Tajikistan nako shamrashamra za Christmas ni marufuku vyuoni..!!
Tajikistan ni moja ya nchi ambazo ziko bara la Asia, kilichoteka vichwa vya habari sasahivi ni ishu ya ‘MARUFUKU’ iliyopigwa kuhusiana na shamrashamra za sikukuu za Christmas siku chache zijazo. Tangazo limetolewa kwamba ni marufuku kabisa kwenye maeneo ya shule na vyuoni kupiga fataki, marufuku kuweka mapambo ya miti pamoja na shamrashamra za zawadi na […]
The post Tajikistan nako shamrashamra za Christmas ni marufuku vyuoni..!! appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Saa chache zimebaki kusherehekea christmas lakini kwingine imepigwa marufuku!!
Najua wakristo wengi duniani wanahesabu saa chache kuifikia December 25, siku ambayo inasherehekewa sikukuu ya Christmas kila mwaka… kama na wewe umejiandaa vizuri na sherehe hiyo basi nikutakie heri mtu wangu, lakini stori ina kichwa cha habari tofauti kutoka Somalia. Serikali ya Somalia imepiga marufuku sherehe za christmas kwa siku ya kesho, moja ya sababu […]
The post Saa chache zimebaki kusherehekea christmas lakini kwingine imepigwa marufuku!! appeared first on...
9 years ago
Bongo503 Nov
Ibra Da Hustler adai ili Nako 2 Nako irudi inahitaji management
![Ibra Da Hustler](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ibra-Da-Hustler-300x194.png)
Rapper wa kundi la Nako 2 Nako, Ibra Da Hustler, amesema kuwa kundi hilo linaweza kurudi tena ila linahitaji management ya kulisimamia kutokana na muziki kubadilika.
Da Hustler alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa wasanii wa kundi hilo hawakuwa na tofauti kubwa kama watu wanavyodhani.
“Ibra Da Hustler na Nako 2 Nako tupo fresh, sema tulikuwa na ups and downs ambazo ni za kawaida, lakini kiukweli tupo fresh tu,” alisema.
“Hatushindwi kurudi, sema game sasa hivi ni gumu so...
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Migogoro inavyozoeleka vyuoni
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Yanayowasibu wanafunzi vyuoni — 2
11 years ago
Mwananchi10 Dec
JK asitisha shamrashamra za ngoma
10 years ago
Habarileo28 Oct
Wanafunzi vyuoni kuendelea kukopeshwa
SERIKALI imesisitiza kuwa itaendelea kutoa mikopo ya elimu ya juu kwa wanafunzi wote wenye sifa za kujiunga na vyuo mbalimbali vya elimu bila ubaguzi au kujali kuwa mwanafunzi aliyechaguliwa anakwenda kusoma chuo binafsi au cha serikali.
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Ulipaji wa mikopo vyuoni waongezeka
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Wanaovaa hovyo vyuoni kudhibitiwa
SERA ya kudhibiti mavazi yasiyoendana na maadili, yanayovaliwa na wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini, inaelezwa itakuwa muarobaini kwa wanafunzi husika. Akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni, Mkuu wa...
10 years ago
Mtanzania14 Feb
Mitandao yaua shamrashamra za Valentine
NA MWANDISHI WETU
IMEDAIWA kuwa kukua kwa sayansi na teknolojia na hasa matumizi ya mitandao ya kijamii, kumeua soko la kadi pamoja na maua yaliyozoeleka kununuliwa msimu huu wa Valentine.
Hayo yamebainishwa na baadhi ya wauza maduka ya kadi na maua katika maeneo mbalimbali ambao wanalalamikia kuporomoka kwa bidhaa hizo ambazo katika siku za nyuma zilikuwa zikiuzika kwa kiwango kikubwa.
Mmoja wa wauza duka hilo aliyejitambulisha kwa jina la Fadhili Muzo, alisema kwa mwaka huu hali ni mbaya...