MADARAJA YASOMBWA NA MAJI MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-7Z0qIbd3Qe4/XmahHzvRRrI/AAAAAAALiT0/el3p8HC9rRw1VE5SjIULjgUXAaDZhdY1QCLcBGAsYHQ/s72-c/pix-01-3.jpg)
Moja ya Daraja lilisombwa na maji Manispaa ya Morogoro
………………………………..
NA FARIDA SAIDY,MOROGORO
Mvua zinazonyesha mkoani Morogoro zimeendelea kuleta madhara, ambapo baadhi ya Madaraja yamesombwa na maji na kufanya baadhi ya mitaa kutofikika, Mito mikubwa kufurika ukiwemo Mto Morogoro na Mto Mkundi iliyokatiza katikati ya Mji hivyo maji kutiririka kuelekea katika makazi ya watu.
Hata hivyo Wakazi waliopembezoni mwa mito hii mikubwa ukiwemo Mto Morogoro na Mto Mkundi wanasema, pamoja na hali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WsCdAwRNjUc/VKZqpK-gUZI/AAAAAAAAGE4/nanIevZSJwQ/s72-c/20141231_144819.jpg)
MBUNGE WA MOROGORO MJINI,ABOOD ATOA MILION 11 KUTATUA KERO YA MAJI MKUNDI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-WsCdAwRNjUc/VKZqpK-gUZI/AAAAAAAAGE4/nanIevZSJwQ/s1600/20141231_144819.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V5RXeu792UM/VKZrY4uEzZI/AAAAAAAAGFg/6ZqRTH0i5Gw/s1600/20141231_144923.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Mbunge wa Morogoro mjini Mh Abood atoa milion 11 kutatua kero ya maji Mkundi Morogoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-V5RXeu792UM/VKZrY4uEzZI/AAAAAAAAGFg/6ZqRTH0i5Gw/s1600/20141231_144923.jpg)
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Majalada kesi yasombwa na mafuriko Moro
9 years ago
StarTV23 Oct
Bodi ya Maji Morogoro yaagizwa kusimamia utunzaji wa mazingira
Serikali imeitaka bodi ya maji ya bonde la Wami/Ruvu mkoani Morogoro kutunza kikamilifu vyanzo vya maji katika bonde hilo kwa kudhibiti uharibifu ambao unaweza kusababisha uhaba mkubwa wa maji kwenye mikoa ya Dar es Salaam na Pwani.
Mikoa hiyo miwili inategemea kwa kiasi kikubwa kupata maji kupitia bonde la Wami/Ruvu ambalo limekuwa na vyanzo vingi kutoka mkoani Morogoro hivyo uharibu unaofanywa katika Milima ya Uluguru ni ishara tosha ya kupoteza vyanzo hivyo.
Mkoa wa Morogoro umejaliwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yi2EdAXAE0g/UvRl-tE-PGI/AAAAAAAFLdk/IMDp63X87Hs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOS MAKALLA MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-yi2EdAXAE0g/UvRl-tE-PGI/AAAAAAAFLdk/IMDp63X87Hs/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ooPySYtHfww/UvRl_ATfUMI/AAAAAAAFLd4/VFty8n3L0SY/s1600/unnamed+(7).jpg)
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAJI AMALIZA ZIARA YAKE MKOANI MOROGORO
Mhe. Makalla amemaliza ziara hiyo kwa kutembelea miradi ya maji ya Halmashauri za Wilaya za Ulanga na Kilombero na kukagua utekelezaji wake.
“Utekelezaji unaenda vizuri, isipokuwa kasi iongezwe ili miradi yote ikamilike kwa wakati, na nitafuatilia kwa ukaribu miradi yote niliyoikagua na nitarudi kuangalia maendeleo yake”. Wakati umefika kuhakikisha sekta ya maji inatekeleza sera zake...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nGV1nQg4G_k/VL9he4wa0oI/AAAAAAAG-pA/VSb9CAK9MyY/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
kamati ya bunge kilimo,maji na mifugo yafanya ziara mkoani morogoro
Aidha tarehe 22 Januari ,2015 kamati hiyo itatembelea wilaya ya Kilolo na manispaa ya Iringa na tarehe 23 kamati itatembelea wilaya ya Rungwe.
![](http://2.bp.blogspot.com/-nGV1nQg4G_k/VL9he4wa0oI/AAAAAAAG-pA/VSb9CAK9MyY/s1600/unnamed%2B(9).jpg)