Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAHINDI YAMEIBEBA DUNIA-2

Mahindi ya njano
MWAKA 1974 nchi yetu ilipatwa na janga kubwa la njaa lililotokea baada ya ukame kuikumba nchi. Hayati Mwalimu Nyerere alikwenda kuomba msaada wa chakula nchini Marekani ambako Rais wa wakati huo Hayati John F. Kennedy alimpa msaada wa mahindi yenye rangi ya njano. Ilikuwa kasheshe kuzoea kula ugali wa rangi ya njano na wenye sukari kiasi. Wengi waliupa unga huo jina la ‘unga wa yanga’ bila kujua...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi

Serikali ipo katika hatua za mwisho za makubaliano ya kuuza tani 50,000 za awali za mahindi nchini Kenya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wa mahindi waandamana

WAKULIMA wa mahindi wilayani hapa, Mkoa wa Mbeya wameandamana hadi ofisi ya Mkuu wa Wilaya ili kujua hatma ya ununuzi wa mahindi yao. Wakizungumza na Tanzania Daima, wakulima hao walisema...

 

10 years ago

Habarileo

RC asema chakula si mahindi tu

MKUU wa Mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone amekataa taarifa za halmashauri za wilaya na Manispaa mkoani humo kuwa na upungufu wa chakula, akidai takwimu hizo ni za kupika.

 

11 years ago

Habarileo

Gunia la mahindi Sh. 12,000/-

WAKULIMA na wavuvi wa mjini Sumbawanga wameendelea kusota kutokana na kushuka kwa bei ya mahindi na samaki wabichi wanaovuliwa katika Ziwa Tanganyika wilayani Kalambo kwa kukosa soko la uhakika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utata ununuzi wa mahindi Nkasi

HOFU imetanda kwa wakulima wa zao la mahindi Wilaya ya Nkasi, Rukwa kutokana na Mkuu wa wilaya hiyo (DC), Iddy Kimanta, kudai wamekuwa wakipeleka mahindi mabovu na machafu kwenye kituo...

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara ‘stop’ kuuza mahindi

Serikali imeiagiza Mamlaka ya Hifadhi ya Chakula ya Taifa (NFRA), kuacha kununua mahindi kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa, badala yake iwape kipaumbele wakulima ambao ndiyo walengwa wakubwa wa soko hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

NFRA kununua mahindi Gairo

Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ina mpango wa kununua tani 2,500 za mahindi katika Wilaya ya Gairo.

 

10 years ago

TheCitizen

MAHINDI: Volunteer doctors from abroad okay, but...

>According to recent reports in the media, President Jakaya Kikwete, while on tour in Shandong Province in China, appreciated efforts of the Chinese government of  posting volunteer doctors to Tanzania for the last 50 years. He also used the opportunity to ask for more such doctors to be sent to Tanzania to help curb the existing shortage.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ugonjwa wa mahindi, mihogo watishia

MAGONJWA ya mazao ya mahindi na mihogo yaliyoikumba Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara yanatishia uwepo wa njaa. Tishio hilo linatokana na baadhi ya wakulima kuanza kung’oa mazao hayo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani