Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabomu Arusha, Z’bar kuathiri mapato - Mkuya

Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya amesema matukio ya milipuko ya mabomu yanayotokea katika miji ya Arusha na Zanzibar, yataleta madhara kiuchumi kwa vile yatapunguza idadi ya watalii na uwekezaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mh. Saada Mkuya awasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya fedha mwaka 2014/2015

Hotuba Mawaziri fedha

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum (Mb) akiwasilisha Bungeni hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara yake kwa mwaka 2014/15 leo mjini Dodoma. Waliokaa viti vya nyuma ni Manaibu Waziri Mwigulu Nchemba (kushoto) na Adam Malima (kulia).(Picha na Wizara ya Fedha).

Hotuba 1

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum (Mb) akiwasilisha Bungeni hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara yake kwa mwaka 2014/15 leo mjini Dodoma.

Hotuba Ya Waziri Wa Fedha 2014 Juni Final by moblog

 

11 years ago

GPL

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHESHIMIWASAADA MKUYA SALUM (MB) AKIWASILISHABUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YAWIZARA YA FEDHAKWA MWAKA 2014/15

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya (MB) akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake kwa MWAKA 2014/15 hivi punde. HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHESHIMIWA SAADA MKUYA SALUM (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA FEDHA KWA MWAKA 2014/15 UTANGULIZI1. Mheshimiwa Spika, kufuatiataarif ailiyowasilishwa hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamatiya Kudumu ya Bunge ya Uchumi, Viwanda naBiashara,...

 

11 years ago

Mwananchi

Majeruhi wa mabomu Z’bar afariki

 Mtu mmoja kati ya wanne waliolipukiwa na mabomu, Unguja Ukuu Mkoa wa Kusini Unguja, amefariki dunia na kuzikwa jana Visiwani Zanzibar. Marehemu aliyetajwa kwa jina la Juma Abdallah Juma (32), alifariki dunia kutokana na majeraha makubwa aliyopata sehemu mbalimbali mwilini.

 

11 years ago

Mwananchi

Milipuko ya mabomu yarindima Z’bar

Watu wanne wamejeruhiwa baada ya milipuko minne inayoaminika kuwa ni mabomu kutokea katika maeneo matatu tofauti Zanzibar.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi wakamata mabomu ya kivita Z’bar

Mabomu manne ya kivita yamekamatwa yikiwa yamehifadhiwa chini ya ardhi huko katika mji mdogo wa Daraja Bobu Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja na bomu moja likihusishwa kutumika katika mlipuko uliosababisha kifo cha mtu mmoja Juni 13 mwaka huu katika Manispaa ya Unguja.

 

10 years ago

GPL

WAZIRI WA FEDHA SAADA MKUYA AZINDUZI WA CHAPISHO KUU LA UTAFITI WA MAPATO NA MATUMIZI YA KAYA BINAFSI 2011-2012-TANZANIA BARA‏

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum (Katikati) akionyesha kitabu cha Ripoti ya Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi wa Mwaka 2011/12 wakati akikizindua katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam jana Oktoba 29, 2014. Wanaoshuhudia kutoka kulia ni Ofisa kutoka Shirika la Maendeleo la DPG, Sinikka Antila, Mwakilishi wa Benki ya Dunia, Philippe Dongier na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Beno...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA FEDHA -SAADA MKUYA AONGOZA UZINDUZI WA CHAPISHO KUU LA UTAFITI WA MAPATO NA MATUMIZI YA KAYA BINAFSI 2011-2012-TANZANIA BARA‏

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi huo uliofanyika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam leo asubuhi akihutubia.Mwakilishi wa Benki ya Dunia, Philippe Dongier, akihutubia katika hafla hiyo.Ofisa kutoka Shirika la Maendeleo la DPG, Sinikka Antila,akitoa hutuba fupi kwa wageni waalikwa.Meneja wa Mazingira na Uchambuzi wa Takwimu, Ofisi ya Taifa ya Takwimu (TBS), Sango Abas Simba, akitoa ufafanuzi wa masuala kadhaa kuhusu chapisho...

 

11 years ago

Michuzi

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDH MHESHIMIWA SAADA MKUYA SALUM (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2014/15

MHESHIMIWA SAADA MKUYA SALUM (MB), AKIWASILI BUNGENI MJINI DODOMA KUWASILISHA MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI  KWA MWAKA 2014/15 LEO. 

 

11 years ago

Habarileo

Watuhumiwa mabomu Arusha watajwa

WATUHUMIWA 19 wa ulipuaji mabomu mkoani Arusha, majina yao yamewekwa hadharani jana na leo wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kujibu mashitaka yanayowakabili. Watuhumiwa hao ni pamoja wanaodaiwa kuhusika katika ulipuaji wa bomu katika viwanja vya Soweto, wakati wa mkutano wa kufunga kampeni za udiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliofanyika Juni 15, 2013.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani