MAHARI YA WOLPER MILIONI 25
![](http://api.ning.com:80/files/jw5zqGnfHdozYmTpbX4t3g2rxMBmUqyQQgHKd5NuwWrSkuaswgYKKsxvlVyInLZUw6z4SxJWfX39gR8bZ7FU3xhxNv4wetXJ/GLOBALTV23.jpg)
Demu mkali wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper ‘Jack’. AMEPIGWA?! Mahari ya demu mkali wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper ‘Jack’ inawezekana ikawa ndiyo ya kiwango cha juu kwa mastaa wa Bongo waliowahi kuolewa kwa utaratibu unaojulikana kihalali. Chanzo chetu cha kuaminika kimesema na Amani kwamba, familia ya Wolper inataka mahari ya shilingi milioni 25 ikiwa ni ‘zawadi’ kwa wazazi...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo518 Dec
Vanessa Mdee na Jacqueline Wolper nao wafikisha followers milioni moja Instagram
![wolvee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/wolvee-300x194.jpg)
Vanessa Mdee na Jacqueline Wolper wana kila sababu ya kuwashukuru mashabiki wao kwa kuwawezesha kufikisha wafuasi milioni moja kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.
Hadi sasa Vanessa ana followers 1,011,699 huku Wolper akiwa na followers 1,030,784.
“Mashabiki ni mtaji, wasanii tunafanya kazi kwa ajili ya watu ndiyo maana nimefurahi kufikisha idadi hii ya mshabiki milioni moja kwenye Instagram, ni ishara nzuri kuwa kazi zangu zinakubalika,” alisema Vanessa.
Vee Money na Jacqueline...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpzAzK1LW*BBQhV332HGY-L*VB3gWD3pKxuUJVAPERC1xE2kFD6YPSH-pdZpGcAwqvOE0t2xVO5riIb-JE34JiOx/lulu.jpg?width=650)
MAHARI YA LULU LAKI 8
11 years ago
Habarileo30 Jun
Sakata la mahari msibani
BAADA ya vuta nikuvute iliyosababisha uhasama mkubwa baina ya familia mbili mjini hapa wakigombea kuuzika mwili wa mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu, hatimaye familia ya baba mzazi wa marehemu imekubali ‘yaishe “ na kuruhusu familia ya mama mzazi kumzika mtoto huyo.
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Mahari ni mzigo kwa wanaume?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YLaeso7tISD7eYCrIBgmHlhMvrr2MlCS2F6ZD2riVxaN5ZdaIJmPFODJjmSPGojR-Sdz*FldlMOpULLTnfQVVshS6sYnGBC8/PENNY.jpg)
PENNY: MAHARI YANGU NI JUZUU, MSAHAFU
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Utamaduni wa kurejesha mahari marufuku Uganda
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Mahari yapigwa marufuku Tororo Uganda