Mahojiano na DC Paul Makonda Katika JUKWAA LANGU Oct 12 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-B3BOljMynbw/Vhxsk1G3DII/AAAAAAAAJ0A/H0eLNPK68fQ/s72-c/DC%2BMakonda%2BJukwaa.jpg)
Kipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015.
Katika sehemu hii ya kipindi cha wiki hii, utasikia mahojiano yetu na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe Paul Makonda juu ya Matembezi ya Amani yaliyoandaliwa na Ofisi yake na kufanyika wilayani humo
Pia wasikilizaji walipata fursa kumuuliza maswali na hata kutoa maoni yao juu ya kinachoendelea huko
KARIBU
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7pCN9hzXDa0/Vmajmtpc9xI/AAAAAAAAKPA/5zHtrqvp7lk/s72-c/Paul-Makonda.jpg)
Mahojiano na DC Paul Makonda katika kipindi cha JUKWAA LANGU Dec 7 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-7pCN9hzXDa0/Vmajmtpc9xI/AAAAAAAAKPA/5zHtrqvp7lk/s640/Paul-Makonda.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-nsni0VSAVNI/VhOTSaw5cWI/AAAAAAAAJxQ/Ci3HLU0h1qw/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha JUKWAA LANGU Oct 5 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-nsni0VSAVNI/VhOTSaw5cWI/AAAAAAAAJxQ/Ci3HLU0h1qw/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Katika kipindi cha wiki hii, mbali na habari mbalimbali zilizotawala vyombo vya habari, pia wasikilizaji walipata nafasi ya kutoa maoni kulingana na mambo mbalimbali yanayoendelea nchini Tanzania
KARIBU
9 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-GsKliVKExyk/ViYxOg1HTzI/AAAAAAAAJ3w/lyVgaHXhFKY/s640/USIUZE%2BKADI%2BYAKO%2Bfab.jpg)
KIPINDI CHA JUKWAA LANGU OCT 19 2015
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GsKliVKExyk/ViYxOg1HTzI/AAAAAAAAJ3w/lyVgaHXhFKY/s72-c/USIUZE%2BKADI%2BYAKO%2Bfab.jpg)
KIPINDI CHA JUKWAA LANGU OCT 19 2015 (FULL)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GsKliVKExyk/ViYxOg1HTzI/AAAAAAAAJ3w/lyVgaHXhFKY/s640/USIUZE%2BKADI%2BYAKO%2Bfab.jpg)
9 years ago
MichuziMahojiano na Liberatus Mwang'ombe katika kipindi cha JUKWAA LANGU
10 years ago
VijimamboMahojiano na Balozi Liberata Mulamula kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU
Balozi Liberata Mulamula akiendelea kujibu maswali ya watangazaji mahiri Mubelwa Bandio (kulia) na Rose Chitalah (hayupo pichani ) na wasikilizaji waliokua na shahuku ya kumuuliza maswali.
10 years ago
VijimamboMahojiano na Balozi Amina Salum Ali kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
Katika kipindi cha wiki hii tumebahatika kuungana na Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali
Karibu
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
AUDIO ya mahojiano na Balozi Amina Salum Ali kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU
![balozi Amina](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/balozi-Amina.jpg)
Mhe. Balozi Amina Salum Ali akifafanua jambo ndani ya Kilimanjaro Studio.
Kipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
Katika kipindi cha wiki hii tumebahatika kuungana na Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali
Karibu
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hQZgHWpN4Ng/VdLitw2nqCI/AAAAAAAAJNs/hg_q_RCBu3Q/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha Jukwaa Langu Agosti 17 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-hQZgHWpN4Ng/VdLitw2nqCI/AAAAAAAAJNs/hg_q_RCBu3Q/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Katika kipindi hiki utasikia mjadala wetu na wageni Jeff Msangi toka Toronto Canada na Darmatus Nambai aliyehudhuria studio kuhusu DEMOKRASIA na MABADILIKO kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
KARIBU