Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majalada kesi yasombwa na mafuriko Moro

Wakati Hakimu Mkazi Mfawidhi Mahakama ya Mwanzo Magole, Fredy Mbogela akisema kesi zote zilizokuwa zikisikilizwa katika mahakama hiyo ambayo imesombwa na maji pamoja na mafaili yote, zitaanza upya, Mkuu wa Wilaya na Mkoa wa Morogoro wanahaha kukusanya takwimu za waathirika wa mafuriko.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Majalada kesi ya Rose Kamili

 Majalada mawili yaliyofunguliwa na polisi katika sakata la kutekwa kwa Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Rose Kamili yamefikishwa kwa Mwanasheria wa Serikali kwa ajili ya hatua zaidi.

 

11 years ago

Habarileo

Mafuriko yasitisha barabara Moro- Iringa

MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha Milima ya Doma, Wilaya ya Mvomero yamebomoa sehemu kubwa ya tuta la lami upande wa kutokea Mikumi barabara kuu ya Moro- Iringa na kutishia usalama wa magari.

 

11 years ago

Habarileo

Dar yachangia waathirika wa mafuriko Moro

KAMATI ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar es Salaam, imetoa msaada wa zaidi ya Sh milioni 117 kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea hivi karibuni na kusababisha kukatika kwa daraja linalounganisha Mkoa wa Morogoro na Dodoma. Misaada iliyotolewa ni pamoja na magodoro 450, vyakula, maji pamoja na mahitaji mengine muhimu.

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE APOKEA HUNDI YA SH. MILIONI 100 KUTOKA CRDB KUSAIDIA WAHANGA WA MAFURIKO MORO

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei, baada ya kukabidhiwa hundi ya shilingi milioni 100 kutoka benki hiyo kusaidia waathirika wa mafuriko yaliyozikumba wilaya tatu za Kilosa, Mvomero na Gairo katika Mkoa wa Morogoro, mwezi uliopita katika shughuli fupi iliyofanyika Ikulu, Dar Es Salaam leo February 4, 2014 na kuhudhuriwa pia na Mhesimiwa William Lukuvi, Waziri wa...

 

10 years ago

GPL

KESI YA SHEIKH PONDA MORO YAPIGWA TENA KALENDA

KWA mara nyingine tena, kesi inayomkabili kiongozi wa Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda leo imeendelea kupigwa kalenda katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mkoa wa Morogoro. Mbali na kundi la wafuasi wa Sheikh Ponda kutoka mikoa ya Dar es Salaam na Morogoro waliojazana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mkoa wa Morogoro leo asubuhi kusikiliza kesi ya uchochezi inayomkabili kiongozi wao huyo...

 

10 years ago

GPL

WAFUASI WA SHEIKH PONDA WASWALI BARABARANI WAKATI KESI IKIENDELEA MKOANI MORO

Wafuasi wa Sheikh Ponda wakiswali sala ya saa 7 leo mchana kwenye barabara iliyo nje ya Mahakama ya Hakimu Mfawidhi wa Mkoa wa…

 

5 years ago

Michuzi

MADARAJA YASOMBWA NA MAJI MOROGORO


Moja ya Daraja lilisombwa na maji Manispaa ya Morogoro

………………………………..

NA FARIDA SAIDY,MOROGORO

Mvua zinazonyesha mkoani Morogoro zimeendelea kuleta madhara, ambapo baadhi ya Madaraja yamesombwa na maji na kufanya baadhi ya mitaa kutofikika, Mito mikubwa kufurika ukiwemo Mto Morogoro na Mto Mkundi iliyokatiza katikati ya Mji hivyo maji kutiririka kuelekea katika makazi ya watu.

Hata hivyo Wakazi waliopembezoni mwa mito hii mikubwa ukiwemo Mto Morogoro na Mto Mkundi wanasema, pamoja na hali...

 

9 years ago

Bongo5

Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo

Belle99

Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.

Belle99

What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya

— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015

Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani