Maestro: Nitabaki kuwa mtiifu Simba
IBRAHIM Masoud ‘Maestro’ aliyekuwa mgombea nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, amesema pamoja na kushindwa katika uchaguzi wa Juni 29, ataendelea kuwa mwanachama mwaminifu na kutoa kila...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Maestro aahidi utii Simba
Ibrahim Masoud ‘Maestro’.
Na Mwandishi wetu
Ibrahim Masoud ‘Maestro’ aliyekuwa mgombea nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, amesema pamoja na kushindwa katika uchaguzi wa Juni 29, ataendelea kuwa mwanachama mwaminifu na kutoa kila ushirikiano ikiwezekana kwa maslahi ya klabu hiyo.
Maestro aliyekuwa mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo kwa miaka minne iliyopita chini ya uongozi wa Alhaji Ismail Aden Rage, alisema hana tatizo na kushindwa kwake akisema demokrasia imechukua...
9 years ago
Mwananchi16 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Je, Simba itarudi kuwa Simba halisi msimu huu?
10 years ago
BBCSwahili27 May
Nitabaki Real Madrid: Bale
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nTt30WMD8CM/VMYt5I6ks3I/AAAAAAAG_hU/yRLE_u_ZZIU/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Ibrahim Masoud 'Maestro' atua E FM 93.7
![](http://4.bp.blogspot.com/-nTt30WMD8CM/VMYt5I6ks3I/AAAAAAAG_hU/yRLE_u_ZZIU/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
Maestro ameungana na magwiji wengine katika utangazaji wa vipindi vya michezo nchini Maulid Kitenge na Omary Katanga ambao wapo katika radio hiyo inayokuja kwa kasi jijini.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fd9x6pBqcnA/VMYt5XL3vvI/AAAAAAAG_hc/m4F_BleJ-KE/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
10 years ago
Bongo507 Jan
‘Nitabaki bikra hadi nitakapoolewa’ — J’odie wa kuchi kuchi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kwvKg1TQ8fX4ovBycl47FuW4W9F6eii9aRGAUaRJM-1pHm777dAaAQhrguI1sxs-RiGU9cJwP8984osJmTmxKGtglbIFN7sd/maestro.jpg)
IBRAHIM MASOUD 'MAESTRO' NAYE NDANI YA EFM 93.7
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m5DCNqwNmKYFnYnEf73o0sX5hWmapActnvfNPMb2zwB3BVc*Y6DgyO9OAsUemqKqiVAdrxDuwt-xvOUKtCN8uko9UAN6VrkQ/dalali.jpg?width=650)
Dalali afunguka kuhusu kuwa mwenyekiti Simba
10 years ago
Raia Mwema15 Jul
Hongera Simbachawene, umekataa kuwa simba wa karatasi
MAMBO ya ajabu yametokea ndani ya Bunge. Tulishaziona ishara zake.
Maggid Mjengwa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vDy7qoiW-JA/VFtejHzKHzI/AAAAAAAGvuA/tOebeAMzcWs/s72-c/azim%2Bdewji%2Bna%2Bmajaliwa.jpg)
Azim Dewji awataka wana Simba kuwa Watulivu
![](http://1.bp.blogspot.com/-vDy7qoiW-JA/VFtejHzKHzI/AAAAAAAGvuA/tOebeAMzcWs/s1600/azim%2Bdewji%2Bna%2Bmajaliwa.jpg)
MWANAMICHEZO maarufu nchini, Azim Dewji amewataka wanachama na wapenzi wa timu ya soka ya Simba kuamini timu yao bado ni bora, isipokuwa ipo katika kipindi cha mpito kuelekea katika mafanikio yatakayowashangaza wengi.
Kutokana na imani yake hiyo, ameshauri ni vyema wakatoa ushirikiano wa kila aina kwa viongozi, wachezaji na benchi lote la ufundi, vivyo hivyo akiwataka viongozi kushikamana na wachezaji na benchi la ufundi, badala ya kuanza kunyoosheana vidole.
Aliyasema hayo...