Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maestro aahidi utii Simba

clouds news (1)

Ibrahim Masoud ‘Maestro’.

Na Mwandishi wetu

Ibrahim Masoud ‘Maestro’ aliyekuwa mgombea nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, amesema pamoja na kushindwa katika uchaguzi wa Juni 29, ataendelea kuwa mwanachama mwaminifu na kutoa kila ushirikiano ikiwezekana kwa maslahi ya klabu hiyo.

Maestro aliyekuwa mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo kwa miaka minne iliyopita chini ya uongozi wa Alhaji Ismail Aden Rage, alisema hana tatizo na kushindwa kwake akisema demokrasia imechukua...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Maestro: Nitabaki kuwa mtiifu Simba

IBRAHIM Masoud ‘Maestro’ aliyekuwa mgombea nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, amesema pamoja na kushindwa katika uchaguzi wa Juni 29, ataendelea kuwa mwanachama mwaminifu na kutoa kila...

 

10 years ago

Mwananchi

Mgambia aahidi makubwa Simba

Kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Omary Mboom amesema kuwa hatofanya makosa iwapo atasajiliwa na badala yake atahakikisha anawapa raha wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kongwe nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Alfred Elia aahidi makubwa Simba

MGOMBEA ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Alfred Elia, amewaomba wanachama wa klabu hiyo kumchagua ili aweze kuleta maendeleo hasa kupitia jina na nembo ya klabu hiyo. Elia ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Kamwaga aahidi uwanja Simba baada ya siku 100

>Katibu Mkuu wa Simba, Ezekiel Kamwaga, amejitwisha zigo baada ya kutamka kwamba atahahakikisha timu yake inapata uwanja wa kufanyia mazoezi ndani ya siku 100.

 

10 years ago

Michuzi

Ibrahim Masoud 'Maestro' atua E FM 93.7

Aliyekuwa Mtangazaji wa vipindi vya Michezo wa redio Clouds Dar es Salaam,Ibrahim Masoud 'Maestro' (pichani kushoto) leo amekamilisha usajili wake wa kujiunga na Kituo maarufu hivi sasa cha radio hapa jijini Dar es Salaam cha E FM 93.7.
Maestro ameungana na magwiji wengine katika utangazaji wa vipindi vya michezo nchini Maulid Kitenge na Omary Katanga ambao wapo katika radio hiyo inayokuja kwa kasi jijini.Pichani Maestro akitambulishwa rasmi na Mkuu wa kipindi cha michezo cha E. sports cha E...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Tanzania Daima

Wahitimu JKT watakiwa kuzingatia utii

JESHI la Kujenga Taifa (JKT), limewataka wahitimu wa mafunzo ya awali kuzingatia utii na uwajibikaji katika jamii wanazoishi ili kuepuka migogoro. Aidha, kupitia mafunzo waliyoyapata yasiwe kwa faida yao pekee...

 

10 years ago

Mwananchi

Utii wa sheria ni jukumu letu sote

Utii wa sheria ni jambo muhimu katika jamii. Sheria zimekuwapo tangu kuumbwa kwa ulimwengu.

 

11 years ago

Habarileo

Kanisa lakumbusha utii wa sheria na mamlaka ya nchi

Askofu Gervas NyaisongaASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dodoma Mhashamu Gervas Nyaisonga  amewataka wananchi kutii sheria zilizowekwa na mamlaka ya nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani