Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maestro: Nitabaki kuwa mtiifu Simba

IBRAHIM Masoud ‘Maestro’ aliyekuwa mgombea nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, amesema pamoja na kushindwa katika uchaguzi wa Juni 29, ataendelea kuwa mwanachama mwaminifu na kutoa kila...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Maestro aahidi utii Simba

clouds news (1)

Ibrahim Masoud ‘Maestro’.

Na Mwandishi wetu

Ibrahim Masoud ‘Maestro’ aliyekuwa mgombea nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, amesema pamoja na kushindwa katika uchaguzi wa Juni 29, ataendelea kuwa mwanachama mwaminifu na kutoa kila ushirikiano ikiwezekana kwa maslahi ya klabu hiyo.

Maestro aliyekuwa mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo kwa miaka minne iliyopita chini ya uongozi wa Alhaji Ismail Aden Rage, alisema hana tatizo na kushindwa kwake akisema demokrasia imechukua...

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Je, Simba itarudi kuwa Simba halisi msimu huu?

Ukiwa shabiki wa Simba, hakuna kitu kilichoumiza kama kumuona nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ akikabidhiwa taji la 24 la ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita. Uwe mbele ya televisheni ya Azam TV, au kama ulikuwa uwanjani, ilikuwa picha inayoumiza sana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nitabaki Real Madrid: Bale

Kiungo wa Real Madrid Gareth Bale ameelezea matarajio yake ya kuendelea kubaki ndani ya klabu hiyo msimu ujao

 

10 years ago

Michuzi

Ibrahim Masoud 'Maestro' atua E FM 93.7

Aliyekuwa Mtangazaji wa vipindi vya Michezo wa redio Clouds Dar es Salaam,Ibrahim Masoud 'Maestro' (pichani kushoto) leo amekamilisha usajili wake wa kujiunga na Kituo maarufu hivi sasa cha radio hapa jijini Dar es Salaam cha E FM 93.7.
Maestro ameungana na magwiji wengine katika utangazaji wa vipindi vya michezo nchini Maulid Kitenge na Omary Katanga ambao wapo katika radio hiyo inayokuja kwa kasi jijini.Pichani Maestro akitambulishwa rasmi na Mkuu wa kipindi cha michezo cha E. sports cha E...

 

10 years ago

Bongo5

‘Nitabaki bikra hadi nitakapoolewa’ — J’odie wa kuchi kuchi

Muimbaji wa Nigeria, Joy Odiete maarufu kwa jina la J’odie aliyehit na wimbo wake ‘Kuchi Kuchi’, ameweka wazi kuwa yeye bado hajachakachuliwa ni bikra, na yupo tayari kusubiri hadi pale atakaposema ‘I do’ kwa yule atakayekuwa mume wake. J’odie ambaye amekulia kwenye familia ya dini amesema hayo katika mahojiano aliyofanyiwa hivi karibuni na Saturday Sun. […]

 

10 years ago

GPL

IBRAHIM MASOUD 'MAESTRO' NAYE NDANI YA EFM 93.7

Maestro (kushoto) akitambulishwa rasmi na Mkuu wa kipindi cha michezo cha E. sports cha EFM 93.7 na Maulid Baraka Kitenge leo. ALIYEKUWA Mtangazaji wa vipindi vya Michezo wa radio Clouds Dar es Salaam, Ibrahim Masoud 'Maestro' leo amekamilisha usajili wake wa kujiunga na Kituo maarufu hivi sasa cha radio hapa jijini Dar es Salaam cha EFM 93.7. Maestro ameungana na magwiji wengine katika utangazaji wa vipindi vya michezo nchini...

 

11 years ago

GPL

Dalali afunguka kuhusu kuwa mwenyekiti Simba

Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Simba, Hassan Dalali. Na Khadija Mngwai
ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Simba, Hassan Dalali, ameibuka na kusema kuwa bado anajifikiria juu ya kuamua kugombea au kutogombea nafasi hiyo kwa kuwa mwenyekiti wa sasa, Ismail Aden Rage, anamaliza muda wake na ameshatangaza kutogombea tena. Simba inatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu Mei nne, mwaka huu baada ya muda wa uongozi wa Rage kumalizika huku...

 

10 years ago

Raia Mwema

Hongera Simbachawene, umekataa kuwa simba wa karatasi

MAMBO ya ajabu yametokea ndani ya Bunge. Tulishaziona ishara zake.

Maggid Mjengwa

 

10 years ago

Michuzi

Azim Dewji awataka wana Simba kuwa Watulivu

Na Mwandishi Wetu
MWANAMICHEZO maarufu nchini, Azim Dewji amewataka wanachama na wapenzi wa timu ya soka ya Simba kuamini timu yao bado ni bora, isipokuwa ipo katika kipindi cha mpito kuelekea katika mafanikio yatakayowashangaza wengi.
Kutokana na imani yake hiyo, ameshauri ni vyema wakatoa ushirikiano wa kila aina kwa viongozi, wachezaji na benchi lote la ufundi, vivyo hivyo akiwataka viongozi kushikamana na wachezaji na benchi la ufundi, badala ya kuanza kunyoosheana vidole.
Aliyasema hayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani