Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tajikistan nako shamrashamra za Christmas ni marufuku vyuoni..!!

Tajikistan ni moja ya nchi ambazo ziko bara la Asia, kilichoteka vichwa vya habari sasahivi ni ishu ya ‘MARUFUKU’ iliyopigwa kuhusiana na shamrashamra za sikukuu za Christmas siku chache zijazo. Tangazo limetolewa kwamba ni marufuku kabisa kwenye maeneo ya shule na vyuoni kupiga fataki, marufuku kuweka mapambo ya miti pamoja na shamrashamra za zawadi na […]

The post Tajikistan nako shamrashamra za Christmas ni marufuku vyuoni..!! appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Saa chache zimebaki kusherehekea christmas lakini kwingine imepigwa marufuku!!

Najua wakristo wengi duniani wanahesabu saa chache kuifikia December 25, siku ambayo inasherehekewa sikukuu ya Christmas kila mwaka… kama na wewe umejiandaa vizuri na sherehe hiyo basi nikutakie heri mtu wangu, lakini stori ina kichwa cha habari tofauti kutoka Somalia. Serikali ya Somalia imepiga marufuku sherehe za christmas kwa siku ya kesho, moja ya sababu […]

The post Saa chache zimebaki kusherehekea christmas lakini kwingine imepigwa marufuku!! appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Ibra Da Hustler adai ili Nako 2 Nako irudi inahitaji management

Ibra Da Hustler

Rapper wa kundi la Nako 2 Nako, Ibra Da Hustler, amesema kuwa kundi hilo linaweza kurudi tena ila linahitaji management ya kulisimamia kutokana na muziki kubadilika.

Ibra Da Hustler

Da Hustler alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa wasanii wa kundi hilo hawakuwa na tofauti kubwa kama watu wanavyodhani.

“Ibra Da Hustler na Nako 2 Nako tupo fresh, sema tulikuwa na ups and downs ambazo ni za kawaida, lakini kiukweli tupo fresh tu,” alisema.

“Hatushindwi kurudi, sema game sasa hivi ni gumu so...

 

10 years ago

Mwananchi

Migogoro inavyozoeleka vyuoni

Tabia ya wanafunzi wa elimu ya juu kugoma ili kushinikiza Serikali au uongozi wa chuo husika kufanya jambo fulani imeanza kuzoeleka nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanayowasibu wanafunzi vyuoni — 2

Upungufu katika nyenzo za mawasiliano hasa lugha ya Kiingereza ni tatizo jingine kubwa la wanafunzi wetu katika taasisi za elimu ya juu.

 

11 years ago

Mwananchi

JK asitisha shamrashamra za ngoma

Rais Jakaya Kikwete jana aliongoza maelfu ya Watanzania katika maadhimisho ya miaka 52 ya Uhuru wa Tanganyika (sasa Tanzania), kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam na kulihutubia taifa, akiwataka wananchi kuwa na moyo wa kusamehe kama aliokuwa nao Rais wa Kwanza mzalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi vyuoni kuendelea kukopeshwa

SERIKALI imesisitiza kuwa itaendelea kutoa mikopo ya elimu ya juu kwa wanafunzi wote wenye sifa za kujiunga na vyuo mbalimbali vya elimu bila ubaguzi au kujali kuwa mwanafunzi aliyechaguliwa anakwenda kusoma chuo binafsi au cha serikali.

 

10 years ago

Mwananchi

Ulipaji wa mikopo vyuoni waongezeka

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, imesema maboresho ya ukusanyaji wa madeni ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kwa kutumia njia ya mitandao, imeongezeka kutoka asilimia 30 mwaka 2012 hadi kufikia asilimia 39 mwaka jana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaovaa hovyo vyuoni kudhibitiwa

SERA ya kudhibiti mavazi yasiyoendana na maadili, yanayovaliwa na wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini, inaelezwa itakuwa muarobaini kwa wanafunzi husika. Akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni, Mkuu wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Mitandao yaua shamrashamra za Valentine

WAPENDAONA MWANDISHI WETU
IMEDAIWA kuwa kukua kwa sayansi na teknolojia na hasa matumizi ya mitandao ya kijamii, kumeua soko la kadi pamoja na maua yaliyozoeleka kununuliwa msimu huu wa Valentine.
Hayo yamebainishwa na baadhi ya wauza maduka ya kadi na maua katika maeneo mbalimbali ambao wanalalamikia kuporomoka kwa bidhaa hizo ambazo katika siku za nyuma zilikuwa zikiuzika kwa kiwango kikubwa.
Mmoja wa wauza duka hilo aliyejitambulisha kwa jina la Fadhili Muzo, alisema kwa mwaka huu hali ni mbaya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani