MAFURIKO DAR FULL MAJANGA
![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04atp0tIOODgrGbGaz1y5MgAqkRy7sdeD6COXOz1zJwhAbpRxSdBML61dhgdJoJXXpF-HGuvoyba*UK0FNqFH2jwm/mafu.jpg?width=650)
Hali halisi ya mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo ya Dar. Stori: haruni sanchawa MAFURIKO makubwa yameleta ‘full majanga’ katika wilaya zote tatu jijini Dar es Salaam kufuatia mvua nyingi zilizonyesha mfululizo kwa siku tatu. Mwandishi wetu ambaye alizunguka mitaa mbalimbali alishuhudia maiti moja maeneo ya Jangwani wilayani Ilala ambayo haikutambuliwa lakini polisi kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAFURIKO DAR BADO NI MAJANGA TUPU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCwmC1YUJpCwzySDZopLF8OJ*7JR5NSd3zsBBq0UAZbSYpidiuXxJYgnVN-AmfcbZkNJ83dKTEZs05Qh8-YzHOaf/Amanda.jpg?width=650)
AMANDA: 2014 ULIKUWA FULL MAJANGA KWANGU
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Uandikishaji BVR Dar majanga
10 years ago
GPL26 Dec
10 years ago
Mtanzania24 Mar
Dar yazingirwa na mafuriko
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimesababisha watu waliopoteza maisha kwa kufariki dunia kufikia saba, huku nyumba zaidi ya 200 zikiwa zimezingirwa na maji katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa katika maeneo ya Buguruni Kwa Mnyamani baadhi ya nyumba bado zimengirwa na maji na kusababisha wananchi wanaoishi kwenye maeneo hayo kuhama kwa muda.
Akizungumza na MTANZANIA jana, mkazi wa Buguruni...
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Mafuriko yatikisa Dar
MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimesababisha uharibufu wa miundombinu ya barabara, nguzo za umeme na mingine kuharibika, hali iliyokwamisha shughuli nyingi jana. Mvua hizo zilizonyesha usiku mzima wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxVgqsSV7P5IrluaFX21yVTCYC9F3yx7QlfTn7K*6okxOfZ3mPL4m5mEUlUg7EOfsLZYueE3c51SnIIWmfuXzBTl/mafuriko.jpg?width=650)
MAFURIKO JIJINI DAR
10 years ago
Mtanzania09 May
Mafuriko ni vilio Dar
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
WATU wanane wamefariki dunia kutokana na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam.
Akitoa taarifa ya vifo hivyo Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema watu watano wametambuliwa na wengine watatu bado hawajatambulika na miili yao imehifadhiwa katika ya Hospitali ya Mwananyamala.
Alisema Mei 6 mwaka huu, saa moja usiku maeneo ya Magomeni wilayani Kinondoni, mkazi wa Manzese, Shabani Idd...
11 years ago
Habarileo16 Apr
Mafuriko Dar yaua 41
MAFURIKO yaliyotokea Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki yamesababisha vifo vya watu 41.