Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHEREHE ZA MUUNGANO KUALA LUMPUR.

Balozi wa Tanzania Nchini Malaysia Dkt. Aziz Ponary Mlima na Mrs Mkola Mlima pamoja na Wafanyakazi wa Ubalozi wakiwapokea wageni katika kuadhimisha sherehe za miaka 51 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 
Sherehe hiyo iliyofanyika katika Hotel ya InterContinental Iliyopo Kuala Lumpur ilihudhuriwa na wageni 300 wakiwepo Mabalozi, wawakilishi na viongozi mbali mbali kutoka sekta binafsi na fedha waliopo hapa Kuala Lumpur na baadhi ya wanafunzi na watanzania walioweza kushiriki.
Serikali...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Maadhimisho sherehe za Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania yafana jijini Kuala Lumpur,Malaysia

Watanzania waishio nchini Malaysia hivi karibuni walikutana pamoja katika hafla ya kusherehekea maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanzania zilizofanyika katika Hotel ya Prince jijini Kuala Lumpur- Malaysia,chini ya uongozi wa Balozi Dr. Aziz Ponary Mlima. Mgeni rasmi kwenye hafla hiyo alikuwa ni Naibu Waziri wa Usafiri na Uchukuzi wa Malaysia Dato Ab. Aziz Kaprawi. Balozi wa Tanzania nchini Malaysia,Dr. Aziz Ponary Mlima pamoja na Maafisa wa Ubalozi wakiwakaribisha wageni waalikwa.

 

10 years ago

Michuzi

Mabalozi na Wafanyabiashara Kutoka Kuala Lumpur watembelea Serengeti, Ngorongoro na Zanzibar

Balozi wa Tanzania nchini Malaysia Dkt. Aziz Ponary Mlima aliwaalika Mabalozi wa nchi mbali mbali kuja kutembelea Tanzania hivi karibuni.
Mabalozi hao kutoka Kuala Lumpur Malaysia walitembelea mbuga za wanayama za Serengeti, Ngorongoro na walifanya ziara mjini Zanzibar.
Mabalozi hao ni Waheshimiwa Viorica na Constantin Nistor (Romania), Stephen Mubiru (Uganda), Dkt. Aziz Ponary Mlima(Tanzania), Isabela Mhlanga( Afrika Kusini), na Bwana Rogatius Shao (Naibu Balozi-Tanzania).Mabalozi...

 

10 years ago

Vijimambo

PBZ WASHIRIKI MKUTANO WA 6 WA ASIA ISLAMIC BANK, KUALA LUMPUR, MALAYSIA

Ujumbe wa PBZ ukiongozwa na mwenyekiti wa Bodi ya PBZ, Abdulrahman Mwinyi Jumbe (kulia) ukifuatilia kwa makini mada zinazotolewa kwenye mkutano wa 6 wa Asia Islamic Banking, uliofanyika katika hoteli ya Inter Continental Kuala Lumpur, MalaysiaWashiriki wa mkutano wa 6 wa Asia Islamic Banking, wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza mkutano wa siku mbili tarehe 12-13 Agosti 2015 uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Inter Continental, Kuala Lumpur, Malaysia

 

11 years ago

Michuzi

Advance Transformational Leadership for Women's Empowerment Workshop held n Kuala Lumpur, Malaysia

A course  on "Adavanced Transformational Leadership for Women's Empowerment" was recently held in Kuala Lumpur, Malaysia, and  attracted 20 Senior and Director's level participants from various Ministries, Departments and Organizations from Tanzania. This course was organised by TaGLA, under the stewardship of Mrs Deodatha Makan Board Member of TaGLA and DAP of Treasury.The Course facilitator was Ms. Shanta Nagendram (SkillFocus Consultancy from Malaysia). During the closing ceremony,...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA SALMA AWASILI MALAYSIA NA KUTEMBELEA KIWANDA CHA KUTENGENEZA TRENI CHA SMH RAIL MJINI KUALA LUMPUR

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea ua kutoka kwa watoto wa wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Malaysia mara baada ya kuwasili kwenye Hoteli ya Royale Chulan iliyopo Kuala Lumpur, Mji Mkuu wa Malaysia tarehe 23.7.2015. Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akipokewa na Mkurugenzi Mkuu wa SMH Rails Bwana Narayanan Kuppusamy mara baada ya kuwasili kwenye karakana ya treni iliyoko Kuala Lumpur nchini Malaysia Tarehe 24.7.2015. Mke wa...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA MUUNGANO DMV.


JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAWAKARIBISHA KUJUMUIKA NA MHE.MSTAAFU RAIS ALI HASSAN MWINYI, KATIKA KUADHIMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO JUMAMOSI TAREHE 25 Aprili 2015 SHEREHE HIZO ZITAAMBATANA NA BBQ SAA 8:00 MCHANA NA KUFWATIWA NA   MECHI YA MPIRA KATI YA TANZANIA BARA NA VISIWANI SAA 12:30 JIONIANUANI 8001 WALKER MILL RD,DISTRICT HEIGHTS MD,20747SHUKRANI KWA WADHAMINI THE PEOPLE’S BANK OF TANZANIA

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA MUUNGANO DMV

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Iddi Sandaly na mweka hazina wake Bi. Jasmine Rubama wakiweka mahesabu sawa siku ya sherehe ya Muungano April 25, jioni iliyofanyika Beltsville, Maryland.Wadau mbalimbali waliohudhuria sherehe hiyo wakipata picha ya pamoja.Wadau wakipata ukodak moment.Wadau waliohudhuria sherehe hiyo wakipata picha ya pamoja.Watanzania wakijumuika pamoja na kupata picha ya kumbukumbu siku ya sherehe ya Muungano DMV iliyofanyika Jumamosi April 25, 2015 Beltsville,...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA MUUNGANO WASHINGTON, SEATTLE

 Mayor wa Seattle Amin (kushoto akiwa na Bwana Ubwa Jas katika sherehe ya Muungano iliyofanyika siku ya Jumamosi April 25, 2015 Seattle jimbo la Washington.Bi Ubwa akiwa kwenye sherehe ya Muungano iliyofanyika siku ya Jumamosi April 25, 2015 Seattle jimbo la Washington.Wadau wakiwa kwenye sherehe ya Muungano Seattle.Nick akiwa na mama mwenye nyumba wake EdithJimmy na mama mwenye nyumba wake FatmaKwa picha zaidi bofya soma zaidi

Zaham Brothers Bi. Rahima J. Bi. Mwana na Bwn. Ubwa Jaha

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani