Utamaduni wa kurejesha mahari marufuku Uganda
Mahakama ya juu zaidi nchini Uganda imesema kuwa utamaduni wa kurejesha mahari baada ya talaka unakiuka katiba.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Mahari yapigwa marufuku Tororo Uganda
10 years ago
MichuziPolisi: Wagombea Urais marufuku kuambatana na wapambe waati wa kuchukua, kutafuta wadhamini na kurejesha fomu
Jeshi la Polisi nchini limesitisha maandamano ya wafuasi wa vyama vya siasa wakati wa kuchukua ,kutafuta wadhamini, na kurejesha fomu za kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Naibu Inspekta Jenerali wa jeshi la Polisi Abdulrahman Kaniki (pichani) amesema kuwa jeshi limechukua hatua hiyo kutokana na ukiaukwaji wa sheria za usalama barabarani...
11 years ago
Mwananchi20 Feb
‘Vimini’ marufuku Uganda
11 years ago
Habarileo20 Feb
Vimini, vitopu marufuku Uganda
RAIS Yoweri Museveni amesaini sheria ambayo inaharamisha mavazi yasiyo ya heshima na picha za utupu. Pia, wanawake wamepigwa marufuku kuvaa nguo fupi - vimini na blauzi fupi – vitopu, ambavyo vinashawishi hisia za ngono, isipokuwa kama vivazi hivyo vitatumika kwa madhumuni ya kutoa elimu au matibabu au kutumika kwenye michezo na utamaduni.
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Singida yawapiga marufuku wageni wa Kenya na Uganda kununulia vitunguu mashambani
Baadhi ya wafanyabiashara wa zao la vitunguu pamoja na vibarua wa soko la vitunguu la Misuna manispaa ya Singida, wakiwa kwenye harakati kuchambua ili waweze kuuza zao hilo ambalo kwa msimu huu, ni chache ikilinganishwa na msimu uliopita.Msimu uliopita gunia moja mwanzoni liliuzwa kwa shilingi kati ya 90 na 85 lenye vitunguu bora, msimu huu kutokana na vitunguu kuwa vichache kutokana na uhaba mkubwa wa mvua,gunia moja limeanza kuuzwa kati ya shilingi 95 na 105,000.(Picha na Nathaniel...
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya Corona: Marufuku ya kutoka nje yaongezwa kwa siku 21 Uganda
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Rais Yoweri Museveni amepiga marufuku huduma za uchukuzi wa umma Uganda
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuendelea kushirikiana na wadau katika kuendeleza Utamaduni
Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (kushoto) akifungua kituo cha utamaduni wa China nchini Tanzania mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel na kulia ni Mkurugenzi wa Utamaduni toka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko.
Baadhi ya wanafunzi wa Kitanzania wanaojifunza lugha ya Kichina katika kituo cha Utamaduni wa China nchini Tanzania wakiimba nyimbo kwa lugha ya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jw5zqGnfHdozYmTpbX4t3g2rxMBmUqyQQgHKd5NuwWrSkuaswgYKKsxvlVyInLZUw6z4SxJWfX39gR8bZ7FU3xhxNv4wetXJ/GLOBALTV23.jpg)
MAHARI YA WOLPER MILIONI 25