MAITI YA ‘MTOTO WA BOSKI’ YAGOMBANIWA
![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YjZAHrYy5DVIbtqK0907ZscDWY9u14aFMiNxREt5pk-fBlqexZrH0znvmTsZL7VLvhBDQQkdw3wYYEgX9zE*OD0/MTOTO.jpg)
Stori: Dastan Shekidele, Morogoro MVUTANO mkubwa umeibuka juu ya wapi azikwe marehemu Nasra Mvungi, mtoto aliyeishi ndani ya boksi kwa miaka minne baada ya kufariki dunia hivi karibuni katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam. Mwili wa mtoto Nasra Mvungi ukishushwa kwenye gari ndani ya Uwanja wa Jamhuri Morogoro kuagwa. Habari zilizopatikana mjini hapa, zinasema kuwa mzozo umeibuka kwa ndugu wa marehemu Nasra ambapo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzU*BQnXaPUMs524QpZ*1hYVfDJ8Xx80R*xrnyZ456KD8LYpVeXSZFAC4ttrw-2Kbql*Y3IogKmy4MCEUJ5uwZvc/wazazi8.jpg)
WAZAZI WASUSA MAITI YA MTOTO WAO
11 years ago
BBCSwahili15 Apr
Wanaswa kwa kula maiti ya mtoto
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK8FM4KxgwHbYE51aKbJCBHurfvknUqrGJLuLOnmPlZxjXiQLa5WuQeCdUWzJ8v28PzNKxeh6z6BhtFd7l0trJFE/140414145055_mohammad_arif_ali_512x288_ikrampiracha_nocredit.jpg?width=650)
AKAMATWA KWA KULA MAITI YA MTOTO PAKISTAN
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Mtoto aliyepotea auawa kikatili, maiti yaokotwa
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Mtoto wa Miaka 4 aishi na maiti ya mama yake kwa siku 2
Bryan Allen akiwa na mama yake Shaleena Hamilton (enzi za uhai wake).
Bryan
Baiskeli aliyozawadiwa Bryan.
Bryan Allen is “doing well” after he survived 48 hours, after his mom died. Thought mom was sleeping @news4buffalo pic.twitter.com/UZXUma2c6S
— Marissa Perlman (@MPerlman4) December 14, 2015
Bryan won’t be here, but here’s his new bike pic.twitter.com/pOjtb55QFu — Aaron Besecker (@AaronBesecker) December 14, 2015
Donations have come from police, people dropping off at districts, other...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ68YchqHfbbDsY2e6OzxW8mLiRTAnECwur-mP71hPz7IkZjHoSh7EGRxCgwzOjICf3fbXLPIsmOQ5z8Rm1Uw8c6d/BACKUWAZI.jpg?width=650)
SKENDO WODINI: MAMA ADAI KUJIFUNGUA MTOTO WA KIUME, APEWA WA KIKE TENA MAITI
11 years ago
Dewji Blog10 Aug
Maiti yaokotwa Singida
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu
Mwili wa mwanaume ambaye hajafahamika jina wala makazi yake anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 28,umeokotwa maeneo ya Misuna makaburini tarafa ya Mungumaji Singida mjini.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela, amesema mwili huo umeokotwa Agosti 5 mwaka huu saa moja asubuhi ukiwa umetelekezwa kwenye makaburi ya Misuna.
Alisema mwanaume huyo siku ya tukio alikuwa amevaa shati la...
11 years ago
Habarileo14 Feb
Maiti yapigwa makofi
MAZIKO ya mtuhumiwa wa mauaji ya watu tisa na unyang'anyi wilayani hapa, Charles Kichune, yamesuswa na ndugu zake. Tangu Kichune afariki dunia Februari 9 kwa ugonjwa wa pumu katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime, hakuna ndugu aliyefika kuchukua mwili huo.