Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yamwachia huru Mbasha

Pg 3 sept 22Na Veronica Romwald, Dar es Salaam

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imemwachia huru mfanyabiashara na mwimbaji wa muziki wa injili, Emmanuel Mbasha aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya ubakaji.

Baada ya Hakimu Flora Mjaya kumaliza kusoma hukumu jana, Mbasha alitoka nje ya mahakama hiyo na kupiga magoti na kunyanyua mikono juu akimshukuru Mungu huku akibubujikwa na machozi.

“Namshukuru Mungu ni mwema amenitetea maisha yangu,” alisema Mbasha huku akirudia maneno hayo mara kwa mara.

Hakimu Mjaya alisema...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YAMWACHIA HURU EMMANUEL MBASHA KESI YA UBAKAJI

Na Mwene Said waBlogu ya Jamii
Kulia ni msanii wa Nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha (32) aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya ubakaji leo  aliachiwa huru na Mahakama ya Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam, baada ya ushahidi uliotolewa na upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha tuhuma hizo.  Mbasha ambaye pia ni mume wa msanii wa nyimbo za injili nchini, Flora Mbasha, alipiga magoti na kuangua kilio nje ya mahakama baada ya kusomwa hukumu hiyo iliyomwachia huru dhidi ya tuhuma za...

 

11 years ago

Habarileo

Mahakama ya Rufaa yamwachia huru mfanyabiashara

MAHAKAMA ya Rufani Kanda ya Dar es Salaam imeamuru mfanyabiashara Amnus Athanus aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha, atolewe gerezani.

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA AUSTRALIA YAMWACHIA HURU KARDINALI GEORGE PELL

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MAHAKAMA kuu nchini Australia imeondoa hatia dhidi ya Kardinali  mkongwe wa kanisa katoliki nchini humo George Pell (78) aliyewahi kupatikana na hatia ya unyanyasaji wa kingono kwa watoto na Machi 2019, alihukumiwa kifungo cha miaka sita gerezani lakini uamuzi wa mahakama umemwachilia huru siku ya Jumatatu, Shirika la utangazaji la NBC News patner 7 News la nchini humo limeripoti.
Mahakama kuu ya Australia iligundua kuwa majaji wasiokubaliana walitoa hukumu hiyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive: Mahakama ya Kisutu yamwachia huru Askofu Gwajima na wachungaji wake watatu leo

GWAJIMA2 (1)

Taarifa zilizotufikia chumba cha habari cha modewjiblog zimeeleza kuwa Askofu Josephat Gwajima aliyejisalimisha Polisi Central na hatimaye kupelekwa Mahakama ya Kisutu wameachiwa huru kwa dhamana yeye pamoja na wachungaji wake watatu, jijini Dar es Salaam jioni ya leo.

Askofu Gwajima aliwataja Maaskofu hao kuwa ni Askofu Geofrey Andrew, Mchungaji George Mzava na Askofu Yeconia Bihagaze.

Hiyo ni kufuatia kushitakiwa kwa mashitaka mawili yanayowakabili likiwemo kumkashifu Askofu Pengo...

 

9 years ago

Habarileo

Mbasha huru, hakubaka

MWIMBAJI mahiri wa nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha (32) ambaye ni mume wa mwimbaji mwingine wa nyimbo hizo, Flora Mbasha, ameachiwa huru jana katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha mashitaka ya kubaka yaliyokuwa yanamkabili.

 

9 years ago

GPL

EMMANUEL MBASHA AACHIWA HURU

Mume wa mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha akitoka nje ya Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam leo. MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam leo imemuachia huru mume wa mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha katika kesi iliyokuwa inamkabili ya kosa la ubakaji baada ya kuona hana hatia juu ya madai hayo.
Mbasha alikuwa anakabiliwa na mashitaka ya kumbaka shemeji yake mwenye umri...

 

11 years ago

GPL

WAKATI MBASHA AKIWA HURU KWA DHAMANA, GWAJIMA APASUA JIPU!

Stori: Haruni Sanchawa na Richard Bukos WAKATI mume wa mwimba Injili Bongo,  Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha akiachiwa huru kwa dhamana kufuatia kesi ya kudaiwa kumbaka shemejiye, Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la jijini Dar es Salaam, Josephat Gwajima ameibuka na kunena mazito kuhusiana na sakata hilo, Risasi Jumamosi limesheheni mkobani. Mbasha akiwa na Pingu. Mbasha aliachiwa kwa dhamana juzi akitokea Gereza la...

 

9 years ago

Vijimambo

Picha nje ya Mahakama baada ya Mwimbaji wa Gospel Emmanuel Mbasha kushinda kesi ya kubaka



Emmanuel Mbasha akiwa amepiga magoti huku akitokwa machozi nje ya Mahakama ya Ilala, Dar es Salaam baada ya Hukumu kutolewa. Hizi hapa Picha nje ya Mahakama ya Ilala baada ya Hukumu kutolewa Mahakamani na Emmanuel Mbasha kutoka nje ya Mahakama.






millardayo.com

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani