MAGOMENI MAPIPA YA LEO
Mambo yanazidi kuwa mswano jijini Dar,kwani kila kukicha mabadiliko yanaonekana.pichani ni Kituo cha Basi cha Magomeni Mapipa leo.Inavyoonekana Magomeni Mapipa sasa.
Magomeni Mapipa kuelekea Kariakoo.Vikwangua acha vya nguvu upande wa Kariakoo kutokea Magomeni Mapipa.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen13 Sep
WHO'S RIGHT?: Kikwete not quite right on the origin of ‘Magomeni-Mapipa’
10 years ago
GPLMAGOMENI-MAPIPA ENEO SUGU KWA FOLENI DAR
10 years ago
VijimamboWANADMV WAHANI MSIBA NYUMBANI KWA ALLY MIKIDADI MAGOMENI MAPIPA, DAR ES SALAAM
10 years ago
VijimamboMTANZANIA WA DMV AHANI MSIBA WA ALLY MIKIDADI MAGOMENI MAPIPA JIJINI DAR ES SALAAM
Alawi (kushoto) akitoa mkono wa pole kwa Bi.Badria(Mama Mzazi wa Ally Mikidadi) siku ya Jumapili March 22, 2015 nyumbani kwa marehemu Magomeni Mapipa jijini Dar Es Salaam, kulia ni Bure mjomba wake Ally Mikidadi na kaka ya Bi. Badria. Ally Mikidadi ni mkazi wa Hyattsville, Maryland nchini Marekani aliyefiwa na baba yake mzazi nchini Tanzania na misba hapa DMV upo 6200 Ager Road, Hyattsville, Maryland. Alawi akipata picha na mjomba BureMazishi ya Marehemu mzee Mikidadi yaliyofanyika siku ya...
10 years ago
Bongo Movies29 Mar
Difender Kuzikwa Leo Magomeni
MCHEKESHAJI Fadhil Said ‘Diffender’ anatarajhia kuzikwa leo katika makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni, saa kumi alasiri , msani huyo aliyefariki jana baada ya kuumwa na kulazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Taifa Muhimbili.
Akiongea na Bongo Movies.com mkuu wa maafa kitaifa Kafiten amesema kuwa marehemu alilazwa katika Hospitali hiyo akisumbuliwa na maradhi yaliyoshambulia mapafu pamoja na kutapika damu akiwa katika wodi ya Mwaisela.
“Msiba upo nyumbani kwao Kigogo shughuli zote zitafanyika...
5 years ago
MichuziDC MBONEKO APOKEA MAPIPA 20 YALIYOTOLEWA NA KASHWASA KUKABILIANA NA COVID - 19 SHINYANGA
Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira katika mji wa Kahama na Shinyanga (Kahama Shinyanga Water Supply and Sanitation Authority(KASHWASA) inavyozalisha na kusambaza maji katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, Mhandisi Joshua Mgeyekwa akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko mapipa 20 yenye ujazo wa lita 210 kila moja kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za serikali katika mapambano dhidi ya Virusi Vya Corona ‘Covid – 19’ kwenye maeneo...
11 years ago
Uhuru Newspaper08 Jul
TIB kuendeleza eneo la Magomeni kota
NA MOHAMMED ISSA
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, imesema ujenzi wa eneo la Magomeni Kota, unatarajiwa kuanza muda wowote mwaka huu.
Akizungumza na Uhuru jana, Meya wa Manispaa hiyo, Yussuph Mwenda, alisema eneo hilo litajengwa nyumba za makazi na sehemu za biashara.
Mwenda alisema tayari Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB), imeonyesha nia ya kuliendeleza eneo hilo.
Alisema benki hiyo itashirikiana na kampuni nyingine katika kufanya kazi hiyo. Hata hivyo, alikataa kuitaja...
9 years ago
MichuziMUZIKI MNENE BANGO SINZA NA MAGOMENI
11 years ago
Habarileo15 Apr
Walalamikia barabara ya Sinza-Magomeni Morocco
WATUMIAJI wa Barabara ya Sinza hadi Magomeni Morocco kupitia eneo la kwa Mtogole, wameilalamikia Manispaa ya Kinondoni kwa kuchelewesha upanuzi wa barabara hiyo na hivyo kuhatarisha usalama wao.