Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


. Mahojiano ya Dk Slaa kwenye StarTv jana 07.10.2015

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAHOJIANO YA WEMA SEPETU KWENYE KIPINDI CHA TAKE ONE

Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu 'Madam' akiwa katika pozi. Host wa kipindi cha Take One, Zamaradi Mketema (kulia) akifanya mahojiano na Wema Sepetu.…

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano na Charles Magali kwenye Mishumaa Ya Kale

Charles Magali akiwa ndani ya Kilimanjaro Studio zinazomilikiwa na Vijimambo Radio, Kwanza Production na NesiWangu MediaIjumaa ya Julai 24, 2015, mwigizaji na mwimbaji wa muziki nchini Tanzania Charles Magali alipata fursa ya kutembelea studio zetu zilizopo Beltsville Maryland. Hapo akazungumza nasi kwa ufupi
Karibu umsikilize akihojiwa na Mbunifu na Mtayarishaji wa kipindi hiki Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio

 

11 years ago

Habarileo

ITV, StarTv, RFA zadaiwa kuhatarisha usalama,maadili

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevipa onyo kali vyombo vya habari vya Independent Television (ITV), Star Tv na Radio Free Africa (RFA) kwa kutangaza maudhui yanayoelezwa kuchochea uvunjifu wa amani na kuzuia wananchi kulipa kodi.

 

9 years ago

Vijimambo

Mahojiano Na FRANCIA DTR kwenye kipindi cha Bongo Flava


Katika kipindi cha Sept 26, yalifanyika mahojiano na FRANCIA DTR. Mtanzania anayeishi nchini Uingereza.
Kilimanjaro Studio sasa inakuletea kipindi cha muziki wa kizazi kipya kila siku ya Jumamosi saa 4 asubuhi kwa saa za Amerika ya mashariki
Mtayarishaji na mtangazaji wa kipindi ni Buheti Abdulrahman
Kipindi hiki kitakuwezesha kujua mambo yaliyojiri kila wiki kuhusiana na muziki na wanamuziki wa Bongo Flava na nafasi pekee ya kuweza kuburudika na muziki wa Bongo Flava huku ukipata historia...

 

9 years ago

Vijimambo

Mahojiano na DC Paul Makonda Katika JUKWAA LANGU Oct 12 2015

Kipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015.
Katika sehemu hii ya kipindi cha wiki hii, utasikia mahojiano yetu na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe Paul Makonda juu ya Matembezi ya Amani yaliyoandaliwa na Ofisi yake na kufanyika wilayani humo
Pia wasikilizaji walipata fursa kumuuliza maswali na hata kutoa maoni yao juu ya kinachoendelea huko
KARIBU

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano na Balozi Liberata Mulamula kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU

 Balozi Liberata Mulamula akiwasili nje ya jengo lenye studio ya Kilimanjaro tayari kuongea LIVE katika kipindi cha Jukwaa langu kinachorushwa kila siku ya Jumatatu kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 2 usiku saa za Mashariki za Marekanui. anayemfungulia mlango ni Abdul Malik

 Balozi Liberata Mulamula akiendelea kujibu maswali ya watangazaji mahiri Mubelwa Bandio (kulia) na Rose Chitalah (hayupo pichani ) na wasikilizaji waliokua na shahuku ya kumuuliza maswali.  Balozi Liberata Mulamula...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani