Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADA MBALIMBALI ZA UELIMISHAJI ZAWASILISHWA KWENYE MKUTANO WA DICOTA

Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula akiwasilisha mada kuhusu Nafasi ya Ubalozi wa Tanzania katika kutoa Huduma kwa Watanzania waishio ughaibuni (Diaspora). Katika mada hiyo Balozi Mulamula alizungumzia umuhimu wa mawasiliano kati ya Ubalozi na Diaspora na matumizi ya Teknolojia katika kurahisisha mawasiliano hayo.Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue katika meza kuu na Balozi Mulamula na wajumbe wengine waliohudhuria mkutano wa DICOTA akiwemo Kaimu Mkurugenzi wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAJUMBE WA DICOTA 2014 CONVETION WAKUTANA KWENYE HAFLA YA COCKTAIL KWA UTAMBULISHO NA KUEANA MWONGOZO WA MKUTANO.

 Bw. Lunda Asmani akielezea utaratibu utakavyokua kwenye DICOTA 2014 Convetion itakayoaanza muda si mrefu leo Ijumaa Oct 3, 2014 kwenye hafla ya Cocktail iliyofanyika Alhamisi jioni Oct 2, 2014 katika hotel ya Millennium Durham North Carolina. Bw. Lunda Asmani pia alitumia wasaa huo kuwatambulisha wageni mbalimbali akiwemo mgeni rasmi Katibu Mkuu kiongozi Mhe. Balozi Ombeni Sefue.Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini Marekani Mhe. Liberatus Mulamula akiongea na wahudhuriaji...

 

10 years ago

Dewji Blog

AUDIO za hotuba mbalimbali kwenye mkutano mkuu wa CCM

IMGL0622

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama, wakati wa kuufunga Mkutano huo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM (Dodoma Conveition Centre), uliopo Mjini Dodoma.

Hotuba Ya Dr Ali Mohamed Shein kukubali kuwa mgombea wa CCM Zanzibar 2015

Hotuba Ya Dr Asha – Rose Migiro kukubali yatokeo ya mkutano Mkuu wa CCM 2015

Hotuba Ya Balozi Amina Salum Ali kukubali matokeo ya mkutano mkuu wa CCM 2015

Hotuba Ya Dr John Pombe Magufuli...

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALIMBALI KUTOKA KWENYE MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA USIKU HUU

 Meza Kuu ikiongowa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete tayari kwa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi unaoendelea usiku huu kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM wa Dodoma Convition Centre, uliopo njia ya Kuelekea Chuo Kikuu cha UDOM, Mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Aliekuwa Mgombea Urais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa wakati alipowasili kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM wa Dodoma Convition Centre, uliopo njia ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Dr Slaa akiwasilisha mada katika mkutano ulioandaliwa na TCD.

Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Willibrod Slaa akiwasilisha mada juu ya ushiriki wa vyama vya siasa katika mageuzi Afrika katika mkutano wa siku nne wa kubadilishana uzoefu kwa vyama vya siasa ulioandaliwa na kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na kufadhiliwa na Taasisi ya Demokrasia ya vyama vingi ya Uholanzi (NIMD). Mkutano huo unahudhuriwa na vyama kutoka Malawi, Ghana, Uganda na wenyeji Tanzania na kufanyika Zanzibar

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA DICOTA WAFUNGULIWA RASMI MJINI DURHAM

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akifungua rasmi Mkutano wa Tano wa Mwaka wa Baraza la Watanzania waishio Marekani (DICOTA 2014) Mkutano huo wa siku tatu unafanyika katika Hoteli ya Millenium mjini Durham, North Carolina. Washiriki kwenye mkutano huo ni pamoja na Watanzania kutoka Majimbo mbalimbali ya Marekani, Wajumbe kutoka Serikalini na Sekta Binafsi na Serikali ya Marekani. Katika hotuba yake ya ufunguzi Balozi Sefue alilipongeza Baraza la DICOTA kwa juhudi na mafanikio...

 

10 years ago

Vijimambo

[AUDIO]: DAKIKA 90 ZA DUNIA. Kumalizika kwa mkutano wa DICOTA 2014


Baraza la waTanzania waishio nchini Marekani (DICOTA) limemaliza mkutano wake wa mwaka Jumapili ya Oktoba 5 jijini Durham jimbo la North Carolina ambao kwa wengi waliohudhuria, wameonyeshwa kuridhishwa nao
Mwenzangu Mubelwa Bandio, anayo taarifa kamili.

Hii ni sehemu ya ripoti za Kwanza Production kwenye kipindi cha DAKIKA 90 ZA DUNIA kinachorushwa na kituo cha Radio cha Capital FM cha Dar Es Salaam Tanzania kila Jumamosi kuanzia saa moja na nusu asubuhi (7:30 AM).Hii ilikuwa ripoti ya Oktoba...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI SEFUE AFUNGUA RASMI MKUTANO WA DICOTA MJINI DURHAM, MAREKANI

Balozi Sefue akishangiliwa na kina mama wa DICOTA waliokuwa wamevalia sare kumkaribisha kufungua Mkutano wa Tano wa Mwaka wa Baraza la Watanzania waishio Marekani (DICOTA 2014) Mkutano huo wa siku tatu unafanyika katika Hoteli ya Millenium mjini Durham, North Carolina. Balozi Sefue akizungumza na Meya wa Durham, Mhe. BellKatibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akifungua rasmi Mkutano wa Tano wa Mwaka wa Baraza la Watanzania waishio Marekani (DICOTA 2014) Mkutano huo wa siku tatu unafanyika...

 

10 years ago

Vijimambo

DICOTA WAMKABIDHI BALOZI LIBERATA MULAMULA RIPOTI YAO YA DICOTA CONVENTION 2014 ILIYOFANYIKA NORTH CAROLINA

Viongozi wa DICOTA Lunda Asmani na Dr. Kurwa Nyigu walifika jioni ya Desemba 8, 2014 ofisi ya Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani uliopo Washington DC kumkabidhi Mhe. Liberata Mulamula ripoti ya mkutano wa kongamano wa DICOTA wa 2014 uliofanyika mapema mwezi Oktoka kati ya tarehe 2 mpaka 5.

Katika makabidhiano hayo yaliyo ambayo yalikua ni maelezo ya viongozi wa DICOTA na maoni ya wahudhuriaji wa mkutano huo wa kongamono wa ndani na nje ya Marekani ikiwemo DVD 2 ya...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI SEFUE KUFUNGUA RASMI MKUTANO WA BARAZA LA DICOTA MJINI DURHAM, MAREKANI

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula na Viongozi wa Baraza la Watanzania waishio Marekani (DICOTA) (hawapo pichani) mara baada ya kukutana nao Hotelini kwake kwa ajili ya kupata taarifa za maandalizi ya Mkutano wa Mwaka wa Baraza hilo atakaoufungua leo tarehe 03 Oktoba, 2014 mjini Durham, North Carolina.Balozi Mulamula, Viongozi wa DICOTA pamoja na Maafisa kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani wakimsikiliza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani