Mahiza asitisha uhamisho wa waganga wakuu Tanga
Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza amesitisha uhamisho wa waganga wakuu wa wilaya zilizopo mkoani Tanga ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi wao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
RC asitisha likizo za wakuu wa wilaya
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Kanali Mstaafu Fabian Massawe, amesitisha likizo zote kwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri hadi ujenzi wa majengo ya maabara utakapokamilika. Mbali na kusitisha...
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Kingu awashukia Waganga Wakuu wa Wilaya
MKUU wa Wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu, amewashukia baadhi ya Waganga Wakuu wa Wilaya kwa kusema ni mizigo kwa serikali kutokana na kushindwa kutimiza wajibu wao. Kingu alitoa kauli hiyo...
9 years ago
GPL08 Sep
10 years ago
Dewji Blog26 May
JK amemteua Bwana Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa-Dodoma, ,afanya uhamisho wa wakuu 10 wa wilaya
10 years ago
VijimamboDC SAIDI MECK SADIKI AZUNGUMUZA NA WATENDAJI WAGANGA WAKUU MKOANI DAR ES SALAAM
5 years ago
MichuziWAGANGA WAKUU WATAKIWA KUKAGUA UTAYARI WA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia maswala ya Afya, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt.Dorothy Gwajima akiwa katika moja ya chumba kilicho andaliwa kwa ajili ya kutolea kuhuduma kwa wagonjwa wa COVID-19 (CORONA) katika halmashauri ya Ikungi mkoani Singida.Baadhi ya Watumishi kutoka Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wakikagua dawa zilizoandaliwa katika kituo cha Ilongero cha kuhudumia wa wagonjwa wa ...
10 years ago
MichuziUJENZI WA MAABARA: MAHIZA AWATAKA WAKUU WA IDARA WASIKAE OFISINI WAENDE KWENYE KATA,ATAKA MADIWANI WAAHIRISHE VIKAO VYAO HADI UJENZI UTAKAPOKAMILIKA
SUALA la Maabara kwa shule za Sekondari za Kata limeingia kwenye hatua nzito baada ya mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza kuiacha ofisi yake na kuhamia Wilaya ya Bagamoyo ili kuhakikisha agizo la Rais Dk Jakaya Kikwete la kila wilaya iwe imekamilisha ujenzi huo ifikapo Novemba 30 mwaka huu.
Sambamba na hilo mkuu huyo amewataka wakuu wa idara wa Wilaya hiyo kila mmoja kutokaa ofisini na kuchagua kata ya kwenda ili kusimamia ujenzi huo hadi ujenzi wa maabara...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
JK asitisha shamrashamra za ngoma
9 years ago
Michuzi24 Oct
JK ATEUA MAKATIBU WAKUU WANNE NA MANAIBU KATIBU WAKUU WATANO WAPYA