Mahojiano na Omar Ally Mwenyekiti wa Zanzibar Diaspora Association
Sikiliza kwa makini Mahojiano na Omar Ally, Mwenyekiti wa Zanzibar Diaspora Association, akiongelea njia nzuri kuhusu maendeleo ya kuinua wana ZADIA pamoja na Zanzibar kwa ujumla.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi19 Aug
9 years ago
Michuzi10 years ago
MichuziWAKONGWE WA DANSI PROFESA ABBU OMAR NA FRESH JUMBE WAMPA SHAVU ALLY CHOKI NCHINI JAPAN
Wanamuziki wa kongwe wa muziki wadansi Abbu Omar Njenga aka Abbu Omar na Fresh Jumbe Mkuu wenye ngome yao nchini Japan,siku ya jumamosi 21 Machi 2015 walitia fora kwa kushiriki jukwaani na kumpa baraka zote mwanamuziki Ally Choki katika onyesho lililofanyika katika ukumbi wa Sonudai-Kanagawa Prefecture, Sagamihara City,Tokyo, Japan.
Wakongwe hao waliobobea katika muziki kwa maiaka mingi Abbu Omar Njenga mpiga gitaa au mpini na mtunzi aliyewahi...
10 years ago
VijimamboMahojiano na Zahir Ally Zorro kuhusu kifo cha mwanamuziki BanzaStone
Msikilize
10 years ago
VijimamboJAJI MKU WA ZANZIBAR MHE. OMAR OTHMAN MAKUNGU, AZINDUA MAHAKAMA YA BIASHARA ZANZIBAR. MAY 18.
11 years ago
MichuziEric Ng'imaryo mwenyekiti mpya Tanzania Horticultural Association (TAHA)
10 years ago
Dewji Blog04 Mar
Usikose kuperuzi modewjiblog katika mahojiano maalum na Mwanasheria mwenye ‘Albinism’ Dk. Ally Possi
Mwanasheria mwenye Albinism Dk. Ally Possi akiwa ndani ya ofisi za modewjiblog.
Na modewji blog team
“JAMII yenye ushirikina ndio yenye kuamini suala la mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi ambao wana alibinisimu, hivyo ilikuondoa imani hii potofu ni kutoa elimu katika maeneo yote na kuwalinda popote pale, Jambo hili ni jukumu letu sote” anaeleza Dk. Ally Possi.
Hata hivyo alibainisha kuwa, licha ya kuwapo kwa vitendo hivyo vya kikatili vikiwemo vya mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa...
10 years ago
MichuziMhe. Omar Mjenga akutana na Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai (NAKHEEL) Bwa. Rashid Lootah.
Katika mazungumzo yao, wamezungumzia ziara ya Mwenyekiti huyo pamoja na ujumbe wake kuitembelea Tanzania, itakayofanyika kuanzi tarehe 16-20 Septemba, ambako anatarajia pamoja na kuonana na baadhi viongozi wa Serikali, watafanya mazungumzo na Shirika la Nyumba la Taifa(NHC) yatakayowezesha kusainiwa makubaliano ya...
11 years ago
MichuziRais wa Zanzibar Dk.Shein akutana na Diaspora wa Zanzibar Ikulu