Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAFURIKO DAR BADO NI MAJANGA TUPU!

Baadhi ya wananchi wakivushwa kwa kushikwa mkono katika eneo la Afrika Sana jijini Dar. Kushoto ni kijana anayemvusha mtu kwa kumshika mkono ambapo hutoza kiasi cha shilingi mia mbili. Wananchi wakionekana kupata adha ya kupita katika mafuriko eneo la Chuo Cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAFURIKO DAR FULL MAJANGA

Hali halisi ya mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo ya Dar. Stori: haruni sanchawa MAFURIKO makubwa yameleta ‘full majanga’ katika wilaya zote tatu jijini Dar es Salaam kufuatia mvua nyingi zilizonyesha mfululizo kwa siku tatu. Mwandishi wetu ambaye alizunguka mitaa mbalimbali alishuhudia maiti moja maeneo ya Jangwani wilayani Ilala  ambayo haikutambuliwa lakini polisi kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Taifa Stars majanga tupu Sauzi

Dar es Salaam. Majanga! Hiyo ndiyo lugha rahisi unayoweza kuelezea   baada ya timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kupokea kipigo cha  mabao 2-0 kutoka kwa Madagascar na kufuta matumaini yake ya kufuzu kwa robo fainali ya Kombe la Cosafa.

 

11 years ago

Michuzi

WAATHIRIKA WA MAFURIKO MBEYA BADO WANAHITAJI MSAADA - MKUU WA WILAYA

Mkuu wa Wilaya Kyela Margareth Esther Malenga(katika)akiongozana na Mkuu wa Vodacom Foundation,Yessaya Mwakifulefule na Mwenyekiti wa chama cha Msalaba Mwekundu"Red Cross"Mkoa wa Mbeya Bw.Ulimboka Mwakilili,wakikagua maeneo yaliyoathirika na Mafuriko wakati walipokwenda kukabidhi msaada wenye thamani ya Shilingi Milion 10 kwa wahanga wa mafuriko wilayani humo. Mkuu wa Wilaya Kyela Margareth Esther Malenga(kulia)akipokea msaada wa vyandarua kupitia chama cha Msalaba Mwekundu"Redcross"kwa...

 

11 years ago

GPL

MKUU WA WILAYA‏ KYELA: WAATHIRIKA WA MAFURIKO MBEYA BADO WANAHITAJI MSAADA

Mkuu wa Wilaya Kyela Margareth Esther Malenga(katika)akiongozana na  Mkuu wa Vodacom Foundation,Yessaya Mwakifulefule na Mwenyekiti wa chama cha Msalaba Mwekundu"Red Cross"Mkoa wa Mbeya Bw.Ulimboka Mwakilili,wakikagua maeneo yaliyoathirika na Mafuriko wakati walipokwenda kukabidhi msaada wenye thamani ya Shilingi Milion 10 kwa wahanga wa mafuriko wilayani humo. Mkuu wa Wilaya Kyela Margareth Esther Malenga(kulia)akipokea...

 

10 years ago

Mwananchi

Uandikishaji BVR Dar majanga

>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) itatakiwa kufanya kazi usiku na mchana kuhakikisha inatimiza mipango yake kuelekea katika Uchaguzi Mkuu kutokana na ugumu unaoweza kutokea katika kukamilisha uandikishaji wapigakura katika jiji la Dar es Salaam na ugawaji wa mipaka ya majimbo nchini.

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive mvua ya siku 3 Dar: Jiji lasimama, miundombinu kero tupu kila kona

Na Andrew Chale, Modewji blog

Kufuatia mvua kubwa  inayoendelea kunyesha kwa siku ya tatu leo imeendelea kusababisha uharibifu wa miundombinu  mingi ya jiji la Dar es Salaam kuharibika vibaya huku mingine ikifungwa kwa kushindwa kutumika hasa kwa magari yaingiayo katikati ya jiji la Dar es Salaam.

Modewji blog  imeshuhudia maeneo kadhaa  katikati ya jiji na maeneo  mengineo ya nje ya jiji yakiwa katika ubovu mkubwa hata magari kupita kwa taabu na mengine kuzama katika madimbwi.

 Baadhi ya...

 

10 years ago

GPL

MAFURIKO JIJINI DAR

MVUA kubwa iliyonyesha leo imesababisha mafuriko katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam na kuleta usumbufu kwa wakazi wa jiji hilo kama inavyoonekana pichani…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mafuriko yatikisa Dar

MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimesababisha uharibufu wa miundombinu ya barabara, nguzo za umeme na mingine kuharibika, hali iliyokwamisha shughuli nyingi jana. Mvua hizo zilizonyesha usiku mzima wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Dar yazingirwa na mafuriko

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimesababisha watu waliopoteza maisha kwa kufariki dunia kufikia saba, huku nyumba zaidi ya 200 zikiwa zimezingirwa na maji katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa katika maeneo ya Buguruni Kwa Mnyamani baadhi ya nyumba bado zimengirwa na maji na kusababisha wananchi wanaoishi kwenye maeneo hayo kuhama kwa muda.
Akizungumza na MTANZANIA jana, mkazi wa Buguruni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani