maalim seif mgeni rasmi maulid yaliyoandaliwa na madrasat Muumin Islamiya ya Mwembeshauri.
![](http://4.bp.blogspot.com/-g0G3VpEEBlY/UviyeFMUmxI/AAAAAAAFMGo/1ZcmQJ6Ni4A/s72-c/unnamed+(7).jpg)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amesema wakati umefika kwa Wizara ya Katiba na Sheria kuandaa sera itakayozingatia maslahi ya walimu wa madrasa, ili kuthamini juhudi zao za kuwafundisha watoto. Amesema walimu wa madrasa wana kazi kubwa ya kuisaidia jamii katika malezi na kuwajenga watoto kimaadili, hivyo hakuna budi kuthaminiwa kwa kazi hiyo ambayo muda wote wamekuwa wakiifanya kwa kujitolea. Akizungumza katika hafla ya maulid ya kuzaliwa kwa Mtume...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMaalim Seif mgeni rasmi kwenye mahafali ya tano ya chuo cha Uandishi wa Habari Zanzibar
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vYoHVaXLvE4/Uu6YqdZReJI/AAAAAAAFKbA/hyJpSLR9gn8/s72-c/unnamed+(33).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad mgeni rasmi katika mahafali ya tano ya chuo cha Uandishi wa Habari Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-vYoHVaXLvE4/Uu6YqdZReJI/AAAAAAAFKbA/hyJpSLR9gn8/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OWb25d9h6UI/Uu6YqqciUjI/AAAAAAAFKbI/zwUwL3VZzBU/s1600/unnamed+(34).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-huP7FUwaqbc/Uu6YqmSD4FI/AAAAAAAFKbE/KfPKrnTio2M/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F_cPjbTsGho/Uu6YrGi9rPI/AAAAAAAFKbY/QpjyL7pIhFo/s1600/unnamed+(36).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BzeBmnv4wJU/UxtnEmo9lbI/AAAAAAAFSJQ/YQyZTOsHDgc/s72-c/unnamed+(38).jpg)
MAMA ASHA BILAL MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YALIYOANDALIWA NA 8020 Fashions
![](http://4.bp.blogspot.com/-BzeBmnv4wJU/UxtnEmo9lbI/AAAAAAAFSJQ/YQyZTOsHDgc/s1600/unnamed+(38).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PqeZWqmKby0/Uxtnn0aHCRI/AAAAAAAFSKQ/G7MASJ9x708/s1600/unnamed+(46).jpg)
11 years ago
Habarileo13 Jan
Mzee Mwinyi mgeni rasmi Maulid Dar
RAIS mstaafu, Ali Hassan Mwinyi leo atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za Maulidi Kimkoa, Dar es Salaam zinazofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE SHEREHE YA MAULID YA KUZALIWA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) HUKO WETE-PEMBA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RSr9sJiNWzY/VUMcp9EJyRI/AAAAAAADloc/e_7cFD0sDuk/s72-c/Baadhi%2Bya%2Bwaumini%2BMasjid%2BKubah%2BSegerea%2BMwisho%2CDar.jpg)
MASJID KUBAH NA MADRASAT RAHMAN SEGEREA INAWAKARIBISHA KATIKA MAULID SIKU 9 HADI 10 MAI 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-RSr9sJiNWzY/VUMcp9EJyRI/AAAAAAADloc/e_7cFD0sDuk/s1600/Baadhi%2Bya%2Bwaumini%2BMasjid%2BKubah%2BSegerea%2BMwisho%2CDar.jpg)
Ungana nasi at https://www.facebook.com/profile.php?id=100006405199429
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-i0kQrtV4TS0/VUtTb5eDa9I/AAAAAAAHV8U/YAsXMINDtb0/s72-c/unnamed%2B(83).jpg)
MASJID KUBAH NA MADRASAT RAHMAN SEGEREA, DAR INAWAKARIBISHA KATIKA MAULID TAREHE 9 HADI 10 MEI 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-i0kQrtV4TS0/VUtTb5eDa9I/AAAAAAAHV8U/YAsXMINDtb0/s640/unnamed%2B(83).jpg)
9 years ago
Habarileo25 Aug
Shein rasmi kumvaa Maalim Seif
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amechukua fomu ya kuwania urais wa Zanzibar, akiomba ridhaa kwa wananchi aweze kuongoza katika kipindi kingine cha miaka mitano, ambapo sasa atapambana na mgombea urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharrif Hamad.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FtX6CZAPpoU/VgFArnH6WlI/AAAAAAAC_ZM/KFR3zf8QVPQ/s72-c/Rashid-15August2015.jpg)
DKT SEIF MGENI RASMI KILELE CHA SIKU YA VIZIWI DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-FtX6CZAPpoU/VgFArnH6WlI/AAAAAAAC_ZM/KFR3zf8QVPQ/s200/Rashid-15August2015.jpg)
Hayo yamesemwa na Afisa Jinsia na Maendeleo kutoka Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Bi. Lupi Mwaisaka Maswanya alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Bi. Mwaisaka amesema kuwa lengo la maadhimisho hayo ni kujenga mwamko wa jamii...