Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Machali, Mnyika wabeza wanaoendelea kujadili

Mbunge wa Ubungo (Chadema), John Mnyika na Mbunge wa Kasulu(NCCR-Mageuzi), Moses Machali, kwa nyakati tofauti wamesema mjadala unaoendelea bungeni bila kuwepo kundi la Ukawa, haliwezi kutoa Katiba Mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

RAIA WANAOENDELEA KUYAKIMBIA MAKAZI YAO MASHRIKI MWA DRC

UNHCR: Raia wanaendelea kuyakimbia makazi yao mashariki mwa DRC Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, lina wasiwasi mkubwa na hali inayozidi kuwa mbaya katika eneo la Beni, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na raia kuendelea kuyakimbia makazi yao.Taarifa ya UNHCR imeeleza kuwa, raia katika maeneneo ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanazidi kuyakimbia makazi yao kutokana na kuzidi kuzorota hali ya ukosefu wa usalama katika maeneo hayo.Ripoti ya Shirika hilo la Kuhudumia...

 

11 years ago

IPPmedia

Machali: We never insulted the founding fathers


IPPmedia
Machali: We never insulted the founding fathers
IPPmedia
Leaders of Zanzibar based Islamic organization (UAMUSHO), speaks to journalists in Dar es Salaam yesterday on activities of their organization. From left are Sheikh Khamis Yusuf Khamis and Said Amour Salim. Photo: Tryphone Mweji. Members of the ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Machali awashukia wazee CCM

WAZEE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametakiwa kuacha kujifanya wao ndiyo magwiji na walimu wa muungano kuliko wengine. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Mjumbe wa Bunge Maalumu la...

 

11 years ago

Mwananchi

Machali alaani uamuzi wa kamati

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Moses Machali amesema kitendo cha Kamati Maalumu la kumshauri Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo kupendekeza kuwa chombo hicho ndicho kitakachoamua utaratibu wa upigaji wa kura na kupitisha uamuzi, kinapaswa kulaaniwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbunge Machali atua ACT - Wazalendo

>Baada ya tetesi za muda mrefu, hatimaye Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR-Mageuzi ), Moses Machali amejiunga na Chama cha ACT - Wazalendo.

 

10 years ago

Mtanzania

Machali kutogombea ubunge Kasulu Mjini

OLYMPUS DIGITAL CAMERANa Mwandishi Wetu, Kigoma
MBUNGE wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi), ametangaza rasmi kwamba hatagombea tena ubunge wa jimbo hilo wakati wa uchaguzi mkuu mwaka huu.
Amesema ingawa alikuwa na nia ya kuendelea kuongoza jimbo hilo, amelazimika kuacha kwa kuwa baadhi ya viongozi wa chama chake wilayani Kasulu wanachafua jina lake bila sababu.
Machali alitangaza msimamo huo juzi mjini Kasulu alipohutubia mkutano wa hadhara.
“Kuna baadhi ya viongozi wachache wenye mawazo ya kijinga...

 

10 years ago

Mwananchi

Machali akabidhiwa kadi ACT, atoa ya moyoni

Mbunge wa Kasulu Mjini ,Moses Machali amekihama rasmi chama hicho na kujiunga na ACT - Wazalendo huku akiwaeleza wananchi waliofika kumsikiliza katika Uwanja wa Shule ya Msingi Kiganamo mjini hapa kuwa hatasita kuachana na chama chake kipya endapo kitaonekana kinatetea mafisadi na viongozi wanaokandamiza demokrasia.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Moses Machali

Wilaya ya Kasulu inakabiliwa na wimbi kubwa la uhalifu na kila wanapokamatwa hata kama kuna vithibitisho vya kutosha, wahalifu hao huachwa bila kuchukuliwa hatua za kisheria na hivyo kuzidi kwa vitendo vya uhalifu. Utafanya nini ili kukomesha tabia ya polisi kuwaachia watuhumiwa kienyeji?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika amkaba Dk. Magufuli

SIKU moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli kuiamuru Kampuni ya Strabag kufungua barabara ya Morogoro na za mchepuko ambazo zimekamilika, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani