Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maafisa wa polisi pamoja na wanajeshi waliojihami wanaingia bunge la El Salvador

Wanajeshi na maafisa wa polisi waliojihami nchini El Salvador wamevamia bunge , wakitaka kuidhinishwa kwa mkopo wa dola milioni 109 ili kuwanunulia vifaa vya kukabiliana na uhalifu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi na Polisi wavamia bunge la El Salvador kulishinikiza kupitisha muswada

Wanataka kuidhinishwa kwa mkopo wa mamilioni ya pesa ili kuwapatia vifaa vya kukabiliana na uhalifu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Polisi yavamia kituo cha ukusanyaji taarifa cha TACCEO na kukamata maafisa 36 pamoja na vifaa

2 (1)

Wakili Imelda – Lulu Urio Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC.

Na Mwandishi wetu

Mtandao wa Asasi za Kiraia za Kuangalia chaguzi nchini jana ulipata pigo katika mwendelezo wake wa kukusanya taarifa juu ya mchakato wa uchaguzi mkuu wa 2015 kama unavyoendelea nchi nzima baada ya Jeshi la Polisi kuvamia kituo cha kukusanya taarifa kilichopo katika ofisi za Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu ofisi ya Mbezi Beach.

Tukio hilo lisilo la kawaida lilitokea Majira ya saa nane mchana baada ya polisi...

 

5 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU CHRISTOPHER KADIO, APOKEA TAARIFA YA UKAGUZI MRADI WA DAR CITY UNAOHUSISHA UJENZI WA NYUMBA ZA MAAFISA WA POLISI OYSTERBAY, KIJITONYAMA NA KITUO CHA POLISI OYSTERBAY

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (Watatu kulia) akisisitiza jambo kwa baadhi ya Watendaji wa Wizara hii pamoja na Wajumbe wa Ukaguzi Mradi wa Dar City  walipokuwa katika Kikao cha Kuwasilisha Taarifa  ya Ukaguzi wa Mradi huo, unaohusisha Ujenzi wa Nyumba za Maafisa wa Polisi Oysterbay, Kijitonyama na Kituo cha Polisi Oysterbay. Kikao hicho kilifanyika, Jijini Dodoma leo. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (Watatu kulia)...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanajeshi, polisi watwangana risasi

Watu 12 wamejeruhiwa wakati wa mashambulizi ya kurushiana risasi baina ya askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) Kikosi 128 KJ cha Nyandoto na Polisi wa Kituo cha Stendi wilayani Tarime mkoani Mara.

 

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO

 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya Bunge ya Bajeti ikiwa ni kikao cha maridhiano kuhusu Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2014/2014. kikao hicho kiliudhuriwa pia na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Kayanza Pinda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya. Picha kwa hisani ya Bunge  Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya...

 

10 years ago

CloudsFM

WANAJESHI,POLISI WAPIGANA KWA RISASI

Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na askari wa Jeshi la Polisi, wameshambuliana kwa silaha mbele ya raia na kusababisha baadhi ya maofisa waandamizi kujeruhiwa kwa risasi, baadhi yao vibaya.
Tukio hilo lilitokea juzi saa 11:00 jioni katika Kituo Kikuu cha Mabasi mjini Tarime.

Waliojeruhiwa katika tukio hilo ni askari JWTZ, Aloyce Filbert (24), aliyepigwa risasi mguuni na Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kipolisi wa Tarime/Rorya, SSP Salum, aliyejeruhiwa kichwani pamoja askari kadhaa.

...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa polisi washambuliwa Burundi

Kumekuwa na msururu wa mashambulizi ya maguruneti kuwalenga maafisa wa polisi katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maafisa Polisi 20 wauawa Afghanistan

Maafisa Mashariki mwa Afghanistan wamesema maafisa wa Polisi 20 wameuawa katika mashambulio kadhaa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani