Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK asitisha shamrashamra za ngoma

Rais Jakaya Kikwete jana aliongoza maelfu ya Watanzania katika maadhimisho ya miaka 52 ya Uhuru wa Tanganyika (sasa Tanzania), kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam na kulihutubia taifa, akiwataka wananchi kuwa na moyo wa kusamehe kama aliokuwa nao Rais wa Kwanza mzalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

RC asitisha likizo za wakuu wa wilaya

MKUU wa Mkoa wa Kagera, Kanali Mstaafu Fabian Massawe, amesitisha likizo zote kwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri hadi ujenzi wa majengo ya maabara utakapokamilika. Mbali na kusitisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tibaijuka asitisha ujenzi wa kanisa

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, amesitisha ujenzi wa Kanisa la ‘Hemba Ministries’ linalojengwa katika Kitongoji cha Busimba, Kijiji cha Ihangiro, Wilaya ya Muleba, mkoani...

 

9 years ago

Mwananchi

Pluijm asitisha usajili mpya Yanga

Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amesitisha mchakato wa usajili mpya kwenye kikosi chake kwa kile kilichoelezwa hadi atakapofikia muafaka na Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji.

 

9 years ago

Mwananchi

Mahiza asitisha uhamisho wa waganga wakuu Tanga

Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza amesitisha uhamisho wa waganga wakuu wa wilaya zilizopo mkoani Tanga ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi wao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dalai Lama asitisha ziara Afrika Kusini

Kiongozi huyo ambaye yuko uhamishoni, alisitisha ombi lake la Viza baada ya maafisa wake kusema huenda akanyimwa viza hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Mawaziri waapa bila shamrashamra

Halikuwa jambo la kawaida wakati hafla ya kuapishwa kwa mawaziri 30 Ikulu Dar es Salaam jana ilipofanyika kwa dakika 60, bila ya kuwapo kwa shamrashamra za aina yoyote.

 

10 years ago

Mtanzania

Mitandao yaua shamrashamra za Valentine

WAPENDAONA MWANDISHI WETU
IMEDAIWA kuwa kukua kwa sayansi na teknolojia na hasa matumizi ya mitandao ya kijamii, kumeua soko la kadi pamoja na maua yaliyozoeleka kununuliwa msimu huu wa Valentine.
Hayo yamebainishwa na baadhi ya wauza maduka ya kadi na maua katika maeneo mbalimbali ambao wanalalamikia kuporomoka kwa bidhaa hizo ambazo katika siku za nyuma zilikuwa zikiuzika kwa kiwango kikubwa.
Mmoja wa wauza duka hilo aliyejitambulisha kwa jina la Fadhili Muzo, alisema kwa mwaka huu hali ni mbaya...

 

10 years ago

Bongo5

Diamond asitisha kupokea maombi ya collabo za wasanii wa Nigeria

Diamond Platnumz sasa ni ‘hotcake’ kiasi cha kuwafanya wasanii wengi wa Afrika kutamani kufanya naye collabo, lakini kwa uamuzi mpya alioupitisha wasanii wa Nigeria ambao hawajafanikiwa kufanya nae wataikosa nafasi hiyo. Platnumz ambaye Jumamosi iliyopita pamoja na msanii wa Afrika Kusini, Donald wameshoot video ya collabo yao mpya, amesema kwa sasa amefunga milango ya kupokea […]

 

10 years ago

Mwananchi

Shamrashamra za kumuaga Jakaya Mlimani City

Jose Mara, Fid Q, Bushoke na Ruby ni kati ya wasanii ambao walifanikiwa kumuwezesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete kuianza wikiendi yake vizuri baada ya kumrudisha enzi zake kiburudani kwa kumpigia nyimbo alizozipenda enzi za ujana wake, katika hafla ya kumuaga iliyofanyika usiku wa kuamkia jana katika Ukumbi wa Mlimani City.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani