MAGUFULI: NITAJENGA KARATU MPYA!
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/magufuli-akimwaga-sera-Hanang-001.jpg?width=650)
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Pombe Magufuli akimwaga sera kwa wakazi wa Hanang. Wakazi wa Kijiji cha Muslur, mkoani Manyara wakimshangilia Magufuli. Magufuli akiingia Mbulu Mjini. Magufuli akimwaga sera kwa wakazi wa Mbulu Mjini.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Magufuli : Nitajenga hospitali za rufaa kila mkoa
9 years ago
StarTV06 Oct
Magufuli kuboresha sekta ya mifugo Karatu
Mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi John Pomba Magufuli ameweka bayana nia yake ya kuboresha bidhaa zitokanazo na mifugo kwa kuweka mazingira safi na yakisasa kwa wafugaji kote nchini.
Katika mkutano wake wa hadhara mjini Karatu mkoani Manyara Magufuli amesema bidhaa nyingi zitokanazo na mifugo kutoka nchini Tanzania zimekuwa zikikutana na vikwazo katika masoko ya kimataifa kutoka na mazingira magumu wanayokumbana nayo wafugaji.
Kwa kauli hiyo Magufuli anajidhatiti kuleta...
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Dk John Magufuli ammwagia sifa Dk Slaa Karatu
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vSPZS0rCB1c/VhLA7g6WSXI/AAAAAAAH9No/kJGOkSH64d4/s72-c/_MG_3009.jpg)
MAGUFULI ABOMOA NGOME ZA CHADEMA HANANG, MBULU NA KARATU. AMMWAGIA SIFA LUKUKI DKT. SLAA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vSPZS0rCB1c/VhLA7g6WSXI/AAAAAAAH9No/kJGOkSH64d4/s640/_MG_3009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_MnwuJY44Dg/VhLA9AwcboI/AAAAAAAH9Nw/lFs4s6PVudA/s640/_MG_3023.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar21 Sep
Shein: Mkinichagua nitajenga kiwanda cha kusindika samaki.
NA WAANDISHI WETU 21st September 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Mohammed Shein (pichani), ameahidi kuwa akichaguliwa serikali yake itajenga kiwanda cha kisasa cha kusindika samaki kwenye makopo […]
The post Shein: Mkinichagua nitajenga kiwanda cha kusindika samaki. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Nitaondoa njaa, wakulima watatumia helkopta kumwagilia mashamba, nitajenga vituo maalumu vya Albino na wazee — Rungwe
Mgombea Urais wa CHAUMA,Hashim Rungwe katika pozi tofauti akihutubia wananchi wa Singida mjini jana.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ukombozi wa Umma (CHAUMA) Hashim Rungwe akizungumza kwenye Mkutano wa Kampeni Mkoani Singida, ambapo aliahidi kuwaondolea wananchi njaa.
Mgombea mwenza wa CHAUMA Issa Abas Husein nae akihutubia wananchi wa Singida mjini.
WANANCHI wakimsikiliza Mgombea Urais wa CHAUMA kwenye kituo cha stendi ya zamani Mjini Singida jana.
9 years ago
Habarileo24 Dec
Magufuli mgeni rasmi mwaka mpya
RAIS John Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkesha wa kuiombea Amani Tanzania utakaofanyika Desemba 31 katika uwanja wa Taifa. Akizungumza Dar es Salaam jana Mwenyekiti wa Jumuiya ya Makanisa ya Pentekoste (TFC) Godfrey Malassy alisema maandalizi yote yamekamilika ikiwemo kibali kutoka polisi, pamoja washiriki mbalimbali watakaoshiriki katika mkesha huo.
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Magufuli: Mfumo mpya waja mizani
WAZIRI wa Ujenzi Dk. John Magufuli, amezitaka sekta za usafirishaji nchini kujiandaa na mfumo wa kisasa wa upimaji katika mizani ya magari inayojengwa Vigwaza Mkoa wa Pwani kwa ajili ya...
9 years ago
Mwananchi30 Aug
Magufuli aahidi Tanzania mpya kama atachaguliwa