Maamuzi ya Mahakama kuhusu kesi aliyoifungua Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ dhidi ya mkewe wa zamani
Ni habari ambayo imeandikwa na gazeti ya Mwananchi June 23 2015 ikitokea Mahakamani Manzese Dar es salaam kuhusu kesi iliyokua imefunguliwa na Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi kuhusu mke wake wa zamani.
Taarifa inasema Mahakama ya Manzese imeamuru Mbunge Joseph Mbilinyi akabidhiwe mtoto wao kutokana na kesi aliyoifungua dhidi ya mke wake huyu akidai anamuharibu mtoto.
Hii habari imekuja siku kadhaa tu baada ya TUZO ZA KILI 2015 ambapo mke huyu wa zamani aliingia kwenye headlines...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies26 Jun
Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Atoa Maelezo Yake binafsi Bungeni Baada ya Ishu ya Faiza Ally na Mtoto Wao kuzungumzwa Hapo Jana
Kwenye kilichosikika jana June 25 2015 toka ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma ilikuwepo pia ishu ya Mbunge Martha Mlata kuanzisha mjadala kuhusu amri ya Mahakama kwamba Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi Sugu akabidhiwe mtoto wake ambae amezaa na Faiza Ally kutokana na Mbunge huyo kuonekana kutoridhwishwa na malezi ya mtoto akiwa kwenye mikono ya mama yake.
Ombi likapokelewa kwenye meza ya Naibu Spika leo June 26 2015 >>>”Nimepokea ombi maalum la kuwasilisha maombi binafsi kutoka kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq-FlF2qh2YSCseKZZ8lWopTpfxs8Nv-0S7EOdn7o9vcOVw*8P6uL2DEBFkTyIuMV*13uM2mBzlIMc7nDGAqeo9o/Sugu.jpg?width=650)
MJUE MWANASIASA WAKO JOSEPH MBILINYI ‘SUGU’
9 years ago
Bongo529 Oct
Faiza akiri kuwa bado anampenda baba wa mtoto wake Joseph ‘Sugu’ Mbilinyi
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Joseph Mbilinyi
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Ay_N8iFO_cs/VYpB7K-SYqI/AAAAAAABQjs/z-sMB7LX0Xw/s72-c/Sugu%2Bna%2BSasha.jpg)
SUGU ASHINDA KESI DHIDI YA MAMA MTOTO WAKE FAIZA, MAHAKAMA YAAMUA APEWE MTOTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ay_N8iFO_cs/VYpB7K-SYqI/AAAAAAABQjs/z-sMB7LX0Xw/s640/Sugu%2Bna%2BSasha.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TLBch-xO68U/VYpB4vR4EdI/AAAAAAABQjk/mStD8WmafcU/s640/Faiza%2BAlly%2Bna%2BSasha.jpg)
Hiki ndicho amekiandika...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-FlrZdkCbMvY/VZMLHklLQxI/AAAAAAAABTo/AOYt6gnlbuA/s72-c/Mapokezi%2BSugu.jpg)
MBEYA KULINDIMA: Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu" kupata "Home coming" ya kifalme Mbeya
Mh. Joseph Mbilinyi ameandaliwa mapokezi ya kifalme jijini Mbeya pindi atakapo kuwa anarudi kutoka Bungeni. Baada ya kuwatumikia wakazi wa Mbeya na Tanzania kwa miaka mitano, Mh. Sugu na wanaMbeya wanasema "DAIMA MBELE, MBEYA TUNASONGA.
Mapokezi haya ya kihistoria kuwahi kutokea Tanzania yatakuwa July 12, 2015 saa Saba mchana. Msafara wa mapokezi utaanzia Itewe hadi kuishia viwanja vya Ruanda Nzovwe. Mh. Mbilinyi anatarajiwa kuongozana na viongozi mbalimbali wa kiaifa.
Kwenye mkutano wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NgTYX_b80jw/VK6S3s2eHqI/AAAAAAAAA1Q/vSwXWPSuaLQ/s72-c/Sugu7.jpg)
9 years ago
StarTV29 Dec
 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo
Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.
Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.
Baada ya uchaguzi mkuu...
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Maamuzi mawili kwa leo kutoka Mahakama Kuu Dar kuhusu ishu ya bomoabomoa.. (+Pichaz)
Maamuzi haya yalikuwa yakisubiriwa na wengi Dar es Salaam, na kwa sababu Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam iliahidi kwamba maamuzi yanatoka leo, macho na masikio ya wengi yalielekea huko kwa siku nzima. Zoezi la bomoabomoa lilianza mwishoni mwa 2015, likasimamishwa kwa muda alafu taarifa ikatoka kwamba zoezi litaendelea leo Januari 5 2015, lakini […]
The post Maamuzi mawili kwa leo kutoka Mahakama Kuu Dar kuhusu ishu ya bomoabomoa.. (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.