MAFURIKO DAR BADO NI MAJANGA TUPU!
Baadhi ya wananchi wakivushwa kwa kushikwa mkono katika eneo la Afrika Sana jijini Dar. Kushoto ni kijana anayemvusha mtu kwa kumshika mkono ambapo hutoza kiasi cha shilingi mia mbili. Wananchi wakionekana kupata adha ya kupita katika mafuriko eneo la Chuo Cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MAFURIKO DAR FULL MAJANGA
10 years ago
Mwananchi21 May
Taifa Stars majanga tupu Sauzi
11 years ago
MichuziWAATHIRIKA WA MAFURIKO MBEYA BADO WANAHITAJI MSAADA - MKUU WA WILAYA
11 years ago
GPLMKUU WA WILAYA KYELA: WAATHIRIKA WA MAFURIKO MBEYA BADO WANAHITAJI MSAADA
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Uandikishaji BVR Dar majanga
10 years ago
Dewji Blog07 May
Exclusive mvua ya siku 3 Dar: Jiji lasimama, miundombinu kero tupu kila kona
Na Andrew Chale, Modewji blog
Kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha kwa siku ya tatu leo imeendelea kusababisha uharibifu wa miundombinu mingi ya jiji la Dar es Salaam kuharibika vibaya huku mingine ikifungwa kwa kushindwa kutumika hasa kwa magari yaingiayo katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Modewji blog imeshuhudia maeneo kadhaa katikati ya jiji na maeneo mengineo ya nje ya jiji yakiwa katika ubovu mkubwa hata magari kupita kwa taabu na mengine kuzama katika madimbwi.
Baadhi ya...
10 years ago
GPL
MAFURIKO JIJINI DAR
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Mafuriko yatikisa Dar
MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimesababisha uharibufu wa miundombinu ya barabara, nguzo za umeme na mingine kuharibika, hali iliyokwamisha shughuli nyingi jana. Mvua hizo zilizonyesha usiku mzima wa...
10 years ago
Mtanzania24 Mar
Dar yazingirwa na mafuriko
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimesababisha watu waliopoteza maisha kwa kufariki dunia kufikia saba, huku nyumba zaidi ya 200 zikiwa zimezingirwa na maji katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa katika maeneo ya Buguruni Kwa Mnyamani baadhi ya nyumba bado zimengirwa na maji na kusababisha wananchi wanaoishi kwenye maeneo hayo kuhama kwa muda.
Akizungumza na MTANZANIA jana, mkazi wa Buguruni...