Majalada kesi yasombwa na mafuriko Moro
Wakati Hakimu Mkazi Mfawidhi Mahakama ya Mwanzo Magole, Fredy Mbogela akisema kesi zote zilizokuwa zikisikilizwa katika mahakama hiyo ambayo imesombwa na maji pamoja na mafaili yote, zitaanza upya, Mkuu wa Wilaya na Mkoa wa Morogoro wanahaha kukusanya takwimu za waathirika wa mafuriko.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Majalada kesi ya Rose Kamili
11 years ago
Habarileo31 Mar
Mafuriko yasitisha barabara Moro- Iringa
MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha Milima ya Doma, Wilaya ya Mvomero yamebomoa sehemu kubwa ya tuta la lami upande wa kutokea Mikumi barabara kuu ya Moro- Iringa na kutishia usalama wa magari.
11 years ago
Habarileo02 Feb
Dar yachangia waathirika wa mafuriko Moro
KAMATI ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar es Salaam, imetoa msaada wa zaidi ya Sh milioni 117 kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea hivi karibuni na kusababisha kukatika kwa daraja linalounganisha Mkoa wa Morogoro na Dodoma. Misaada iliyotolewa ni pamoja na magodoro 450, vyakula, maji pamoja na mahitaji mengine muhimu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg1k12ktXXbhjdqbwIrIFnMCsI80gv8Av4rlKwiYYte7***9bVl6IlAqJHFDejWbq9s-2dlZZoJtUJ*yfoxxY52d/1crdb4.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE APOKEA HUNDI YA SH. MILIONI 100 KUTOKA CRDB KUSAIDIA WAHANGA WA MAFURIKO MORO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-m7kBNEfrEGpj2u4LwWzWgsNm28LWn*PShIUbb3-JuYnilpPkRDLqTFKzHeLuLBQbK-VLaWKZ3CBC-5mVUzsyuw/ponda.jpg)
KESI YA SHEIKH PONDA MORO YAPIGWA TENA KALENDA
10 years ago
GPLWAFUASI WA SHEIKH PONDA WASWALI BARABARANI WAKATI KESI IKIENDELEA MKOANI MORO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7Z0qIbd3Qe4/XmahHzvRRrI/AAAAAAALiT0/el3p8HC9rRw1VE5SjIULjgUXAaDZhdY1QCLcBGAsYHQ/s72-c/pix-01-3.jpg)
MADARAJA YASOMBWA NA MAJI MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-7Z0qIbd3Qe4/XmahHzvRRrI/AAAAAAALiT0/el3p8HC9rRw1VE5SjIULjgUXAaDZhdY1QCLcBGAsYHQ/s640/pix-01-3.jpg)
Moja ya Daraja lilisombwa na maji Manispaa ya Morogoro
………………………………..
NA FARIDA SAIDY,MOROGORO
Mvua zinazonyesha mkoani Morogoro zimeendelea kuleta madhara, ambapo baadhi ya Madaraja yamesombwa na maji na kufanya baadhi ya mitaa kutofikika, Mito mikubwa kufurika ukiwemo Mto Morogoro na Mto Mkundi iliyokatiza katikati ya Mji hivyo maji kutiririka kuelekea katika makazi ya watu.
Hata hivyo Wakazi waliopembezoni mwa mito hii mikubwa ukiwemo Mto Morogoro na Mto Mkundi wanasema, pamoja na hali...
9 years ago
Bongo504 Dec
Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo
![Belle99](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Belle99-300x194.jpg)
Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.
What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya
— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015
Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...