Rungwe: Wajumbe tusiwakwaze waasisi
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Hashimu Rungwe, amewataka wenzake kufanya uamuzi kwa hekima ili kulinda hadhi za waasisi wa Muungano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo08 Apr
Waasisi Zanzibar watoa ya moyoni
MKE wa marehemu Abeid Amaan Karume, Mama Fatma Karume aliwataka vijana kuyaenzi Mapinduzi ya mwaka 1964 kwa kuacha chuki za ukabila, kidini ambazo zinaweza kuleta mgawanyiko wa wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-1WY7xPDvACE/Vh710xgaWBI/AAAAAAAAJ0o/B8lD4LzUW4w/s72-c/Jabali%2BAfrika.jpg)
Mahojiano na waasisi wa Jabali Afrika
![](http://4.bp.blogspot.com/-1WY7xPDvACE/Vh710xgaWBI/AAAAAAAAJ0o/B8lD4LzUW4w/s640/Jabali%2BAfrika.jpg)
Ilikuwa ni katika kipindi cha MISHUMAA YA KALE kinachosikika kila Ijumaa kuanzia saa 11 jioni kwa saa za Marekani ya Mashariki
KARIBU
11 years ago
Habarileo27 Apr
‘Wanaotukana waasisi wapimwe akili’
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Anna Abdallah amesema mtu yeyote anayewatukana waasisi wa Taifa, anapaswa kupimwa akili.
11 years ago
Mwananchi13 May
Lissu: Walipotelea wapi waasisi wa Muungano
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Ni ukosefu wa adabu kuwatukana waasisi wa Tanzania — JK
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu kuwa baadhi ya Watanzania kuwatukana, kuwadhihaki na kuwakejeli Waanzilishi wa Taifa la Tanzania, Hayati Julius Nyerere na Hayati Sheikh Abeid Amaan Karume.
Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa viongozi hao wawili wameifanyia Tanzania mambo mengi, mambo makubwa na mambo ya kihistoria kiasi cha kwamba Watanzania wanao wajibu wa kudumisha na kuenzi heshima yao kwa namna...
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Waasisi wetu walivyoteleza kuhusu ardhi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EuOupYz16jA/VOX6Vh2mGfI/AAAAAAAHEj8/dMiGY9nQS_I/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
MAALIM SEIF AKUTANA NA BODI YA WAASISI
![](http://1.bp.blogspot.com/-EuOupYz16jA/VOX6Vh2mGfI/AAAAAAAHEj8/dMiGY9nQS_I/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dJR-Qew8usk/VOX6V1LcxRI/AAAAAAAHEkA/vJHCFATKHnQ/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ej1usOogttM/VOX6W_mT4uI/AAAAAAAHEkM/hjI7SlNtISA/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Magufuli na ufisadi, waasisi wakionea aibu
“SIMMONILE ndiye mtawala mkuu (paramount chief) wa jamii ya kabila la Wanyakyusa, katika kizazi c
Felix Mwakyembe
10 years ago
Habarileo19 Feb
SMZ yahakikisha ushirikiano Mfuko wa Waasisi wa Taifa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Tanzania ziko tayari kushirikiana na Bodi ya Udhamini ya Mfuko wa Kuwaenzi Waasisi wa Taifa kutokana na mchango wao mkubwa kwa Taifa hili.