Mabalozi na Wafanyabiashara Kutoka Kuala Lumpur watembelea Serengeti, Ngorongoro na Zanzibar

Balozi wa Tanzania nchini Malaysia Dkt. Aziz Ponary Mlima aliwaalika Mabalozi wa nchi mbali mbali kuja kutembelea Tanzania hivi karibuni.
Mabalozi hao kutoka Kuala Lumpur Malaysia walitembelea mbuga za wanayama za Serengeti, Ngorongoro na walifanya ziara mjini Zanzibar.
Mabalozi hao ni Waheshimiwa Viorica na Constantin Nistor (Romania), Stephen Mubiru (Uganda), Dkt. Aziz Ponary Mlima(Tanzania), Isabela Mhlanga( Afrika Kusini), na Bwana Rogatius Shao (Naibu Balozi-Tanzania).Mabalozi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
SHEREHE ZA MUUNGANO KUALA LUMPUR.
Sherehe hiyo iliyofanyika katika Hotel ya InterContinental Iliyopo Kuala Lumpur ilihudhuriwa na wageni 300 wakiwepo Mabalozi, wawakilishi na viongozi mbali mbali kutoka sekta binafsi na fedha waliopo hapa Kuala Lumpur na baadhi ya wanafunzi na watanzania walioweza kushiriki.
Serikali...
10 years ago
Vijimambo
PBZ WASHIRIKI MKUTANO WA 6 WA ASIA ISLAMIC BANK, KUALA LUMPUR, MALAYSIA


11 years ago
Michuzi
Maadhimisho sherehe za Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania yafana jijini Kuala Lumpur,Malaysia



11 years ago
Michuzi.jpg)
Advance Transformational Leadership for Women's Empowerment Workshop held n Kuala Lumpur, Malaysia
10 years ago
MichuziMAMA SALMA AWASILI MALAYSIA NA KUTEMBELEA KIWANDA CHA KUTENGENEZA TRENI CHA SMH RAIL MJINI KUALA LUMPUR
10 years ago
MichuziWAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUTOKA UBELGIJI WATEMBELEA MKOA WA PWANI
10 years ago
MichuziWAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUTOKA UBELGIJI WATEMBELEA MAENEO YA UWEKEZAJI BAGAMOYO
10 years ago
Michuzi
UJUMBE WA WAFANYABIASHARA KUTOKA KOREA WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KWENYE MAONESHO YA SABASABA


10 years ago
Vijimambo09 Apr
NYOTA WA BARCELONA WATEMBELEA HIFADHI YA NGORONGORO

Credit:ShaffihDaud.












Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10