Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maimartha Jesse,Chege katika ‘bifu’ kisa hirizi.

Mtangazaji Maimartha Jesse na staa wa Bongo Fleva,Chege Chigunda wameingia kwenye bifu baada ya mtangazaji huyo kupost picha mtandaoni ikimuonyesha Chege akiwa jukwaani huku amefunga kitambaa cheusi mkononi na kuandika ….Angalia mkono Wa kushoto Wa chegge @chegechigunda hiiii ni hirizi ? any way isiwe kesi jiachie chege ila mziki mziki wako naupenda hata ukiniroga saw a Tu...japo cna imani hiyoo .

Akizungumza kwenye Uheard na Soudy Brown Chege alisema kuwa amemshangaa sana mtangazaji huyo...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

‘HIRIZI’ YA CHEGE YAIBUA GUMZO

Chande Abdallah/Mchanganyiko
MSANII wa muziki kutoka TMK Family, Chege Chigunda amezua gumzo la aina yake baada ya picha akiwa amevaa kitambaa cheusi kwenye mkono wake wakati akipafomu jukwaani kusambaa kwenye mitandao ya kijamii akidaiwa kuwa ni hirizi. Wasanii wa muziki kutoka TMK Family, Chege Chigunda wakishambulia jukwaa. Picha hizo zilipigwa kwenye Tamasha la PSPF mkoani Dodoma lililofanyika February 20 Mwaka huu ambapo...

 

10 years ago

GPL

KISA RIHANNA, BEYONCE NA JAY Z WAINGIA KATIKA MGOGORO

Beyonce na Jay Z katika pozi. MWANAMUZIKI Beyoncé Giselle Knowles 'Beyonce' na mumewe Shawn Corey Carter 'Jay Z' wameripotiwa kuwa kwenye mgogoro tena huku mwanamuziki Rihanna akihusishwa. Wanandoa hao wapo kwenye mgogoro kutokana na simu ya siri ambayo Jay Z anadaiwa kuitumia kuwasiliana na Rihanna pasipo Beyonce kujua. Wanaume wengi wana simu za siri ambazo hutumia kuwasiliana na watu wao kwa siri, ila mara nyingi wanakuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Jumabee Ft Jesse Jagz — Je kinje

S2DB Entertainment’s Top Talent, Jumabee is out with another mind blowing visuals for his well packaged song “Je Kin Je” which he featured the King Of Jagznation, Jesse Jagz. This peculiar and precise video was shot at The Place, Ikeja GRA by Cardoso Imagery with cameo appearances made by Monica Ogah,Sleeq, Joe EL, Bangin, Runzy […]

 

10 years ago

Mwananchi

Mtikisiko wa Hirizi

Siyo kwamba kila mwanadamu anaamini kuwa ili kutatua tatizo linalokukabili ni lazima awe na elimu ya kiwango cha juu, awe mjanja wa mjini au mcha Mungu ategemeaye  maombezi kwa kufanikisha mambo yake. Wako ambao hawapo katika makundi yote hayo. Wao huamini  zaidi katika kile kinachoitwa ’nguvu za giza’.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtikisiko wa Hirizi (2)

Siyo kwamba kila mwanadamu anaamini kuwa ili kutatua tatizo linalokukabili ni lazima awe na elimu ya kiwango cha juu, awe mjanja wa mjini au mcha Mungu ategemeaye  maombezi kwa kufanikisha mambo yake. Wako ambao hawapo katika makundi yote hayo. Wao huamini  zaidi katika kile kinachoitwa ’nguvu za giza’.

 

5 years ago

Sports Mole

Manchester United launch investigation into Jesse Lingard abuse

Manchester United launch investigation into Jesse Lingard abuse  Sports MoleView Full coverage on Google News

 

11 years ago

GPL

HIRIZI ZATUMIKA MAKANISANI

Stori:  Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
SIRI nzito imefichuka! Baadhi ya maaskofu na wachungaji (baadhi lakini) wa makanisa ya kilokole nchini wanadaiwa kutumia hirizi ili kujaza waumini, Uwazi limenyetishiwa. SEHEMU ZINAZOKAA HIZIRI
Kwa mujibu wa mfichua siri huyo, watumishi hao wa Mungu wanaojihusisha na ushirikina wamekuwa wakizifunga hiziri hizo sehemu ya juu ya mkono wa kulia na kufichwa na shati la mikono...

 

9 years ago

Michuzi

WADAU JESSE NA FAITH WAMEREMETA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Mdau mwandamizi wa Globu ya Jamii ambaye ni Meneja wa Benki Bw. Jesse Harris Mlule akimvisha pete Faith Alex Ndamalya walipomeremeta leo Januari 2, 2016 katika kanisa la Mtakatifu Albano jijini Dar es salaam kabla ya kuelekea Ukumbi wa Tanzania Law School kwa mnuso wa nguvu ila si kabla ya kupitia Ledger's Plaza Bahari Beach Hotel kwa mapumziko mafupi. Mdau Faith Alex Ndamalya akimvisha pete mumewe Jesse Jesse akiweka saini katika hati ya Ndoa Faith akiweka saini kwenye hati ya ndoaMaharusi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani