Maimartha Jesse,Chege katika ‘bifu’ kisa hirizi.
Mtangazaji Maimartha Jesse na staa wa Bongo Fleva,Chege Chigunda wameingia kwenye bifu baada ya mtangazaji huyo kupost picha mtandaoni ikimuonyesha Chege akiwa jukwaani huku amefunga kitambaa cheusi mkononi na kuandika ….Angalia mkono Wa kushoto Wa chegge @chegechigunda hiiii ni hirizi ? any way isiwe kesi jiachie chege ila mziki mziki wako naupenda hata ukiniroga saw a Tu...japo cna imani hiyoo .
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vshXEK8U-igTcb8kNWViIu9Fi1NWL12y1MwQPVesVWAiW8gqiy4C7Q6W5NXgSiMjXnPeA56yl4TZFLN*H4GaYxLHoavAKjz6/HIRIZ.jpg)
‘HIRIZI’ YA CHEGE YAIBUA GUMZO
Chande Abdallah/Mchanganyiko
MSANII wa muziki kutoka TMK Family, Chege Chigunda amezua gumzo la aina yake baada ya picha akiwa amevaa kitambaa cheusi kwenye mkono wake wakati akipafomu jukwaani kusambaa kwenye mitandao ya kijamii akidaiwa kuwa ni hirizi. Wasanii wa muziki kutoka TMK Family, Chege Chigunda wakishambulia jukwaa. Picha hizo zilipigwa kwenye Tamasha la PSPF mkoani Dodoma lililofanyika February 20 Mwaka huu ambapo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VitVR-Y00RNYrpy7w5A636ejrQAVs97Pt45OrU0KyltnxnC-SMqIY6Ima-WSw5fcjdlqopNbS96-3P0B54MzhoL/BEYONCENAJAYZ.jpg)
KISA RIHANNA, BEYONCE NA JAY Z WAINGIA KATIKA MGOGORO
Beyonce na Jay Z katika pozi. MWANAMUZIKI Beyoncé Giselle Knowles 'Beyonce' na mumewe Shawn Corey Carter 'Jay Z' wameripotiwa kuwa kwenye mgogoro tena huku mwanamuziki Rihanna akihusishwa. Wanandoa hao wapo kwenye mgogoro kutokana na simu ya siri ambayo Jay Z anadaiwa kuitumia kuwasiliana na Rihanna pasipo Beyonce kujua. Wanaume wengi wana simu za siri ambazo hutumia kuwasiliana na watu wao kwa siri, ila mara nyingi wanakuwa...
9 years ago
Bongo511 Oct
Video: Jumabee Ft Jesse Jagz — Je kinje
S2DB Entertainment’s Top Talent, Jumabee is out with another mind blowing visuals for his well packaged song “Je Kin Je” which he featured the King Of Jagznation, Jesse Jagz. This peculiar and precise video was shot at The Place, Ikeja GRA by Cardoso Imagery with cameo appearances made by Monica Ogah,Sleeq, Joe EL, Bangin, Runzy […]
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Mtikisiko wa Hirizi
Siyo kwamba kila mwanadamu anaamini kuwa ili kutatua tatizo linalokukabili ni lazima awe na elimu ya kiwango cha juu, awe mjanja wa mjini au mcha Mungu ategemeaye maombezi kwa kufanikisha mambo yake. Wako ambao hawapo katika makundi yote hayo. Wao huamini zaidi katika kile kinachoitwa ’nguvu za giza’.
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Mtikisiko wa Hirizi (2)
Siyo kwamba kila mwanadamu anaamini kuwa ili kutatua tatizo linalokukabili ni lazima awe na elimu ya kiwango cha juu, awe mjanja wa mjini au mcha Mungu ategemeaye maombezi kwa kufanikisha mambo yake. Wako ambao hawapo katika makundi yote hayo. Wao huamini zaidi katika kile kinachoitwa ’nguvu za giza’.
5 years ago
Sports Mole07 Mar
Manchester United launch investigation into Jesse Lingard abuse
Manchester United launch investigation into Jesse Lingard abuse Sports MoleView Full coverage on Google News
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXtsp3NA2aaliFOSFDKEhGz3jMOPbcpVCb*hybnm8dMBFDQWpY1qou0b-QTQL9f4b*e4nKc8I8gOxco6XArhq0J7/hirizi.jpg?width=650)
HIRIZI ZATUMIKA MAKANISANI
Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
SIRI nzito imefichuka! Baadhi ya maaskofu na wachungaji (baadhi lakini) wa makanisa ya kilokole nchini wanadaiwa kutumia hirizi ili kujaza waumini, Uwazi limenyetishiwa. SEHEMU ZINAZOKAA HIZIRI
Kwa mujibu wa mfichua siri huyo, watumishi hao wa Mungu wanaojihusisha na ushirikina wamekuwa wakizifunga hiziri hizo sehemu ya juu ya mkono wa kulia na kufichwa na shati la mikono...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2_CWTTJ2V40/VogpfZ0ya_I/AAAAAAAIP-U/8Dx275O6xVg/s72-c/204ed73e-d5d3-4f6b-a8bd-e14380f4ed79.jpg)
WADAU JESSE NA FAITH WAMEREMETA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-2_CWTTJ2V40/VogpfZ0ya_I/AAAAAAAIP-U/8Dx275O6xVg/s640/204ed73e-d5d3-4f6b-a8bd-e14380f4ed79.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0ux0Qwb0i2M/VogphR0OR_I/AAAAAAAIP-c/8sV3XU9s0sg/s640/ae0fa070-1e93-472f-b5d1-1c77fb1a813f.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yXC5is1qd8U/VogpiwXpgyI/AAAAAAAIP-k/lEf-GkWx_8E/s640/33ebedeb-ad93-4f78-81fa-2832da20ed7e.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RC-23ng7vcM/VogpkZT2dKI/AAAAAAAIP-s/_-6eek84SPo/s640/62bd1de3-eaec-4a60-9fce-09836be77dd4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7RvleE2Wf8k/VogpvKIiJZI/AAAAAAAIP-0/MaO5MPIz780/s640/4e5763b0-80be-4fa5-91f7-3b7f1cd4f80e.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania