Mahakama ya Kimbari yafungwa
Baraza la Usalama wa Umoja wa Mataifa (UN) limetangaza kufungwa rasmi kwa Mahakama ya kimataifa ya mauaji ya kimbari ya Rwanda baada ya kumaliza kazi zake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mahakama ya mauaji ya kimbari Rwanda yafungwa
Mahakama ya kimataifa iliyoundwa kuchunguza mauaji ya kimbari nchini Rwanda ya mwaka wa 1994 {ICTR} imefunga shughuli zake mjini Arusha Tanzania.
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TSQg3YdbcSM/Vh4QKMwpkHI/AAAAAAAEA-k/HDbsgNCuoSM/s72-c/FullSizeRender%2B%25281%2529%2B%25281%2529.jpg)
MARAIS WA MAHAKAMA ZA KIMATAIFA ZA MAUAJI YA KIMBARI WAMPONGEZA JK, TANZANIA KWA USHIRIKIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-TSQg3YdbcSM/Vh4QKMwpkHI/AAAAAAAEA-k/HDbsgNCuoSM/s640/FullSizeRender%2B%25281%2529%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WEBRB8EmPH8/Vh4QNmd--bI/AAAAAAAEA-s/MmEUJlaqFr8/s640/MEROE.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9YTPB79eNT0/VBlsAAVgjdI/AAAAAAAGkDw/QxSzT-kFR1Q/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) Yatoa Msaada wa Kompyuta Arusha
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) leo imetoa msaada wa Kompyuta 22, Monitor 154 na Printers 66 kwa mashule, vyuo, vituo vya afya, mashirika yasiyo ya serikali na taasisi zakidini na kijamii pamoja na idara za serikali katika jitihada zake za kusaidia jumuiya ya Kitanzania ambayo imeweza kuilea mahakama hiyo nchini kwa miaka karibu 20 sasa.
Ofisi ya ya Mkuu wa Mkoa yenyewe iliongezewa gari moja la deraya na ulinzi. Makabidhiano hayo yalifanya mjini Arusha...
Ofisi ya ya Mkuu wa Mkoa yenyewe iliongezewa gari moja la deraya na ulinzi. Makabidhiano hayo yalifanya mjini Arusha...
10 years ago
Michuzi13 Nov
Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia Maiuaji ya Kimbari nchini Rwanda (UN-ICTR) Yaadhimisha Miaka 20
Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia mauaji ya Kimbari ya nchini Rwanda mwaka 1994 juzi iliadhimisha miaka 20 tokea ianzishwe. Maadhimisho hayo yalihusisha maonyesho ya kazi zake pamoja na mikutano. Siku ya mwisho Makamu wa Rais wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal alikuwa mgeni wa heshima. Mhakama hiyo inamaliza kazi zake mwakani. Chini hapo ni baadhi ya picha za shughuli hiyo.
Mpiganaji Danford Mpumilwa, ambaye ni Afisa Habari wa Mahakama hiyo akisoma hotuba ya Wafanyakazi wa...
![](https://2.bp.blogspot.com/-WpT3vYafmR0/VGUM7R6dcHI/AAAAAAAGxCU/IpOil7re9G8/s640/unnamed%2B(37).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3GnsQAvS8Fc/VVyJ0rvk1SI/AAAAAAAHYiA/u3Eo6_MrYQI/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) yatoa gari kwa jeshi la magereza arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-3GnsQAvS8Fc/VVyJ0rvk1SI/AAAAAAAHYiA/u3Eo6_MrYQI/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Nov
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya mahakama ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda ICTR Jijini Arusha
![3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/32.jpg)
![5](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/52.jpg)
![6](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/61.jpg)
![7](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/72.jpg)
![4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/41.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitazama baadhi ya picha za kumbukumbu...
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Rwanda yakumbuka mauaji ya Kimbari
Watu nchini Rwanda wanaadhimisha miaka 20 tangu kutokea mauaji ya kimbari mwaka 1994 kwa kuwakumbuka maelfu waliouawa
11 years ago
BBCSwahili09 Apr
Makovu ya mauaji ya Kimbari Rwanda
Imekuwa ni miaka 20 sasa tangu mauaji ya kimbari yasababishe vifo vya watu zaidi ya laki nane nchini Rwanda.
11 years ago
BBCSwahili09 Apr
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania