Tanzania yafagiliwa mgawanyo rasilimali
TANZANIA imetajwa kama mfano wa kuigwa katika mgawanyiko sahihi wa rasilimali za taifa kwenye sekta ya elimu. Imetajwa kwamba imesambaza rasilimali zake kwa kuhakikisha kuwa kila mtoto wa Mtanzania anayefikisha umri wa kwenda shule anasoma jambo ambalo linaepusha malalamiko kutoa kwenye jamii.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
TGNP yahizimiza mgawanyo rasilimali
KAIMU Mkurugezi wa Mtandao wa Jinsia (TGNP), Lilian Liundi, amesema nguvu ya pamoja katika kusimamia mgawanyo wa rasilimali inahitajika, ili kuleta mabadiliko katika jamii iliyoko pembezoni. Lilian aliitoa kauli hiyo...
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Ndugai: Taifa lina tatizo la mgawanyo wa rasilimali
11 years ago
Michuzi26 Jul
Wajumbe Bunge Maalum kupigania usawa na mgawanyo wa rasilimali



11 years ago
MichuziCRDB BANK YAFAGILIWA JIJINI ARUSHA
Bw. Erio aliyasema hayo jijini Arusha jana katika hafla ya chakula cha jioni kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa PPF iliyofanyika katika hoteli ya Naura Springs.
Mkurugenzi huyo alisema kuwa Shirika lake lina faraja kubwa kuona benki ya CRDB ambayo PPF ni mmoja ya wanahisa wake wakuu, ikiendelea vizuri na kufikia viwango vya...
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Mgawanyo na uuteuzi wa Madiwani Wanawake viti maalum Halmashauri zote Tanzania Bara, 2015!
MAJINA YA MADIWANI WANAWAKE VITI MAALUM TANZANIA BARA 2015
11 years ago
Michuzi
Rasilimali watu na Haki ya Kuzaliwa Tanzania…..Part I

Kuwepo kwa mali asili kama madini, mafuta na gesi asilia kwa kiwango kikubwa imekuwa laana kwa mataifa kwani yamekuwa...
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Kwa rasilimali ilizonazo, Tanzania inapaswa kuongoza katika AGOA
RAIS Barak Obama, tangu ameingia madarakani, amekuwa akisisitiza mtazamo na sera yake kuhusu Afrika ni ‘Biashara badala ya misaada’.
Kutokana na msimamo huo amekuwa akiwaeleza viongozi wa bara hili, kila alipokutana nao, kuwa nchi za Kiafrika haziwezi kuendelea kwa kutegemea misaada kutoka mataifa tajiri kama vile Marekani, hata kama misaada hiyo ni mikubwa kiasi gani.
Mara nyingi ameziasa nchi hizi kuacha kutegemea misaada kama msingi wa maendeleo, badala yake zitumie rasilimali...
11 years ago
GPLWAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAANDALIWA FUTARI NA IDARA YA RASILIMALI WATU YA KAMPUNI HIYO