Mahojiano na waasisi wa Jabali Afrika
![](http://4.bp.blogspot.com/-1WY7xPDvACE/Vh710xgaWBI/AAAAAAAAJ0o/B8lD4LzUW4w/s72-c/Jabali%2BAfrika.jpg)
Wawili kati ya waanzilishi wa JABALI AFRIKA, Justo Asikoye na Joseck Asikoye walipata fursa ya kutembelea Kilimanjaro Studio zilizopo Beltsville Maryland na kuzungumza na Mubelwa Bandio na Dj Luke Joe kuhusu kazi zao
Ilikuwa ni katika kipindi cha MISHUMAA YA KALE kinachosikika kila Ijumaa kuanzia saa 11 jioni kwa saa za Marekani ya Mashariki
KARIBU
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-p1c6xrdylyg/VZaA4U2mTrI/AAAAAAADvXs/ultzP0IGLp8/s72-c/939c231e180e9c09df8794642802d5fc.jpg)
10 years ago
VijimamboJABALI AFRICA YATIKISA WASHINGTON, DC
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/sLTBlzo_5qQ/default.jpg)
11 years ago
Habarileo08 Apr
Waasisi Zanzibar watoa ya moyoni
MKE wa marehemu Abeid Amaan Karume, Mama Fatma Karume aliwataka vijana kuyaenzi Mapinduzi ya mwaka 1964 kwa kuacha chuki za ukabila, kidini ambazo zinaweza kuleta mgawanyiko wa wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
11 years ago
Habarileo27 Apr
‘Wanaotukana waasisi wapimwe akili’
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Anna Abdallah amesema mtu yeyote anayewatukana waasisi wa Taifa, anapaswa kupimwa akili.
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Rungwe: Wajumbe tusiwakwaze waasisi
11 years ago
Mwananchi13 May
Lissu: Walipotelea wapi waasisi wa Muungano
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Ni ukosefu wa adabu kuwatukana waasisi wa Tanzania — JK
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu kuwa baadhi ya Watanzania kuwatukana, kuwadhihaki na kuwakejeli Waanzilishi wa Taifa la Tanzania, Hayati Julius Nyerere na Hayati Sheikh Abeid Amaan Karume.
Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa viongozi hao wawili wameifanyia Tanzania mambo mengi, mambo makubwa na mambo ya kihistoria kiasi cha kwamba Watanzania wanao wajibu wa kudumisha na kuenzi heshima yao kwa namna...