MADEE ALIVYOSOTESHWA POLISI
![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi9SHj5eoO9AaR*o1B27odTwP9Ti7ielyNCa0uWCGKT5LJ1XujmMTS-LtItsrzdLc*GghZWcVz8B9rRtAuPsd418/madee.jpg)
Na Waandishi Wetu Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva a.k.a Rais wa Manzese, Hamad Ally ‘Madee’ hivi karibuni alilala katika Kituo cha Polisi cha Kigamboni, Dar akihusishwa na utekaji wa dereva wa bodaboda, Suedi Waziri (pichani) kisha kumpa kipigo ambapo inadaiwa alisoteshwa kinomanoma. Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva a.k.a Rais wa Manzese, Hamad Ally ‘Madee’ akiwa mikononi mwa Polisi. Baada ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Jamtz.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-I8fRHtqWzSQ/VLj9faguvoI/AAAAAAAABTU/Z7fliEW0GMU/s72-c/IMG-20150110-WA0044.jpg)
11 years ago
Michuzi04 Jul
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX2qADrRy3Gzsb6*RG0821jFaumKTDBbZ-guo-INyxBiqQf*H27hDYtB7P79p*DW4ftKtGPF7WlYcBQQBhy*7m3d/1MADEE.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Ramadhani yambadili Madee
KIONGOZI wa kundi la Tip Top Connection lenye maskani yake Manzese jijini Dar es Salaam, Ahmad Ally ‘Madee’ amewataka Waislamu wote kufunga mwezi huu mtukufu wa Ramadhani na wajiepushe na...
11 years ago
GPL03 Jul
11 years ago
GPLMADEE ATINGA GLOBAL TV ONLINE
9 years ago
Mtanzania06 Jan
Madee: Tuzitumie fursa tunazopata
NA CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa Bongo Fleva, Hamad Ally ‘Madee’, amewataka wasanii maarufu kutumia vizuri fursa zinazowazunguka
kama yeye alivyotumia jina lake kuanzisha kampuni ya ukodishaji magari inayoitwa Tiptop Connection Tour.
Akizungumzia biashara hiyo, Madee alisema mpango wa kuanzisha kampuni hiyo ulianza muda mrefu ila mwaka huu ameona afanye kweli kwani biashara hiyo inalipa.
“Ni kampuni ambayo inajihusisha na ukodishaji magari kwa ajili ya watu wote wa ndani na nje ya Dar es...
9 years ago
Bongo515 Dec
Muziki wa makundi ni miyeyusho – Madee
![Madee2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/Madee2-300x300.jpg)
Baada ya bosi wa Tip Top Connection, Babu Tale kuweka wazi msimamo wake wa kutotoa wimbo wa pamoja wa wasanii wa kundi hilo kwa kudai hailipi, mmoja kati ya wasanii wanaounda kundi hilo, Madee amekubaliana na uamuzi huo.
Madee ameiambia Bongo5 kuwa wao kama wasanii wa kundi hilo wapo tayari kwa maamuzi yoyote yenye tija kwa kundi lao.
“Unajua sisi tupo chini ya uongozi na kiongozi ni Babu Tale na yeye kashaamua hilo, so mimi siwezi kumbishia kwa sababu yeye ndio ameliona hilo liko sawa....
10 years ago
GPL25 May