Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magu: Not a safe place to be an old woman

She smiles like the world is a safe place to be and her village - Kihangala is a haven of peace. Her white teeth brightly contrast her darkened skin, her eyes have a faint red ting; a feature she knows marks her as different. “Don’t let my smile fool you,” she says smiling: “I have never been so scared in my life.”

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tolerance.Ca

For Burundian children in Tanzania, a safe place for learning


UNICEF
For Burundian children in Tanzania, a safe place for learning
Tolerance.ca
NYARUGUSU, United Republic of Tanzania, 12 August 2015 – As he talks about his love for school and his friends, Levis grins widely. It was just a few weeks ago, however, that the 15-year-old and his family were forced to leave their home in Burundi to ...
Tanzania, United Republic ofUNICEF (press release)

all 2

 

11 years ago

Michuzi

LUGUMI ENTERPRISES LTD YAKABIDHI PAMPU YA MAJI NA SHILINGI MILIONI 10 KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA WALIMU MAGU SEKONDARI MAGU.

Meneja wa Kanda ya Ziwa Kampuni ya Lugumi Enterprises LTD inayomiliki makampui ya Ran IT Solutions (EA) LTD na KZ Securty, Eligod Justine Sangawe (kushoto) ambaye alimwakilisha Mkurugenzi wake Bw. Said Lugumi, kukabidhi msaada wa Pump ya maji inayotumia umeme na fedha taslimu shilingi milioni kumi kwa Afisa Elimu Takwimu (W) Sekondari bw. John M. Mangu  katika makabidhiano yaliyofanyika viwanja vya shule ya Sekondari ya Magu. Meneja wa Kanda ya Ziwa Kampuni ya Lugumi Enterprises LTD...

 

5 years ago

Eurogamer.Net

Inside gaming's least safe safe rooms

Inside gaming's least safe safe rooms  Eurogamer.net

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazee Magu waanzisha mradi

WAZEE wa Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, wameanzisha miradi mbalimbali ya kiuchumi kwa ufadhili wa Shirika la Maperece linalojishughulisha na kutetea haki za wazee. Akizungumza na waandishi wa habari katika...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Halmashauri Magu yapigwa jeki


NA SARAH ONESMO, MWANZA
HALMASHAURI ya Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, imepokea vifaa vipya vya afya na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA).
Msaada huo umetolewa na Taasisi ya Grena Youth Production School (GYPS) ya Denmark na utaihusu Kata ya Nyanguge, ambako tayari vifaa hivyo vimekabidhiwa kwa uongozi.
Vifaa hivyo ni robota moja ya mashuka ya wagonjwa, nguo za madaktari na wauguzi, mashine ya utrasound, mashine moja ya EKG ya kupimia wagonjwa wa moyo na kompyuta 95.
Akizungumza na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazee Magu wabuni miradi ya kiuchumi

“HIVI karibuni tunategemea kuanza kutengeneza matenki ya kuwekea maji yenye lita za ujazo 2,000. Tutaiomba Ofisi ya Mkurugenzi itupe tenda ya kusambaza kwenye shule zote hapa Magu. “Pia  tunao mradi...

 

10 years ago

Habarileo

Upelekaji umeme Magu wakamilika asilimia 53

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles MwijageUTEKELEZAJI wa upelekaji wa umeme katika vijiji kadhaa wilayani Magu umekamilika kwa asilimia 53, Bunge lilielezwa jana.

 

11 years ago

TheCitizen

Magu optimistic as league gathers pace

>Magu volleyball team has remained optimistic on excelling in the inaugural Mwanza regional volleyball league despite the team having been denied the right to use gifted attacker, Ford Edward, in the event.

 

9 years ago

Mwananchi

Kipindupindu chashika kasi Nyamagana, Magu

Ugonjwa wa kipindupindu umeendelea kuzitesa Wilaya za Nyamagana na Magu mkoani hapa, baada ya idadi ya wagonjwa kuongezeka na kufikia 17, huku mtu mmoja akipoteza maisha wilayani Magu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani