUD WAENDELEA NA ZIARA YAO DUBAI
![](http://2.bp.blogspot.com/-fdrC_AXn_UY/VOTtKQ3jl4I/AAAAAAADZ1E/sQwzuzt5xBs/s1600/20150218_112816.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mr7jZZErWIk/VOTtM_-xmfI/AAAAAAADZ1Y/jUKLltlY90g/s1600/20150218_113107.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fsx6ufH0rPo/VOTtN34CbzI/AAAAAAADZ1g/jb_RkF17GiA/s1600/20150218_113113.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-S9-H_nA2QAU/VOTtOL_4VqI/AAAAAAADZ1k/huevlSfHjQg/s1600/20150218_124744.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WM8JASQ6J44/VOTtPGOMh7I/AAAAAAADZ1w/3FRn3WOFMLY/s1600/20150218_124756.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-unv9XJ5P0iI/VOTtQHA66CI/AAAAAAADZ14/PhBFED_vmTM/s1600/20150218_124908.jpg)
10 years ago
Bongo528 Aug
Baba yake Beyonce adai kuwa mwanae na Jay Z walisambaza tetesi za talaka kukuza mauzo ya tiketi ya ziara yao