Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utata ununuzi wa mahindi Nkasi

HOFU imetanda kwa wakulima wa zao la mahindi Wilaya ya Nkasi, Rukwa kutokana na Mkuu wa wilaya hiyo (DC), Iddy Kimanta, kudai wamekuwa wakipeleka mahindi mabovu na machafu kwenye kituo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI: ccm itapigwa saa mbili asubuhi Nkasi Kusini na nkasi kaskazini

Wilaya ya Nkasi ni moja kati ya wilaya nne za mkoa wa Rukwa. Wilayah hii inaundwa na kata 22, vijiji 105 na vitongoji 768. Kwa upande wa idadi ya watu, kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, wilaya ya Nkasi ilikadiriwa kuwa na wakazi 281,200 ambapo wanaume walikuwa 137,041, wanawake 144,159 na kuna wastani wa watu 5.3 katika kila kaya.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi

Serikali ipo katika hatua za mwisho za makubaliano ya kuuza tani 50,000 za awali za mahindi nchini Kenya.

 

11 years ago

Daily News

Nkasi DC rails against graft


Nkasi DC rails against graft
Daily News
THE District Commissioner for Nkasi, Mr Iddy Kimanta has warned dishonest District Council solicitors who allegedly receive bribes from suspects, a situation that often leads to losses of colossal sums of government money, when the culprits win court cases.

 

10 years ago

Daily News

Nkasi pupils sit on stones


Nkasi pupils sit on stones
Daily News
SEVERAL premises of schools and public dispensaries in Nkasi North Constituency in Nkasi District, Rukwa Region are in bad shape which need urgent face lift. Some of the primary schools in the area are in dire shortages of desks, which caused pupils to ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi wazua tafrani Nkasi

WANAFUNZI wapya 52 wa kidato cha tano katika shule ya sekondari Kati wilayani Nkasi, Rukwa wamefanya vurugu lililolazimisha nguvu ya polisi kutumika baada ya kuzuiwa kufanya sherehe ya kujikaribisha hadi...

 

11 years ago

Fine For Killing Motorist

Nkasi driver pays 110000/


Nkasi driver pays 110000/- fine for killing motorist
Daily News
NKASI District Resident's Court, Rukwa Region sentenced a driver of Vodacom company, Mussa Malima (28), to seven years in jail after he pleaded guilty of killing a motorcyclist, Bryson Kahama (28), and wounding his two passengers or pay a total fine of ...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge wa Nkasi nusura apigwe

>Kelele, kukunjana na kunyoosheana vidole jana mchana vilitawala nje ya ukumbi wa Bunge wakati wabunge wa CUF kutoka Zanzibar walipotaka ‘kumkanya’ Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Keissy.

 

9 years ago

Habarileo

Kipindupindu chaua mmoja wilayani Nkasi

UGONJWA wa kipindupindu umeibuka wilayani Nkasi mkoani Rukwa na mpaka sasa umeua mtu huku wengine 19 wakipatiwa matibabu katika vituo vitatu tofauti vilivyotengwa katika mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani humu baada ya kuathirika kwa ugonjwa huo.

 

10 years ago

Mtanzania

Mbunge wa Nkasi ahofia kuonekana mzembe

Godfrey-ZambiMBUNGE wa Nkasi Kusini, Desdurius Mipata (CCM), amehofia wapiga kura wake kumuona mzembe kutokana na kushindwa kupeleka huduma ya mawasiliano katika jimbo lake.

Akiuliza swali bungeni jana, alisema licha ya kuihoji Serikali mara kwa mara, lakini hadi sasa vijiji hivyo havina mawasiliano.

“Je, Serikali haoni wananchi wangu wataniona mzembe kwa kushindwa kuwapelekea mawasiliano,” alihoji.

Alitaka kujua mpango wa Serikali wa kuvipatia vijiji vya kata ya Kate na Isale mawasiliano ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani