Magufuli, tingatinga lisiloacha kitu
John Pombe Joseph Magufuli ndiye mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi(CCM) anayetajwa na CCM kama ‘tingatinga’ kutokana na rekodi yake katika kazi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Jul
JK amfananisha Magufuli na 'tingatinga'
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Mtei: Rais Magufuli asiige kila kitu kutoka kwa Nyerere
9 years ago
MichuziTUZO ZA SANAA YA UCHORAJI TINGATINGA
10 years ago
Habarileo13 Jul
Kikwete: Huyu ni sawa na tingatinga
MWENYEKITI wa Taifa wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amemfananisha mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli na tingatinga na kuwa akiwa Rais, Tanzania itanufaika sana.
10 years ago
Habarileo02 Jun
Halmashauri zatakiwa kununua tingatinga
SERIKALI imesisitiza haja ya halmashauri zote nchini kununua tingatinga kupunguza gharama za kutengeneza barabara zake kwa kutumia zabuni hata katika masuala madogo.
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Komba azikwa kwa tingatinga
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”
HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO Hamfrey Polepole na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa wamekabana kwa hoja kali kuhusu uamuzi wa Chadema na Ukawa kwa ujumla kumpokea Edward Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea Urais.Polepole na Msigwa walikutana jana katika kipindi cha ‘Mada Moto’ kinachorushwa na kituo cha runinga cha Chanel Ten kujadili mada iliyotajwa kama ‘Lowassa Ndani ya CCM’.Polepole alionesha msimamo wake wa kumkataa Edward Lowassa kuwa...
5 years ago
MichuziEDWARD SAIDI- MWANZILISHI WA SANAA YA TINGATINGA
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
ANAFAHAMIKA kwa jina la Edward Saidi 'Tingatinga' mchoraji wa kitanzania ambaye pia anaelezwa kuwa ni mwanzilishi wa mtindo wa uchoraji maarufu kama Tingatinga, ambao umekuwa kivutio kwa watalii na umekuwa ukifanywa katika nchi za Tanzania, Kenya na baadhi ya maeneo katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Tingatinga ni sanaa ya ufundi inayojumuisha uchoraji, upakaji rangi, ufinyanzi, uchongaji na utengenezaji wa mapambo ya asili na utamaduni.
Tingatinga ...
9 years ago
Dewji Blog06 Nov