Mitandao yaua shamrashamra za Valentine
NA MWANDISHI WETU
IMEDAIWA kuwa kukua kwa sayansi na teknolojia na hasa matumizi ya mitandao ya kijamii, kumeua soko la kadi pamoja na maua yaliyozoeleka kununuliwa msimu huu wa Valentine.
Hayo yamebainishwa na baadhi ya wauza maduka ya kadi na maua katika maeneo mbalimbali ambao wanalalamikia kuporomoka kwa bidhaa hizo ambazo katika siku za nyuma zilikuwa zikiuzika kwa kiwango kikubwa.
Mmoja wa wauza duka hilo aliyejitambulisha kwa jina la Fadhili Muzo, alisema kwa mwaka huu hali ni mbaya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Dec
JK asitisha shamrashamra za ngoma
9 years ago
Mwananchi13 Dec
Mawaziri waapa bila shamrashamra
10 years ago
GPLSHAMRASHAMRA ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MBURAHATI
10 years ago
Vijimambo04 Jul
ShamraShamra za Ushindi wa NSSF Maonesho ya 39 ya Biashara
![Baadhi ya wafanyakazi na maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii(NSSF) wakishangilia ushindi wa ngao tatu kwa pamoja katika vipengele tofauti kwenye Maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama Sabasaba jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0448.jpg)
![Baadhi ya wafanyakazi na maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii(NSSF) wakishangilia ushindi wa ngao tatu kwa pamoja katika vipengele tofauti kwenye Maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama Sabasaba jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0446.jpg)
![Baadhi ya wafanyakazi na maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii(NSSF) wakishangilia ushindi wa ngao tatu kwa pamoja katika vipengele tofauti kwenye Maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama Sabasaba jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0444.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 Aug
Shamrashamra za kumuaga Jakaya Mlimani City
11 years ago
GPL9 years ago
MillardAyo22 Dec
Tajikistan nako shamrashamra za Christmas ni marufuku vyuoni..!!
Tajikistan ni moja ya nchi ambazo ziko bara la Asia, kilichoteka vichwa vya habari sasahivi ni ishu ya ‘MARUFUKU’ iliyopigwa kuhusiana na shamrashamra za sikukuu za Christmas siku chache zijazo. Tangazo limetolewa kwamba ni marufuku kabisa kwenye maeneo ya shule na vyuoni kupiga fataki, marufuku kuweka mapambo ya miti pamoja na shamrashamra za zawadi na […]
The post Tajikistan nako shamrashamra za Christmas ni marufuku vyuoni..!! appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/7fAsRhcA5hw/default.jpg)
10 years ago
GPLSHAMRASHAMRA ZA EID EL FITR ZILIVYOPAMBA MOTO KARIAKOO, DAR