Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli kutikisa Dar kwa siku 3

MGOMBEA wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli leo anaanza kampeni katika mkoa wa Dar es Salaam, ambako atanguruma kwa siku tatu. Atafanya kampeni Dar, baada ya kutikisa katika mikoa ya Mwanza na Geita. Jana, Dk Magufuli alikuwa na mikutano katika baadhi ya majimbo ya Geita.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band wazidi kutikisa jiji la Dar kwa burudani nzito

Skylight Band Divas Mary Lucos(Wa kwanza Kushoto) Aneth Kushaba AK47 (katikati) Na Digna Mbepera (wa kwanza kulia) wakitoa burudani ya nguvu kwa mashabiki wao ndani ya Kijiji cha Maraha Thai Village Ijumaa Iliyopita.Kila Ijumaa ya mwisho wa wiki Band ya Skylight wanapiga show Ndani ya Thai Village.Karibu Leo Upate burrudani ya nguvu yenye kukonga Roho yako na kutakuwa na Supriseeeeeee kibaoooo ndani ya Thai Village.

          Hashimu Donode akiimba kwa raha zake ndani ya Thai Village 

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band wazidi kutikisa Jiji la Dar kwa Burudani, usikose Ijumaa hii

Kikosi Cha Skylight kutoka kushoto ni Winfrida, Sam Mapenzi na Sony Masamba wakianza kuamsha amsha ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.

Sam Mapenzi akiimba kwa Hisia kali wimbo wa “All on Me wa John Legend” ndani ya Thai Village.

Winfrida Richard akiimba kwa hisia kubwa ndani ya Thai Village Ijumaaa iliyopita.

Mpiga Gita mahiri wa Skylight Band Allen Kisso Mundele akizikung’uta nyuzi za gitaa hilo ipasavyoooooo.

Idrisa idrisaaa ma drummmm akicharanga vyombo kwa umahiri ili kuleta...

 

11 years ago

Habarileo

Mvua kubwa, mawimbi baharini kutikisa siku 4

Dk Agness KijaziMAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo vipindi vya mvua kubwa, upepo mkali na mawimbi makubwa baharini kwa siku nne mfululizo.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli atoa siku 7 kwa wapigaji

Pg 1>> Awaambia wasipolipa kodi ndani ya muda huo wataisoma namba

>> Afichua serikali kutopeleka fedha za maendeleo Wizarani

>> Amuonya mfanyabiashara anayetaka kumili ufukwe wa Coco

Na Kulwa Mzee , Dar es Salaam

RAIS Dk. John Magufuli, ametoa siku saba kwa wafanyabiashara waliopitish makontena yao bandarini bila kulipa kodi, kujisalimisha wenyewe na kulipa fedha hizo za serikali na watakaokamatwa baada ya muda huo watachukuliwa hatua zaidi za kisheria.

Kauli hiyo ya Rais Magufuli, imekuja siku...

 

9 years ago

BBCSwahili

Bomoabomoa yaendelea kutikisa Dar

Mamia ya watu wameendelea kuathiriwa na zoezi la Serikali la kubomoa nyumba zilizojengwa maeneo hatari au yasiyoruhusiwa jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mtanzania

Bella kutikisa Dar Live kesho

BellaNa Mwandishi Wetu

MKALI wa sauti, Christian Bella, anatarajiwa kupagawisha mashabiki wake kesho kwenye ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.

Msanii huyo anatarajia kushuka jukwaani na wimbo mpya ambao anatamba nao kwa sasa alioufanya na mkongwe wa muziki kutoka Kongo (DRC), Koffi Olomide, uitwao Acha Kabisa.

Mkali huyo mwenye kibao cha ‘Nashindwa’ anatarajia kufunga mwaka kwa kukata kiu kwa mashabiki wake kwa kuimba na kucheza ngoma zake zote kali kama vile Nani Kama Mama,...

 

10 years ago

GPL

MGOMO WA MABASI, DALADALA WAZIDI KUTIKISA DAR

Polisi wakiwa wametanda eneo la Stendi ya Ubungo kuhakikisha hali ya usalama. Wananchi wakiwa wametaharuki katika eneo la Ubungo kutokana na mgomo unaoendelea.…

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT MAGUFULI ASHIRIKI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA MADAKTARI KITAIFA MWAKA 2020 JIJINI DAR ES SALAAM


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wakati wa maadhimisho ya siku ya Madaktari Kitaifa Mwaka 2020 katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataiafa cha Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam leo Alhamisi Februari 20, 2020  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Tuzo Maalumu.....katika kutambua mchango wake mkubwa katika tasnia ya afya wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Madaktari Kitaifa mwaka 2020 katika Kituo cha...

 

10 years ago

GPL

WAKALI HAWA KUTIKISA PASAKA DAR LIVE KESHO

HATIMAYE! Ile siku iliyokuwa ikisubiriwa na mashabiki wengi wa burudani imewadia ambapo kesho Aprili, 5 (Sikukuu ya Pasaka) ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar mastaa wa muziki Bongo kama, Ali Kiba ‘Mwana Dar Live’, Isha Mashauzi pamoja na Msaga Sumu wanatarajiwa kutikisa. Ali Kiba akiupagawisha umati wa Dar Live Akizungumza na Mikito Nusunusu, mratibu wa burudani katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani