Magufuli akubali, Lowassa achomoa mdahalo
Siku moja kabla ya kufanyika kwa mdahalo wa wagombea urais nchini, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umesema mgombea wao kupitia Chadema, Edward Lowassa hatashiriki shughuli hiyo huku CCM ikithibitisha mgombea wake, Dk John Magufuli kushiriki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7c_033GGCWQ/default.jpg)
Edward Lowassa akubali kuwa Magufuli ni dume la ngo'mbe
-Ana moyo wa kutumikia watu
-Anamudu wizara zote
-Amuita dume la ng'ombe
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Mdahalo wa wagombea Urais Tanzania wafanyika, Magufuli, Lowassa washindwa kuhudhuria
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/q8cMkcAPqMM/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/134.jpg)
MDAHALO WA WAGOMBEA URAIS TANZANIA WAFANYIKA, MAGUFULI, LOWASSA WASHINDWA KUHUDHURIA
10 years ago
Habarileo26 Mar
Lowassa akubali yaishe Urais CCM
SIKU moja baada ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kumuonya aliyekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa, kwa tuhuma za kukiuka Katiba na kuanza kampeni za Urais kabla ya muda, kiongozi huyo ameibuka na kudai kuwa hana njia ya kuwazuia watu wasimuombe agombee Urais.
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Sitta ataka mdahalo na Lowassa
9 years ago
Bongo501 Dec
Staa huyu mrembo wa Kenya akubali kasi ya Magufuli
![11875527_879234492167295_1538931681_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11875527_879234492167295_1538931681_n-300x194.jpg)
Kwa wiki ya pili sasa Rais Dkt Magufuli ameendelea kuwa gumzo barani Afrika na sasa hadi nchi za Ulaya zimedata naye.
Gazeti kubwa la Marekani, The Guardian limeandika habari isemayo: What would Tanzania’s cost-cutting president do? Twitter responds.
Jina lake linatrend muda wote kwenye mtandao wa Twitter na kadri siku zinavyooenda habari za utendaji wake zinazidi kuenea.
Hata wasichana wazuri kama Sheila Mwanyiga aka Nikki nao wamempa salute Magu.
This man #Magufuli… A #NewAfrica rises...
9 years ago
Habarileo17 Oct
Magufuli athibitisha ushiriki mdahalo wa urais
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amethibitisha kushiriki katika mdahalo ulioandaliwa na Taasisi ya Twaweza, utakaofanyika kesho ambao utawakutanisha wagombea watano wa vyama vya upinzani.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar31 Aug
Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond
Monday, August 31, 2015 MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta ametaka uandaliwe mdahalo kwenye vyombo vya habari kati yake na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa […]
The post Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond appeared first on Mzalendo.net.