Mabadiliko ya rasilimali
MJUMBE wa kampeni ya taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwigulu Nchemba amesema mabadiliko yanayotakiwa wakati huu ni ya utendaji na usimamizi wa rasilimali za taifa na maslahi kwa jamii na sio kukiondoa chama kimoja na kukiweka kingine madarakani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSTAMICO YAJIIMARISHA KATIKA KULETA MABADILIKO YA USIMAMIZI WA RASILIMALI YA MADINI
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Mabadiliko boraa ndiyo wanainchi wanayohitaji na sio bora mabadiliko-Dkt Magufuli
![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s640/_MG_5213.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V3NXh4LQFcI/VfMYKjOzTtI/AAAAAAAC-9E/NPLO1xXAxGE/s640/_MG_5242.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s72-c/_MG_5213.jpg)
DKT MAGUFULI ALIVYOITEKA MUSOMA, ASEMA MABADILIKO BORA NDIYO WANAINCHI WANAYOHITAJI NA SIO BORA MABADILIKO
![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s640/_MG_5213.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V3NXh4LQFcI/VfMYKjOzTtI/AAAAAAAC-9E/NPLO1xXAxGE/s640/_MG_5242.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s72-c/_MG_5213.jpg)
MABADILIKO BORA NDIYO WANAINCHI WANAYOHITAJI NA SIO BORA MABADILIKO-DKT MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s640/_MG_5213.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6tB5GfgHDpE/VfMY1jMfO5I/AAAAAAAC-9s/7u7KRNpoCzQ/s640/_MG_5246.jpg)
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
TUNATAKA “mabadiliko” au MABADILIKO?
UPEPO wa mabadiliko nchini unaendelea kuvuma.
Lula wa Ndali Mwananzela
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Rutabanzibwa: Rasilimali zisimamiwe
KATIBU Mkuu mstaafu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Pan African Energy, Patrick Rutabanzibwa, amewataka viongozi wa serikali kusimamia kikamilifu rasilimali zilizopo...
11 years ago
Habarileo22 Jan
Viongozi wa dini kusimamia rasilimali
SERIKALI imeanzisha utaratibu wa kusimamia rasilimali za nchi kwa kushirikiana na viongozi wa dini, ili kuondoa upotoshaji na kuimarisha umoja na amani ya nchi. Rais Kikwete alisema hayo jana katika kongamano lililoandaliwa Dar es Salaam na viongozi wa dini nchini, kuhusu rasilimali za gesi asilia, mafuta na madini.
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
TGNP yahizimiza mgawanyo rasilimali
KAIMU Mkurugezi wa Mtandao wa Jinsia (TGNP), Lilian Liundi, amesema nguvu ya pamoja katika kusimamia mgawanyo wa rasilimali inahitajika, ili kuleta mabadiliko katika jamii iliyoko pembezoni. Lilian aliitoa kauli hiyo...
11 years ago
Habarileo20 May
Rasilimali za nchi zachotwa kweupe
WAWEKEZAJI kutoka nje, wametajwa kugeuka mawakala wa kutorosha fedha nje ya uchumi wa Tanzania, kiasi cha mabilioni ya Dola za Marekani, ambayo yakibadilishwa, yanafikia matrilioni ya Shilingi. Fedha hizo zimekuwa zikiporwa nchini kutoka serikalini kwa maana ya kukwepa kodi na katika jamii, kupitia ununuzi wa bidhaa nje ya nchi, ambazo thamani yake huchakachuliwa kwa kuongezwa kinyume na thamani halisi.