Maestro aahidi utii Simba
Ibrahim Masoud ‘Maestro’.
Na Mwandishi wetu
Ibrahim Masoud ‘Maestro’ aliyekuwa mgombea nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, amesema pamoja na kushindwa katika uchaguzi wa Juni 29, ataendelea kuwa mwanachama mwaminifu na kutoa kila ushirikiano ikiwezekana kwa maslahi ya klabu hiyo.
Maestro aliyekuwa mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo kwa miaka minne iliyopita chini ya uongozi wa Alhaji Ismail Aden Rage, alisema hana tatizo na kushindwa kwake akisema demokrasia imechukua...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Maestro: Nitabaki kuwa mtiifu Simba
IBRAHIM Masoud ‘Maestro’ aliyekuwa mgombea nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, amesema pamoja na kushindwa katika uchaguzi wa Juni 29, ataendelea kuwa mwanachama mwaminifu na kutoa kila...
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Mgambia aahidi makubwa Simba
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Alfred Elia aahidi makubwa Simba
MGOMBEA ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Alfred Elia, amewaomba wanachama wa klabu hiyo kumchagua ili aweze kuleta maendeleo hasa kupitia jina na nembo ya klabu hiyo. Elia ni...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Kamwaga aahidi uwanja Simba baada ya siku 100
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nTt30WMD8CM/VMYt5I6ks3I/AAAAAAAG_hU/yRLE_u_ZZIU/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Ibrahim Masoud 'Maestro' atua E FM 93.7
![](http://4.bp.blogspot.com/-nTt30WMD8CM/VMYt5I6ks3I/AAAAAAAG_hU/yRLE_u_ZZIU/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
Maestro ameungana na magwiji wengine katika utangazaji wa vipindi vya michezo nchini Maulid Kitenge na Omary Katanga ambao wapo katika radio hiyo inayokuja kwa kasi jijini.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fd9x6pBqcnA/VMYt5XL3vvI/AAAAAAAG_hc/m4F_BleJ-KE/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JfVNsmuxaGw/Uwp1L3igGrI/AAAAAAAFPLI/OgF3oLDRMAU/s72-c/IMG_1823.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Wahitimu JKT watakiwa kuzingatia utii
JESHI la Kujenga Taifa (JKT), limewataka wahitimu wa mafunzo ya awali kuzingatia utii na uwajibikaji katika jamii wanazoishi ili kuepuka migogoro. Aidha, kupitia mafunzo waliyoyapata yasiwe kwa faida yao pekee...
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Utii wa sheria ni jukumu letu sote
11 years ago
Habarileo27 Dec
Kanisa lakumbusha utii wa sheria na mamlaka ya nchi
ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dodoma Mhashamu Gervas Nyaisonga amewataka wananchi kutii sheria zilizowekwa na mamlaka ya nchi.