Maaskofu wataka JK aendeleze fagio lake
MAASKOFU wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo nchini, wamepongeza uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete kuwajibisha watendaji wake, huku wakimtaka asiishie kuchukua hatua kwa waliotajwa kuhusika na sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow pekee, bali pia wazembe na wote wanaokutwa na tuhuma mbalimbali katika utawala wake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Jan
Maaskofu wataka timuatimua kanisani
TIMUATIMUA inayoendelea kufanywa na Papa Francis katika benki ya Vatican, imevutia maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini ambao wameshauri katika miradi ya Kanisa hilo nchini, hata kama hiyo ichukuliwe kukitokea kutowajibika. Wakizungumza na gazeti hili hivi karibuni, maaskofu wa Kanisa hilo nchini walisema hatua aliyochukua Papa Francis ya kuondoa madarakani makadinali wanne waliokuwa wasimamizi wa benki ya Vatican ni nzuri.
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Maaskofu 32 Katoliki wataka Tume ya Warioba iheshimiwe
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Masheikh wataka maaskofu waliache Bunge lifanye kazi
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/Erv9D9Eqtxg/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Fagio la Mwakyembe kule Uchukuzi, Sitta umeliona au…
10 years ago
Bongo516 Feb
Picha: Kampeni ya Nipe Fagio yasherehekea Valentine’s Day kwa kusafisha fukwe za Msasani
9 years ago
MichuziKOMBE AMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI KWA KUWAPATIA JAMBO LEO FAGIO ZA USAFI SIKUKUU YA UHURU
10 years ago
TheCitizen26 Dec
LAKE ZONE: Fresh killings rock Lake Zone towards Christmas
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pg1AAUh2cSerLPiMAOrbIxeLt*YoMJ-Oo57wYaiiawYKfdl8u4oeHOdQ6I*uO2nOY9ocI4rWSk8Z0elhwHkYnj/mimi.jpg)
MAASKOFU, FREEMASON...