Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rutabanzibwa: Rasilimali zisimamiwe

KATIBU Mkuu mstaafu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Pan African Energy, Patrick Rutabanzibwa, amewataka viongozi wa serikali kusimamia kikamilifu rasilimali zilizopo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Sheria zisimamiwe kudhibiti uuzwaji holela wa dawa

Chama cha Wafamasia (PST) juzi kilitoa taarifa kuhusu matumizi mabaya ya dawa yanayosababishwa na kuwapo kwa maduka holela ambayo hutoa dawa bila kuzingatia kanuni , maadili na taratibu za kitabibu na matokeo yake ni kuzorotesha afya za wananchi.

 

9 years ago

Habarileo

Mabadiliko ya rasilimali

MJUMBE wa kampeni ya taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwigulu Nchemba amesema mabadiliko yanayotakiwa wakati huu ni ya utendaji na usimamizi wa rasilimali za taifa na maslahi kwa jamii na sio kukiondoa chama kimoja na kukiweka kingine madarakani.

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania yafagiliwa mgawanyo rasilimali

TANZANIA imetajwa kama mfano wa kuigwa katika mgawanyiko sahihi wa rasilimali za taifa kwenye sekta ya elimu. Imetajwa kwamba imesambaza rasilimali zake kwa kuhakikisha kuwa kila mtoto wa Mtanzania anayefikisha umri wa kwenda shule anasoma jambo ambalo linaepusha malalamiko kutoa kwenye jamii.

 

11 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini kusimamia rasilimali

SERIKALI imeanzisha utaratibu wa kusimamia rasilimali za nchi kwa kushirikiana na viongozi wa dini, ili kuondoa upotoshaji na kuimarisha umoja na amani ya nchi. Rais Kikwete alisema hayo jana katika kongamano lililoandaliwa Dar es Salaam na viongozi wa dini nchini, kuhusu rasilimali za gesi asilia, mafuta na madini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwajage: Rasilimali watu kikwazo

HALMASHAURI za wilaya  nchini zimekuwa zikikwama kufikia malengo kutokana na kuwepo kwa utendaji usioridhisha. Akiuliza swali Bungeni, mbunge wa Muleba Kaskazini, Charles Mwijage (CCM), alisema moja ya mapungufu yaliyopo katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TGNP yahizimiza mgawanyo rasilimali

KAIMU Mkurugezi wa Mtandao wa Jinsia (TGNP), Lilian Liundi, amesema nguvu ya pamoja katika kusimamia mgawanyo wa rasilimali inahitajika, ili kuleta mabadiliko katika jamii iliyoko pembezoni. Lilian aliitoa kauli hiyo...

 

11 years ago

Habarileo

Rasilimali za nchi zachotwa kweupe

WAWEKEZAJI kutoka nje, wametajwa kugeuka mawakala wa kutorosha fedha nje ya uchumi wa Tanzania, kiasi cha mabilioni ya Dola za Marekani, ambayo yakibadilishwa, yanafikia matrilioni ya Shilingi. Fedha hizo zimekuwa zikiporwa nchini kutoka serikalini kwa maana ya kukwepa kodi na katika jamii, kupitia ununuzi wa bidhaa nje ya nchi, ambazo thamani yake huchakachuliwa kwa kuongezwa kinyume na thamani halisi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rasilimali maji, nishati muhimu kuthaminiwa

MWAKA 1992 Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) ulipitisha Azimio namba 47 kuwa Machi 22 ya kila mwaka, nchi wanachama waadhimishe Siku ya Maji Duniani. Hii inatokana na maji...

 

10 years ago

Mwananchi

Rasilimali za umma zisitumike kupiga siasa

>Kwa muda mrefu sasa tumekuwa na utamaduni wa wanasiasa na watumishi wa Serikali kutumia rasilimali za umma katika masuala yasiyohusiana na shughuli za umma. Utamaduni huo ambao umeota mizizi sasa unaonekana kama jambo la kawaida kutokana na mamlaka zilizopewa dhima ya kusimamia rasilimali hizo pia kuwa sehemu ya tatizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani