Madiwani waagiza idara ya ujenzi kutoka ofisini
KUTOKANA na uharibifu mkubwa wa miundombinu, hasa barabara uliosababishwa na mvua za masika zilizonyesha kati ya Januari na Aprili, mwaka huu madiwani wilayani hapa wamewataka watendaji wa Idara ya Ujenzi waache kujifungia ofisini na badala yake watoke nje ili kujionea hali halisi na kuitafutia ufumbuzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziUJENZI WA MAABARA: MAHIZA AWATAKA WAKUU WA IDARA WASIKAE OFISINI WAENDE KWENYE KATA,ATAKA MADIWANI WAAHIRISHE VIKAO VYAO HADI UJENZI UTAKAPOKAMILIKA
SUALA la Maabara kwa shule za Sekondari za Kata limeingia kwenye hatua nzito baada ya mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza kuiacha ofisi yake na kuhamia Wilaya ya Bagamoyo ili kuhakikisha agizo la Rais Dk Jakaya Kikwete la kila wilaya iwe imekamilisha ujenzi huo ifikapo Novemba 30 mwaka huu.
Sambamba na hilo mkuu huyo amewataka wakuu wa idara wa Wilaya hiyo kila mmoja kutokaa ofisini na kuchagua kata ya kwenda ili kusimamia ujenzi huo hadi ujenzi wa maabara...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-EpRtAyObzKo/UuNs--7ZDFI/AAAAAAAAE_8/EUONrsqMub8/s1600/IMG_9935.jpg)
INJINIA MANYANYA: SITASITA KUWAONDOA WATUMISHI, WAKUU WA IDARA WANAOWACHONGANISHA MADIWANI NA MKURUGENZI WAO
9 years ago
Habarileo04 Sep
Wakuu idara za ujenzi watakiwa kusajiliwa
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ameziagiza Halmashauri zote nchini kuhakikisha kwamba wakuu wote wa Idara za Ujenzi wamesajiliwa kama wahandisi wataalamu ifikapo Juni 30, mwakani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I3dypOdGvF1aa6p2yCvZUerqjLJEy2lwO3D5bqaAZAulisJgtABQAU4BglDEoLqFs7PwbCNqBC6vNcZBSiAtqp2nKmh23aMO/unnamed48.jpg?width=650)
BALOZI WA JAMHURI YA KOREA AMTEMBELEA WAZIRI WA UJENZI OFISINI KWAKE JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DMLMNDzIRRQ/VMd5D6rztYI/AAAAAAAG_sE/BIGKXBi3ptE/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
BALOZI WA JAMHURI YA KOREA AMTEMBELEA WAZIRI WA UJENZI OFISINI KWAKE JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-DMLMNDzIRRQ/VMd5D6rztYI/AAAAAAAG_sE/BIGKXBi3ptE/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
11 years ago
Michuzi01 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4iPKYb6A3pk/VTfWIKFRbmI/AAAAAAAHSmc/wgSg4UVRjN0/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
KAMATI YA MAWASILIANO NA UJENZI YA BARAZA LA WAWAKILISHI YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA NA IDARA YA NJIA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-4iPKYb6A3pk/VTfWIKFRbmI/AAAAAAAHSmc/wgSg4UVRjN0/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-N4fed7eTJ30/VTfWIX2wSWI/AAAAAAAHSmg/zcEftvMsdCQ/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
11 years ago
GPLIDARA YA UHAMIAJI MBEYA INAWASHIKILIA WAHAMIAJI HARAMU 62 KUTOKA ETHIOPIA