Maaskofu wataka timuatimua kanisani
TIMUATIMUA inayoendelea kufanywa na Papa Francis katika benki ya Vatican, imevutia maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini ambao wameshauri katika miradi ya Kanisa hilo nchini, hata kama hiyo ichukuliwe kukitokea kutowajibika. Wakizungumza na gazeti hili hivi karibuni, maaskofu wa Kanisa hilo nchini walisema hatua aliyochukua Papa Francis ya kuondoa madarakani makadinali wanne waliokuwa wasimamizi wa benki ya Vatican ni nzuri.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo26 Dec
Maaskofu wataka JK aendeleze fagio lake
MAASKOFU wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo nchini, wamepongeza uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete kuwajibisha watendaji wake, huku wakimtaka asiishie kuchukua hatua kwa waliotajwa kuhusika na sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow pekee, bali pia wazembe na wote wanaokutwa na tuhuma mbalimbali katika utawala wake.
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Maaskofu 32 Katoliki wataka Tume ya Warioba iheshimiwe
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Masheikh wataka maaskofu waliache Bunge lifanye kazi
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Simba yaanza timuatimua, yatimua nyota watatu kambini
9 years ago
Michuzi02 Jan
TIMUATIMUA YATUA MNADA WA PUGU, MWIGULU ASHIRIKIANA NA MAWAZIRI WAWILI KUTATUA KERO MACHINJIO YA PUGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BvvAZRNFqnTwDzdDu43J1QrzB3wO0qCCv5TyCHdlZ66sbzjNLf9Lu5Owu5LIudktaPwMk1QmiytZwZK0wwbrUwPpXgpUpkbX/Front.jpg)
MAINDA AGOMBANA KANISANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1pYGM2xUDQmo4Qf5zv4SQD6lZXjj*FjHBbJRO7GDyK7iL7rwZRKusH5fLKJReO4B7N8lPLHDPtFqXJGalKvruYCimdIksUQN/jb.jpg)
JB BETHIDEI YANGU NI KANISANI TU!
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Mungu yuko kanisani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oPr-443rT*fZXoIumO81t2PFAP0TTVXHG0WWO1y9eITNF87n0z5kcwXRsA3MFKJkdFKrjEMeEFha-BNktfi8WfF/vifo.jpg)
MASTAA WAOMBEWA KANISANI