Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabadiliko ya rasilimali

MJUMBE wa kampeni ya taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwigulu Nchemba amesema mabadiliko yanayotakiwa wakati huu ni ya utendaji na usimamizi wa rasilimali za taifa na maslahi kwa jamii na sio kukiondoa chama kimoja na kukiweka kingine madarakani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

STAMICO YAJIIMARISHA KATIKA KULETA MABADILIKO YA USIMAMIZI WA RASILIMALI YA MADINI

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Taifa la Madini (Stamico),Zena Kangoyi akizungumza na waandishi wa habari juu mafanikio ya stamico baada ya maboresho yaliyofanywa katika shirika hilo katika Ofisi Makao Makuu jijini Dar es Salaam. Kaimu Mkurugenzi wa Utafiti na Uchorongaji ,Alex Rutagwelela akizungumza na waandishi wa habari juu Stamico linavyosimamia majukumu yake katika katika kuendeleza wachuimbaji wadogo iliyofanyika leo Makao Makuu ya Stamico,jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mabadiliko boraa ndiyo wanainchi wanayohitaji na sio bora mabadiliko-Dkt Magufuli

 Baadhi ya Wakazi wa mji wa Musoma waliojitokeza kwa wingi wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa  akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Mkendo,Dkt Magufuli aliwaambia wananchi hao ifikapo oktoba 25 wajitokeze kwa wingi wakampigie kura kwani anataka kuwatumikia Watanzania kwa kuwaletea maendeleo.   Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye mkutano...

 

9 years ago

Michuzi

DKT MAGUFULI ALIVYOITEKA MUSOMA, ASEMA MABADILIKO BORA NDIYO WANAINCHI WANAYOHITAJI NA SIO BORA MABADILIKO

 Baadhi ya Wakazi wa mji wa Musoma waliojitokeza kwa wingi wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa  akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Mkendo,Dkt Magufuli aliwaambia wananchi hao ifikapo oktoba 25 wajitokeze kwa wingi wakampigie kura kwani anataka kuwatumikia Watanzania kwa kuwaletea maendeleo.  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye mkutano wa...

 

9 years ago

Michuzi

MABADILIKO BORA NDIYO WANAINCHI WANAYOHITAJI NA SIO BORA MABADILIKO-DKT MAGUFULI

 Baadhi ya Wakazi wa mji wa Musoma waliojitokeza kwa wingi wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa  akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Mkendo,Dkt Magufuli aliwaambia wananchi hao ifikapo oktoba 25 wajitokeze kwa wingi wakampigie kura kwani anataka kuwatumikia Watanzania kwa kuwaletea maendeleo.   Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye mkutano wa...

 

9 years ago

Raia Mwema

TUNATAKA “mabadiliko” au MABADILIKO?

UPEPO wa mabadiliko nchini unaendelea kuvuma.

Lula wa Ndali Mwananzela

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rutabanzibwa: Rasilimali zisimamiwe

KATIBU Mkuu mstaafu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Pan African Energy, Patrick Rutabanzibwa, amewataka viongozi wa serikali kusimamia kikamilifu rasilimali zilizopo...

 

11 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini kusimamia rasilimali

SERIKALI imeanzisha utaratibu wa kusimamia rasilimali za nchi kwa kushirikiana na viongozi wa dini, ili kuondoa upotoshaji na kuimarisha umoja na amani ya nchi. Rais Kikwete alisema hayo jana katika kongamano lililoandaliwa Dar es Salaam na viongozi wa dini nchini, kuhusu rasilimali za gesi asilia, mafuta na madini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TGNP yahizimiza mgawanyo rasilimali

KAIMU Mkurugezi wa Mtandao wa Jinsia (TGNP), Lilian Liundi, amesema nguvu ya pamoja katika kusimamia mgawanyo wa rasilimali inahitajika, ili kuleta mabadiliko katika jamii iliyoko pembezoni. Lilian aliitoa kauli hiyo...

 

11 years ago

Habarileo

Rasilimali za nchi zachotwa kweupe

WAWEKEZAJI kutoka nje, wametajwa kugeuka mawakala wa kutorosha fedha nje ya uchumi wa Tanzania, kiasi cha mabilioni ya Dola za Marekani, ambayo yakibadilishwa, yanafikia matrilioni ya Shilingi. Fedha hizo zimekuwa zikiporwa nchini kutoka serikalini kwa maana ya kukwepa kodi na katika jamii, kupitia ununuzi wa bidhaa nje ya nchi, ambazo thamani yake huchakachuliwa kwa kuongezwa kinyume na thamani halisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani